Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tahadhari:Wanawake wanaokula udongo

Wanawake wanaokula udongo wakiwa wajiwazito wamo katika hatari ya kuwafanya watoto watakowajifungua kutofanya vizuri shuleni.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Tahadhari kwa wanawake kwa mtu huyu!

DSCN9777 (1)

Pichani Malaria akiwa amejipumzisha kwenye kibaraza cha maeneo ya ofisi za Idara ya Habari Maelezo kama alivyokutwa na mpiga picha wetu.

Na Andrew Chale, modewjiblog

Hali ya sintofahamu juu ya mtu mmoja aliyefahamika kwa jina la ‘Malaria’,  imezidi kuwa kero kwa baadhi ya watu ikiwemo wanawake kwa mtu huyo kuwafanyia vitendo vya kidhalilishaji  kwa kuwashika sehemu  nyeti, na baada ya hapo kukimbia ama humtisha kwa lengo la kutaka kumpiga aliyemfanyia kitendo hicho.

Kwa siku kadhaa,...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Diwani: Watendaji wanaokula fedha wachapwe viboko

DIWANI wa Rungwa, Tarafa ya Itigi, wilayani Manyoni, Singida, Edward Machapaa, amependekeza adhabu ya kuchapwa viboko itolewe kwa watendaji wanaokula fedha za wananchi zilizotolewa na serikali kwa ajili ya kukamilisha...

 

10 years ago

Habarileo

Kinana akemea wapimaji viwanja wanaokula rushwa

Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman KinanaKATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana amekemea watu wanaotumia upimaji na ugawaji viwanja kama fursa ya kutengeneza ulaji.

 

9 years ago

Mwananchi

Wanaokula ‘bata’, kuangukia pua kwa kuhama vyama

Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25 umeacha majeraha na simanzi kwa baadhi ya wagombea ubunge waliojikuta wakishindwa licha ya kujizolea umaarufu ndani ya vyama vyao na Bunge la 10 lililomaliza muda wake.

 

11 years ago

Mwananchi

Ndugu wanaokula maiti za watu wakamatwa tena Pakistan

>Watu wawili wanaotuhumiwa kula nyama za binadamu wamekamatwa baada ya kichwa cha mtoto wa miaka mitatu, kukutwa katika nyumba wanayoishi nchini Pakistan.

 

5 years ago

BBCSwahili

Waridi wa BBC: Dada wawili wanaokula sabuni kama chakula

Katika Waridi wa BBC, fuatilia dada wawili wanaofurahishwa na kula sabuni

 

5 years ago

Michuzi

Madiwani Waazimia kuwawajibisha watumishi wanaokula njama na wakwepa ushuru

Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi limeazimia kuzitumia kanuni za utumishi wa umma zinaoelezea adhabu inyaotolewa kwa watumishi ambao hawawajibiki ipasavyo kwa mwajiri wao katika kuhakikisha wanakusanya ushuru kwenye maeneo yao waliyopangiwa na hatimae kuongeza mapato ya halmashauri hiyo iliyopo Mkoani Rukwa

Kauli hiyo imetolewa na kaimu mwenyekiti wa halmashauri hiyo Mh. Steven Kayogolo wakati akifunga baraza hilo la robo ya pili ya mwaka wa fedha 2019/2020 na kuongeza kuwa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Maporomoko ya udongo yaua Ulaya

Watu wanne wamekufa kufuatia maporomoko ya udongo nchini Italia na Uswisi

 

11 years ago

GPL

KIKONGWE AISHI KWA KULA UDONGO

Stori: Denis Mtima KATIKA hali ya kushangaza na kusikitisha sana, kikongwe mmoja aitwaye Athuman Ngusa Kulaba (80) amekuwa akiishi kwa kula udongo wa nyumba anayoishi kwa sababu ya kukosa chakula cha kibinadamu, Uwazi limemvumbua. Athuman Ngusa Kulaba amekuwa akiishi kwa kula udongo wa nyumba anayoishi. Kikongwe huyo alikutwa na gazeti hili hivi karibuni nyumbani kwake, Chanika wilayani Ilala, Mkoa wa Dar es Salaam baada ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani