Albino auawa, wauaji watoweka na viungo
Watu wasiojulikana mkoani Simiyu wamemuua kwa kumkatakata mapanga mlemavu wa ngozi (albino), Mughu Lugata (40) huku wakitoweka na baadhi ya viungo vyake.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Y4MVF3b94yILHIeEOAcQzEobCVeJ6g51e0G3hUb5n8zE56m36xB08eC21Gs9NPf*B02AnpvREo1eMRAhuRFiTIEWjhJJ20BD/1ALBINO2.jpg?width=650)
ALBINO AUAWA, ACHUKULIWA VIUNGO VYAKE HUKO SIMIYU
10 years ago
Habarileo12 Mar
Kesi za wauaji wa albino kuharakishwa
JAJI Mkuu wa Tanzania, Mohamed Chande Othman amesema watahakikisha kesi zote zinazohusu mauaji ya walemavu wa ngozi zinapewa kipaumbele.
10 years ago
Habarileo03 Mar
Kikwete: Wauaji wa albino wasakwe
RAIS Jakaya Kikwete amezungumzia hali ya usalama wa nchi, ikiwemo uvamizi wa vituo vya Polisi, uporaji wa silaha ulioambatana na vifo vya askari na kusema matukio hayo, baadhi yake yana dalili za ugaidi.
10 years ago
Mwananchi28 Feb
Wauaji wa albino tunawafuga wenyewe
10 years ago
Vijimambo03 Jan
JK aidhinisha wauaji albino wanyongwe
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/JK-3Jan2015.jpg)
Chama cha Albino Tanzania (Tas) kimemuomba Rais Jakaya Kikwete, aidhinishe utekelezwaji wa hukumu ya kuwanyonga hadi kufa, wafungwa waliopatikana na hatia ya kuwaua albino.
Akizungumza kabla ya kuhitimisha Mkutano Mkuu wa Kamati Kuu ya TAS, wiki hii mjini Dodoma, Mwenyekiti wa Tas – Taifa, Ernest Kimaya, alisema ombi hilo ni moja ya maazimio waliyoyafikia na yasipotekelezwa ndani ya miezi...
10 years ago
Habarileo26 Jun
Mabalozi wafichueni wauaji wa albino-CCM
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimewataka mabalozi wa nyumba kumi, kushirikiana na serikali kukomesha mauaji ya watu wenye ulemavu wa ngozi kwa kubaini na kufichua mtandao wa wanaohusika.
10 years ago
Tanzania Daima30 Aug
Kura za wauaji wa Albino ziliishia wapi?
MAUJI ya watu wenye ulemavu wa ngozi nchini (Albino), bado yanazidi kushika kasi. Hii inaweza kuwa tafsiriwa tosha kwamba wanaojihusisha na unyama huo, wametambua hatua dhaifu zinazochukuliwa na Serikali kupitia...
10 years ago
Michuzi26 Sep
SHUHUDA ALBINO ATAKA WAUAJI WANYONGWE HADHARANI
![DSC_0519](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/09/DSC_05191.jpg)
======= ======= =======Mwanamke albino Mariam Stanford aliyepoteza mikono yake yote miwili wakati iliponyofolewa na majahili asiowajua Oktona7,...
10 years ago
Mwananchi20 Apr
Lowassa ataka Kikwete asaini kunyonga wauaji wa albino