SHUHUDA ALBINO ATAKA WAUAJI WANYONGWE HADHARANI
Shuhuda aliyenusurika kwenye mauaji ya Albino ambaye amekatwa mikono yote miwili, Mariam Stanford akitoa ushuhuda wake na killio chake mbele ya meza na wageni waalikwa waliohudhuria sherehe za maadhimisho ya siku ya kimataifa ya amani iliyofanyika hivi karibuni jijini Dar es Salaam kwenye viwanja vya Mnazi mmoja.(Picha na Zainul Mzige wa MOblog).
======= ======= =======Mwanamke albino Mariam Stanford aliyepoteza mikono yake yote miwili wakati iliponyofolewa na majahili asiowajua Oktona7,...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/09/DSC_05191.jpg)
SHUHUDA ALBINO ATAKA WAUAJI WANYONGWE HADHARANI
10 years ago
Vijimambo03 Jan
JK aidhinisha wauaji albino wanyongwe
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/JK-3Jan2015.jpg)
Chama cha Albino Tanzania (Tas) kimemuomba Rais Jakaya Kikwete, aidhinishe utekelezwaji wa hukumu ya kuwanyonga hadi kufa, wafungwa waliopatikana na hatia ya kuwaua albino.
Akizungumza kabla ya kuhitimisha Mkutano Mkuu wa Kamati Kuu ya TAS, wiki hii mjini Dodoma, Mwenyekiti wa Tas – Taifa, Ernest Kimaya, alisema ombi hilo ni moja ya maazimio waliyoyafikia na yasipotekelezwa ndani ya miezi...
10 years ago
Mwananchi20 Apr
Lowassa ataka Kikwete asaini kunyonga wauaji wa albino
10 years ago
Mwananchi28 Feb
Wauaji wa albino tunawafuga wenyewe
10 years ago
Habarileo12 Mar
Kesi za wauaji wa albino kuharakishwa
JAJI Mkuu wa Tanzania, Mohamed Chande Othman amesema watahakikisha kesi zote zinazohusu mauaji ya walemavu wa ngozi zinapewa kipaumbele.
10 years ago
Habarileo03 Mar
Kikwete: Wauaji wa albino wasakwe
RAIS Jakaya Kikwete amezungumzia hali ya usalama wa nchi, ikiwemo uvamizi wa vituo vya Polisi, uporaji wa silaha ulioambatana na vifo vya askari na kusema matukio hayo, baadhi yake yana dalili za ugaidi.
10 years ago
Tanzania Daima30 Aug
Kura za wauaji wa Albino ziliishia wapi?
MAUJI ya watu wenye ulemavu wa ngozi nchini (Albino), bado yanazidi kushika kasi. Hii inaweza kuwa tafsiriwa tosha kwamba wanaojihusisha na unyama huo, wametambua hatua dhaifu zinazochukuliwa na Serikali kupitia...
10 years ago
Habarileo26 Jun
Mabalozi wafichueni wauaji wa albino-CCM
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimewataka mabalozi wa nyumba kumi, kushirikiana na serikali kukomesha mauaji ya watu wenye ulemavu wa ngozi kwa kubaini na kufichua mtandao wa wanaohusika.
11 years ago
Mwananchi14 May
Albino auawa, wauaji watoweka na viungo