‘Chakula cha GMO hakina madhara kwa binadamu’
MTAFITI Mkuu wa Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (Costech), Dk Nicholas Nyange amehakikishia Watanzania kuwa chakula kinachotokana na mazao ya uhandisi tete (GMO), hakina madhara kwa binadamu, kwa sababu Watanzania wengi wameshatumia chakula hicho.
habarileo
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Iz3MTnPCiio/Xn3U4ex_exI/AAAAAAAAI6Q/hWhtRWrxAOQwOSphErnYmpIY7HKcbOtIgCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200327_114357_848.jpg)
CCM HAKINA BEI YA BINADAMU BALI UTUMISHI KWA WANANCHI NDIO SILAHA MADHUBUTI ASEMA MASAWE
![](https://1.bp.blogspot.com/-Iz3MTnPCiio/Xn3U4ex_exI/AAAAAAAAI6Q/hWhtRWrxAOQwOSphErnYmpIY7HKcbOtIgCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200327_114357_848.jpg)
Kamati ya siasa wilaya ya Arusha mjini ukiendelea na kikao chake pamoja na kuwapokea waliokuwa madiwani wa kata za Ngarenaro na Sakina waliojiunga na chama hicho leo
![](https://1.bp.blogspot.com/--50D2gvqe6w/Xn3U3vmUxEI/AAAAAAAAI6I/8RGQaKMgIgM_SmEA5F0ymNcVqvh5ziATQCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200327_114637_691.jpg)
Viongozi wa ccm kata ya Ngarenaro waliomsindikiza aliyekuwa Diwani wa kata hiyo Isaya Doita kujiunga na chama hicho leo jijini Arusha picha zote na Ahmed Mahmoud Arusha
![](https://1.bp.blogspot.com/-reFXqHv-0eA/Xn3U4PPPrNI/AAAAAAAAI6M/O_TKKSFFoCQsDJERu5qK8BvH2H6DI17tQCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200327_115939_024.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-6f_3OeqDzmI/Xn3MoBJeb8I/AAAAAAAAI5g/mlbcyOsheUIh53Fxye6HHj0Lpzw0nPd8wCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200327_114409_950.jpg)
Wajaumbe wa kamati ya siasa CCM ya halmashauri ya Jiji la Arusha kutoka kushoto ni Mwenyekiti wa UWT wilaya hiyo Merry Kisaka Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi...
10 years ago
Dewji Blog26 May
Kituo cha Afya Ndago hakina huduma za upasuaji kwa miaka mitano
Jengo la kituo cha afya cha tarafa ya Ndago, wilayani Iramba, Mkoani Singida ambacho licha ya kutokuwa na huduma za upasuaji, lakini vile vile kituo hicho hakina usafiri wa gari la wagonjwa kwa miaka mine sasa huku gari lililokuwa limepangiwa katika kituo hicho kutumiwa na watendaji wa wilaya hiyo.(Picha zote na Jumbe Ismailly).
Na Jumbe Ismailly, Iramba
KITUO cha afya cha tarafa ya Ndago,wilayani Iramba,Mkoani Singida hakina huduma za upasuaji kwa miaka mitano sasa licha ya jengo la kutolea...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Le4opxu2f8A/VO9hGF25IbI/AAAAAAAHGGk/Svmle4dN2DM/s72-c/unnamed%2B(24).jpg)
BODI YA CHAKULA, DAWA NA VIPODOZI ZANZIBAR YAANGAMIZA UNGA WA NGANO TANI 70 AMBAO HAUFAI KWA MATUMIZI YA BINADAMU
![](http://1.bp.blogspot.com/-Le4opxu2f8A/VO9hGF25IbI/AAAAAAAHGGk/Svmle4dN2DM/s1600/unnamed%2B(24).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-HaLBiDzQ2TE/VO9hF-EioPI/AAAAAAAHGGg/mjT3-jx1SWs/s1600/unnamed%2B(25).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-aWGHt4Gk1_Y/VO9hFtQ6voI/AAAAAAAHGGc/4dUTVvzYbk0/s1600/unnamed%2B(26).jpg)
11 years ago
Tanzania Daima25 Jun
Kikombe cha babu hakina athari
SERIKALI imesema dawa ya asili ya Mchungaji Ambilikile Mwasapila wa Loliondo, mkoani Arusha ‘kikombe cha babu’ haikuwa na madhara kwa watumiaji. Dawa hiyo haikuthibitishwa kama kweli ilikuwa na uwezo wa...
10 years ago
Dewji Blog10 Oct
Dkt. Bilal ashiriki hafla ya chakula cha jioni cha hisani kuchangia mfuko wa kampeni wa jitolee kwa ajili ya kinamama wa Afrika, Jijini Dar
Makamua wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akihutubia wakati wa hafla ya Chakula cha Hisani kwa ajili ya kuchangia Mfuko wa Kampeni ya Jitolee kwa ajili ya Akinamama wa Afrika, iliyofanyika kwenye Hoteli ya Serena jana usiku Oktoba 9, 2014 jijini Dar es Salaam. (Picha na OMR).
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimkabidhi Cheti, Mkurugenzi Mtendaji wa Push Mobile, Freddie Manento, wakati wa hafla ya Chakula...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-lU-1SyXaH_c/VDe1Y0KFftI/AAAAAAADJPk/tvBZvbqdfL0/s72-c/01.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL ASHIRIKI HAFLA YA CHAKULA CHA JIONI CHA HISANI KUCHANGIA MFUKO WA KAMPENI WA JITOLEE KWA AJILI YA KINAMAMA WA AFRIKA, JIJINI DAR
![](http://3.bp.blogspot.com/-lU-1SyXaH_c/VDe1Y0KFftI/AAAAAAADJPk/tvBZvbqdfL0/s1600/01.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-CcL3X1rcI-A/VDe1n9ur4AI/AAAAAAADJQM/dCTsGfv2gt8/s1600/1.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/HMrNkLH2ZKO73Ll*CaIeDxsZWlT*qJhM2r-kEh2iGQ2Kdq70rwQ-AGl11PFRl0ri4KscxZlvELhdqcEunRoNHYc0Dnm9hoFz/25.jpg?width=650)
SHOGA: MUANDAE MUMEO KWA CHAKULA CHA USIKU
11 years ago
Dewji Blog29 Apr
Wakulima wapongezwa kwa kupanua kilimo cha mazao ya chakula
Mkuu wa Mkoa wa Singida, Dk.Parseko Vicent Kone akizungumza kwenye hafla ya uzinduzi wa chanjo kimkoa,iliyofanyika katika kijiji cha Mtinko jimbo la Singida kaskazini.
Na Nathaniel Limu, Singida
MKUU wa Mkoa wa Singida,Dk.Parseko Vicent Kone amewapongeza wakulima kwa kuongeza juhudi ya kupanua kilimo cha mazao ya chakula na biashara msimu huu ikilinganishwa na misimu iliyopita.
Dk.Kone ametoa pongezi hizo wakati akizungumza kwenye hafla ya uzinduzi wa chanjo kimkoa,iliyofanyika katika...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/TwbgnXl4eNWDqe8zgiNV7crVj5ehmCKSf7ZuDT6ZY2ftmCOD1Eh7gqWoQTzc8eBC2AR3l1lKOMuewRK9R41ReXegRe6UyDyZ/22.jpg?width=650)
PSPF YAANDAA CHAKULA CHA JIONI KWA WALIMU MJINI MOROGORO