CCM HAKINA BEI YA BINADAMU BALI UTUMISHI KWA WANANCHI NDIO SILAHA MADHUBUTI ASEMA MASAWE
![](https://1.bp.blogspot.com/-Iz3MTnPCiio/Xn3U4ex_exI/AAAAAAAAI6Q/hWhtRWrxAOQwOSphErnYmpIY7HKcbOtIgCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200327_114357_848.jpg)
Kamati ya siasa wilaya ya Arusha mjini ukiendelea na kikao chake pamoja na kuwapokea waliokuwa madiwani wa kata za Ngarenaro na Sakina waliojiunga na chama hicho leo
Viongozi wa ccm kata ya Ngarenaro waliomsindikiza aliyekuwa Diwani wa kata hiyo Isaya Doita kujiunga na chama hicho leo jijini Arusha picha zote na Ahmed Mahmoud Arusha
Wajaumbe wa kamati ya siasa CCM ya halmashauri ya Jiji la Arusha kutoka kushoto ni Mwenyekiti wa UWT wilaya hiyo Merry Kisaka Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-J4Q91QIejus/Xmd_f1Z48FI/AAAAAAAAIZg/r3hbZfRDPUw9DGYGG6R1B6If3QC1hKF4ACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200310_123009_204.jpg)
KALIST ASEMA CCM HAITATUMIA DOLA KUTAKA MADARAKA BALI DOLA KWA NI KUTUMIA KWA KUTUMIKIA WANANCHI
![](https://1.bp.blogspot.com/-J4Q91QIejus/Xmd_f1Z48FI/AAAAAAAAIZg/r3hbZfRDPUw9DGYGG6R1B6If3QC1hKF4ACLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200310_123009_204.jpg)
Mstahiki Meya Mstaafu wa Jiji la Arusha Kalist Lazaro akiongea na vyombo vya habari leo leo jijini Arusha
Na Ahmed Mahmoud Arusha
CHAMAcha Mapinduzi,CCM, hakitatumia dola kubakia madarakani bali kitaitumia dola katika kuwatumikia na kuwahudumia wananchi kwa kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo na kuboresha huduma za jamii.
Hayo yameelezwa leo jijini Arusha kwenye ukumbi wa Hotel ya Arusha Palace, na aliyekuwa Meya wa Jijiji la Arusha,Kalisti Lazaro,alipokuwa akitolea ufafanuzi kauli ya...
11 years ago
Habarileo07 Feb
‘Chakula cha GMO hakina madhara kwa binadamu’
MTAFITI Mkuu wa Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (Costech), Dk Nicholas Nyange amehakikishia Watanzania kuwa chakula kinachotokana na mazao ya uhandisi tete (GMO), hakina madhara kwa binadamu, kwa sababu Watanzania wengi wameshatumia chakula hicho.
10 years ago
Bongo Movies22 Jan
Dude akubaliana na bei ya Tshs. 1500 kwa filamu. Asema ndio njia pekee ya kupambana na uharamia.
Masanii wa filamu nchini Dude, amefunguka kwa kusema kuwa kwa kuwa serikali imeshindwa kupambana na wezi wa kazi za wasanii ni bora bei ya Steps Tsh 1500 iyendelee ili kuiyokoa tasinia hiyo.
Dude ameiambia tovuti ya Bongo5 kuwa hakuna njia kwa sasa ya kuweza kupambana na maharamia wa kazi za wasanii zaidi kushusha bei ya filamu.
“Tumeshindwa kuwathibiti pirates, watu wanasambaza kazi, wanauza kazi kwa bei rahisi, leo hii ukienda Buguruni unapata kazi kwa elfu mbili, elfu moja mia tano,...
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-P2O2u--TJb0/VgA5oSVlasI/AAAAAAAAoEI/sWk8c8iyGd8/s72-c/3.jpg)
DK MAGUFULI ASEMA HAKUOMBA URAIS KUTAFUTA FEDHA BALI KUWAFANYIA KAZI WANANCHI
![](http://4.bp.blogspot.com/-P2O2u--TJb0/VgA5oSVlasI/AAAAAAAAoEI/sWk8c8iyGd8/s640/3.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Ucy2WtW3eTY/VgA5qZo-7TI/AAAAAAAAoEQ/OaCeD4yEKOo/s640/32.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-lrAhYE0JoXc/VgA5r0lGZmI/AAAAAAAAoEY/2m6PYklgOJ8/s640/29.jpg)
9 years ago
Bongo501 Dec
Nisher asema bei mpya anayotoza kushoot video ndio inayowakimbiza wasanii wengi
![Nisher7](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Nisher7-300x194.jpg)
Mwishoni mwa mwaka 2013 muongozaji wa video nchini, Nisher alikuwa akitoza shilingi milioni 3 kushoot video moja ya muziki, na aliahidi kuongeza bei hadi kufikia dola 4000 pale vifaa vipya alivyoagiza vitakapowasili.
Akizungumza na Bongo5 hivi karibuni, Nisher amesema kwa sasa anatoza shilingi milioni 10 kwa video moja, ambayo inahusisha gharama zote za utegenezaji kama location, models, malipo ya director pamoja na usambazaji.
“Kwasasa video kwangu ni 10 million (production/director’s...
9 years ago
Vijimambo22 Sep
CCM ndio chama kinachopendwa zaidi na wananchi Takwimu zinaonyesha kwamba wananchi hawaelewi nafasi rasmi ya Ukawa
![](http://dar24.com/wp-content/uploads/2015/09/Lowassa-vs-Magufuli.jpg)
Chadema ni chama cha pili kinachopendwa kushinda vyama vingine vya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-0qJn6gxPjR8/XuDYWU8ztBI/AAAAAAALtXM/vcldKanZfv8Y7_kuxvgq5AoDnLuQGQE6wCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200610-WA0022.jpg)
MGALU ASEMA ATACHAPAKAZI NA KUTUMIKIA JAMII SI KWA AJILI YA UCHAGUZI BALI KUTIMIZA DHAMANA YA UONGOZI ALIYOPEWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-0qJn6gxPjR8/XuDYWU8ztBI/AAAAAAALtXM/vcldKanZfv8Y7_kuxvgq5AoDnLuQGQE6wCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200610-WA0022.jpg)
NA MWAMVUA MWINYI, PWANI .
Mbunge Viti Maalum – Pwani, ambaye pia ni Naibu Waziri wa Nishati, Subira Mgalu amesema ataendelea kupiga kazi na kutumikia wanawake pamoja na wananchi si kwa ajili ya uchaguzi bali kwakuwa amepewa dhamana ya kutumikia wananchi kipindi cha miaka mitano .
Aliyasema hayo ,wakati alipotoa mchango wa vyerehani 29 katika hatua ya awali kwa kundi la watu wenye Ulemavu kupitia mashirikisho yao ya ngazi za Wilaya na Mkoa.
Mgalu amefanya tukio hilo kwa kuitekeleza Ilani ya...
10 years ago
Habarileo30 Jun
Udogo si hoja bali dhamira ya utumishi -Kigwangalla
KAZI ya kutafuta wadhamini kwa Mbunge wa Nzega, Dk Hamis Kigwangalla ilimalizikia juzi mkoani Mbeya akiwa amezunguka mikoa 19 na kufanikiwa kudhaminiwa na wanachama 30,000 kwa ajili ya kuomba ridhaa ya CCM kugombea urais kwenye uchaguzi mkuu ujao.