Wakamatwa kwa kutelekeza maiti Bali
Polisi kisiwani Bali nchini Indonesia wanawashikilia watu 2 baada ya mwili wa mwanamke kupatikana kwenye mfuko wa kusafiria.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi19 Apr
Ndugu wanaokula maiti za watu wakamatwa tena Pakistan
10 years ago
MichuziSABA WAKAMATWA KWA KUJIHUSISHA NA UTENGENEZAJI WA NOTI BANDIA ZA DOLA ZA KIMAREKANI WAKAMATWA
Watuhumiwa hao walikamatwa mnamo tarehe 04/8/2014 wakiwa na noti bandia zipatazo 10,640 za dola mia (100) ambazo ni sawa na dola 1,064,000 ambazo ni zaidi ya shilingi za Kitanzania...
10 years ago
Raia Tanzania25 Jun
Ashitakiwa kwa kutelekeza familia
MFANYABIASHARA Baseif Salum (46), amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Mwanzo Kariakoo kujibu shitaka la kutelekeza familia.
Mbele ya Hakimu Benjamin Mwakasonda, Karani Hatanawe Kitogo, mwishoni mwa wiki alidai mshitakiwa alitenda kosa hilo Januari Mosi mwaka huu, saa 4:00 asubuhi, eneo la Kariakoo, wilayani Ilala.
Anadaiwa kumtelekeza mkewe Rahma Said na watoto wawili bila kumpatia huduma yoyote, huku akijua anatenda kosa hilo kinyume cha sheria.
Mshitakiwa alikana kutenda...
10 years ago
Mwananchi07 Apr
Karume aenziwe, si kwa maneno bali vitendo
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-J4Q91QIejus/Xmd_f1Z48FI/AAAAAAAAIZg/r3hbZfRDPUw9DGYGG6R1B6If3QC1hKF4ACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200310_123009_204.jpg)
KALIST ASEMA CCM HAITATUMIA DOLA KUTAKA MADARAKA BALI DOLA KWA NI KUTUMIA KWA KUTUMIKIA WANANCHI
![](https://1.bp.blogspot.com/-J4Q91QIejus/Xmd_f1Z48FI/AAAAAAAAIZg/r3hbZfRDPUw9DGYGG6R1B6If3QC1hKF4ACLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200310_123009_204.jpg)
Mstahiki Meya Mstaafu wa Jiji la Arusha Kalist Lazaro akiongea na vyombo vya habari leo leo jijini Arusha
Na Ahmed Mahmoud Arusha
CHAMAcha Mapinduzi,CCM, hakitatumia dola kubakia madarakani bali kitaitumia dola katika kuwatumikia na kuwahudumia wananchi kwa kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo na kuboresha huduma za jamii.
Hayo yameelezwa leo jijini Arusha kwenye ukumbi wa Hotel ya Arusha Palace, na aliyekuwa Meya wa Jijiji la Arusha,Kalisti Lazaro,alipokuwa akitolea ufafanuzi kauli ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-0qJn6gxPjR8/XuDYWU8ztBI/AAAAAAALtXM/vcldKanZfv8Y7_kuxvgq5AoDnLuQGQE6wCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200610-WA0022.jpg)
MGALU ASEMA ATACHAPAKAZI NA KUTUMIKIA JAMII SI KWA AJILI YA UCHAGUZI BALI KUTIMIZA DHAMANA YA UONGOZI ALIYOPEWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-0qJn6gxPjR8/XuDYWU8ztBI/AAAAAAALtXM/vcldKanZfv8Y7_kuxvgq5AoDnLuQGQE6wCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200610-WA0022.jpg)
NA MWAMVUA MWINYI, PWANI .
Mbunge Viti Maalum – Pwani, ambaye pia ni Naibu Waziri wa Nishati, Subira Mgalu amesema ataendelea kupiga kazi na kutumikia wanawake pamoja na wananchi si kwa ajili ya uchaguzi bali kwakuwa amepewa dhamana ya kutumikia wananchi kipindi cha miaka mitano .
Aliyasema hayo ,wakati alipotoa mchango wa vyerehani 29 katika hatua ya awali kwa kundi la watu wenye Ulemavu kupitia mashirikisho yao ya ngazi za Wilaya na Mkoa.
Mgalu amefanya tukio hilo kwa kuitekeleza Ilani ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Iz3MTnPCiio/Xn3U4ex_exI/AAAAAAAAI6Q/hWhtRWrxAOQwOSphErnYmpIY7HKcbOtIgCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200327_114357_848.jpg)
CCM HAKINA BEI YA BINADAMU BALI UTUMISHI KWA WANANCHI NDIO SILAHA MADHUBUTI ASEMA MASAWE
![](https://1.bp.blogspot.com/-Iz3MTnPCiio/Xn3U4ex_exI/AAAAAAAAI6Q/hWhtRWrxAOQwOSphErnYmpIY7HKcbOtIgCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200327_114357_848.jpg)
Kamati ya siasa wilaya ya Arusha mjini ukiendelea na kikao chake pamoja na kuwapokea waliokuwa madiwani wa kata za Ngarenaro na Sakina waliojiunga na chama hicho leo
![](https://1.bp.blogspot.com/--50D2gvqe6w/Xn3U3vmUxEI/AAAAAAAAI6I/8RGQaKMgIgM_SmEA5F0ymNcVqvh5ziATQCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200327_114637_691.jpg)
Viongozi wa ccm kata ya Ngarenaro waliomsindikiza aliyekuwa Diwani wa kata hiyo Isaya Doita kujiunga na chama hicho leo jijini Arusha picha zote na Ahmed Mahmoud Arusha
![](https://1.bp.blogspot.com/-reFXqHv-0eA/Xn3U4PPPrNI/AAAAAAAAI6M/O_TKKSFFoCQsDJERu5qK8BvH2H6DI17tQCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200327_115939_024.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-6f_3OeqDzmI/Xn3MoBJeb8I/AAAAAAAAI5g/mlbcyOsheUIh53Fxye6HHj0Lpzw0nPd8wCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200327_114409_950.jpg)
Wajaumbe wa kamati ya siasa CCM ya halmashauri ya Jiji la Arusha kutoka kushoto ni Mwenyekiti wa UWT wilaya hiyo Merry Kisaka Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/KhhA6XZToLpkkR48mQhJRf7*i05N0tjIvPxIS21ijpLKsHvfQtk24*Ns9LjI-iF5ODDZZkwVSyRSoJ67ofAOWK0IgmLbATgP/Back.jpg?width=650)
MCHUNGAJI ADAIWA KUTELEKEZA MKE
11 years ago
Tanzania Daima28 Jun
DC adaiwa kutelekeza watoto Brazil
WACHEZAJI sita wa ‘The Dream Team’ mkoani hapa waliofanikiwa kupata nafasi na kutimiza masharti ya kupelekwa nchini Brazil kushuhudia mechi za Kombe la Dunia wamekumbana na adha baada ya kulazwa...