Ndugu wanaokula maiti za watu wakamatwa tena Pakistan
>Watu wawili wanaotuhumiwa kula nyama za binadamu wamekamatwa baada ya kichwa cha mtoto wa miaka mitatu, kukutwa katika nyumba wanayoishi nchini Pakistan.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/wfufAsrgkK8FM4KxgwHbYE51aKbJCBHurfvknUqrGJLuLOnmPlZxjXiQLa5WuQeCdUWzJ8v28PzNKxeh6z6BhtFd7l0trJFE/140414145055_mohammad_arif_ali_512x288_ikrampiracha_nocredit.jpg?width=650)
AKAMATWA KWA KULA MAITI YA MTOTO PAKISTAN
Tamaa ya mchuzi wa nyama ya binadamu yatongea kaka wawili. Ni visa mbavyo wengi tulivisikia katika hadithi za kale, watu kuliwa na majitu, lakini katika siku za karibuni tumeshuhudia watu wakila viungo vya wenzao Jamhuri ya Afrika ya Kati katika jazba ya kulipiza kisasi dhidi ya watu waliowadhulumu katika uongozi uliong'olewa mamlakani wa Seleka. Nchini Pakistan Polisi wamewakamata wanaume wawili kwa makosa ya kuiba maiti ya...
10 years ago
BBCSwahili14 Aug
Wakamatwa kwa kutelekeza maiti Bali
Polisi kisiwani Bali nchini Indonesia wanawashikilia watu 2 baada ya mwili wa mwanamke kupatikana kwenye mfuko wa kusafiria.
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-oDtF2zwUl_4/UzHgewgJwjI/AAAAAAACeP0/W__xmjZYwqA/s72-c/michael.jpg)
Michael Agustine Lukindo Mtanzania aliyefariki Wisconsin wanatafutwa ndugu zake - maiti kuchomwa moto Jumamosi
![](http://3.bp.blogspot.com/-oDtF2zwUl_4/UzHgewgJwjI/AAAAAAACeP0/W__xmjZYwqA/s1600/michael.jpg)
Mtanzania mwenzetu amefariki Madison Wisconsin nchini Marekani, na kwa sasa ndugu zake wanatafutwa. Yeye ni mtu wa Tanga kwa jina la Michael Agustine Lukindo. Alikuja USA miaka mingi iliyopita, inasemekana zaidi ya miaka 30. Ameacha mke (African American) na watoto wanne, mkubwa alizaliwa 1989. Familia yake haijui ndugu za Michael. Mazishi yatafanyika Jumamosi March 29, 2014, ila mwili utachomwa. Kama una fununu au kujua lolote kuhusiana na...
10 years ago
BBCSwahili03 Nov
Watu 50 wauawa Pakistan
Zaidi ya watu 50 wameuawa na wengine 100 kujeruhiwa katika bomu la kujitoa muhanga huko Pakistan mpakani na India
10 years ago
BBCSwahili17 Mar
Watu 12 wamenyongwa Pakistan
Pakistan imewanyonga watu 12 kutoka magereza tofauti kote nchini saa chache tu tangu amri ya kurejesha hukumu ya kifo kuidhinishwa
11 years ago
GPL![](http://3.bp.blogspot.com/-oDtF2zwUl_4/UzHgewgJwjI/AAAAAAACeP0/W__xmjZYwqA/s1600/michael.jpg)
MICHAEL AGUSTINE LUKINDO MTANZANIA ALIYEFARIKI WISCONSIN WANATAFUTWA NDUGU ZAKE MAITI KUCHOMWA MOTO JUMAMOSI
Michael Agustine Lukindo enzi ya uhai wake. Kuna Mtanzania mwenzetu amefariki Madison Wisconsin nchini Marekani, wanatafutwa ndugu zake. ni mtu wa Tanga Michael Agustine Lukindo. Alikuja USA miaka mingi iliyopita, inasemekana zaidi ya miaka thelathini. Ameacha mke (African American) na watoto wanne, mkubwa alizaliwa 1989 familia yake haijui ndugu za Michael. Mazishi yatafanyika Jumamosi March 29, 2014, ila mwili utachomwa. Kama...
10 years ago
BBCSwahili24 Jun
Joto kali lawaua watu 800 Pakistan
Takriban watu 800 wamefariki nchini Pakistan kutokana na joto kali.Tayari maeneo ya kuhifadhi wafu yamejaa.
10 years ago
Mwananchi08 Sep
Mafuriko yaua watu 250 India, Pakistan
Watu zaidi ya 250 wamefariki dunia nchini India, Pakistan na China baada ya kusombwa na maji yaliosababishwa na mvua kubwa katika nchi hizo.
10 years ago
BBCSwahili23 Jun
Joto kali lawaua watu 700 Pakistan
Waziri mkuu nchini Pakistan Nawaz Sharrif ametaka hatua za dharura kuchukuliwa huku idadi ya watu waliofariki kutokana na joto katika mkoa wa kusini wa Sindh ikifikia 700.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania