MENINA AHAIDI KUKARABATI CHUMBA CHA WATOTO NJITI
![](https://1.bp.blogspot.com/-Muc_6AOtiiI/XvJj6sPezAI/AAAAAAALvHE/xforPR-UpKMXmhVqxA0GWlK47bJt5wi5QCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200623_151307_2.jpg)
Na.Khadija seif, Michuzi tv
ZAO la mashindano ya BSS Menina Atick amewaomba wasanii kusaidia jamii hasa wamama pamoja na watoto.
Menina amesema hatosita kuwasaidia wamama pamoja na watoto wanaopitia changamoto za kiafya.
"Ifike wakati wasanii na watu mashughuli waiona fursa ya kusaidia jamii hasa wamama ambao wanapitia changamoto ya kujifungua pamoja na watoto wanaozaliwa na matatizo hasa watoto njiti,"
Hata hivyo Menina amesema mbali na kutembelea hospitali hiyo ya vijibweni katika wilaya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-5kG5YaQYV0c/VmarLsMff7I/AAAAAAADDWI/n9AdVrs_KoQ/s72-c/_MG_2019.jpg)
PANAFRICAN ENERGY YAFADHILI UJENZI WA WODI YA ‘MAMA NGONJEA’ HOSPITALI YA WILAYA KINYONGA KILWA KIVINJE NA KUKARABATI WODI ZA UZAZI NA CHUMBA MAALUM CHA UANGALIZI WA AKINA MAMA
![](http://4.bp.blogspot.com/-5kG5YaQYV0c/VmarLsMff7I/AAAAAAADDWI/n9AdVrs_KoQ/s640/_MG_2019.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-4h11mrykINk/VmaIQ_IBHKI/AAAAAAADDVg/JVsm2zrdAoI/s640/8.jpg)
10 years ago
Dewji Blog17 Nov
Siku ya Mtoto Njiti Duniani: Huduma za gharama nafuu zenye ufanisi katika kuzuia vifo vya watoto njiti Tanzania, inasema UNICEF na wadau wengine
World Prematurity Day press release – SWA FINAL Nov 17 2014.docx by moblog
9 years ago
MichuziSIKU YA WATOTO NJITI
9 years ago
Mwananchi09 Oct
Samia aombwa wodi ya watoto njiti
11 years ago
GPLWATOTO NJITI MAPACHA WATELEKEZWA NA BABA YAO
11 years ago
Mwananchi09 Mar
Maelfu ya watoto njiti hufa hospitalini nchini
11 years ago
GPLMAMA WA WATOTO NJITI MAPACHA ASHUKURU WALIOMSAIDIA
9 years ago
StarTV12 Nov
Mashirika,Asasi zatakiwa kuokoa maisha ya watoto njiti
Kufuatia kuzidi kuongezeka kwa vifo vya watoto njiti nchini takribani watoto laki mbili na kumi wanaozaliwa kwa mwaka ni elfu tisa pekee ndiyo wanafanikiwa kupata huduma za matibabu na kuishi.
Kutokana na ongezeko hilo la vifo vya watoto njiti, mashirika pamoja na asasi binafsi zimetakiwa kujitokeza kutoa misaada ya mashine za kusaidia kupumua na za kutolea uchafu kwa watoto hao na si mpaka kuisubiri Serikali kufanya kazi hiyo.
Akibainisha hayo mshirika wa Doris Moleli Faundation amesema...
10 years ago
Habarileo04 Jan
Singida huzalisha watoto njiti 300 kila mwaka
WATOTO njiti 284 hadi 300 huzaliwa kila mwaka katika Hospitali ya mkoa wa Singida huku robo yao wakifa kutokana na sababu mbalimbali.