Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Singida huzalisha watoto njiti 300 kila mwaka

WATOTO njiti 284 hadi 300 huzaliwa kila mwaka katika Hospitali ya mkoa wa Singida huku robo yao wakifa kutokana na sababu mbalimbali.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Miss Singida 2014 Dorice Mollel atoa msaada wa vifaa tiba kwa wodi ya watoto njiti

DSC03176

Miss Singida 2014 Dorice Mollel akizungumza muda mfupi kabla ya kukabidhi vifaa tiba vyenye thamani ya zaidi ya shilingi 1.2 milioni kwenye wodi ya watoto njiti ya hospitali ya mkoa mjini Singida. Miss Singida huyo ambaye mwaka jana alikuwa pia mshindi wa kwanza Miss kanda ya kati na kushika nafasi ya tatu katika shindano la kumsaka Miss Tanzania, amesema ametoa msaada huo kwa sababu na yeye alizaliwa mapacha njiti.

Na Nathaniel Limu, Singida

JUMLA ya watoto 284 hadi 300, huzaliwa kila...

 

10 years ago

GPL

MISS SINGIDA 2014 DORICE MOLLEL ATOA MSAADA WA VIFAA TIBA KWA WODI YA WATOTO NJITI‏

Miss Singida 2014 Dorice Mollel akizungumza muda mfupi kabla ya kukabidhi vifaa tiba vyenye thamani ya zaidi ya shilingi 1.2 milioni kwenye wodi ya watoto njiti ya hospitali ya mkoa mjini Singida. Miss Singida huyo ambaye mwaka jana alikuwa pia mshindi wa kwanza Miss kanda ya kati na kushika nafasi ya tatu katika shindano la kumsaka Miss Tanzania, amesema ametoa msaada huo kwa sababu na yeye alizaliwa mapacha njiti.… ...

 

10 years ago

Michuzi

DORIS MOLLEL ACHANGIA VIFAA VYA KUPUMULIA KWENYE WODI YA WATOTO NJITI SINGIDA KWA USHIRIKIANO NA MANIFESTER BRAND

Na mwandishi wetu, Singida.
Katika kuianza safari yake ya huduma za jamii kwa mwaka 2015, Redds Miss Kanda ya kati 2014-2015 Doris Mollel ametoa msaada wa mashine 2 za kupumulia kwenye hospitali ya mkoa wa Singida zenye thamani ya Tsh 1,200,000/=. Mashine hizo huwasaidia watoto waliozaliwa kabla ya muda wa kawaida (Pre-mature babies) katika mfumo wao wa upumuaji ambao huhitaji msaada wa juu zaidi mara tu wanapozaliwa.
Doris ambaye pia ni mshindi wa tatu wa Redds Miss Tanzania 2014 ni...

 

10 years ago

Dewji Blog

10 years ago

Tanzania Daima

Watoto 1,000 hupoteza maisha kila mwaka

IMEELEZWA kuwa watoto 1000 wenye vichwa vikubwa na mgongo wazi kila mwaka upoteza maisha kutokana na wazazi wao kuhusisha ugonjwa huo na imani za kishirikina. Mwenyekiti wa Chama cha Watoto...

 

11 years ago

BBCSwahili

Watoto milioni 2 kuzaliwa kila mwaka China

Uchina yalegeza sera yake ya mtoto 1 kwa familia ili kukabiliana na tisho la kiuchumi la kupungukiwa na nguvu kazi za vijana.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Watoto 400 hutibiwa saratani kila mwaka

SERIKALI imesema watoto wapatao 400 nchini hutibiwa saratani kila mwaka. Naibu Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Seif Rashidi alitoa kauli hiyo bungeni jana wakati alipokuwa akijibu swali...

 

11 years ago

Mwananchi

RIPOTI: Watoto 863 hufanyiwa ukatili kila mwaka

>Wengi hukaa kimya bila kutoa taarifa pale wanapokutana na kadhia licha ya kwamba wananyanyaswa na kutumikishwa na watu wao wa karibu, wanaowaamini na kuwategemea.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Watoto 11,000 huzaliwa na sikoseli kila mwaka nchini

TAASISI ya Sikoseli Tanzania imewaomba wadau wengine wa afya nchini kujiunga katika mapambano ya ugonjwa wa seli mundu ‘sickle cell’   kwani idadi ya watoto wanaozaliwa na ugonjwa huo kila mwaka...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani