Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kikombe cha babu hakina athari

SERIKALI imesema dawa ya asili ya Mchungaji Ambilikile Mwasapila wa Loliondo, mkoani Arusha ‘kikombe cha babu’ haikuwa na madhara kwa watumiaji. Dawa hiyo haikuthibitishwa kama kweli ilikuwa na uwezo wa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Baada ya Kikombe cha Babu, dhahabu yaibuka Samunge

>Maelfu ya watu wamemiminika tena katika eneo la Samunge, Wilaya ya Ngorongoro Mkoa wa Arusha, safari hii siyo kunywa Kikombe cha Babu Mchungaji Ambilikile Mwasapile, bali kupata dhahabu inayodaiwa kugundulika  katika eneo hilo.

 

10 years ago

Mwananchi

Mayai ya kwale kama kikombe cha Babu, Serikali iko kimya

Miaka ya hivi karibuni kulikuwa na gumzo kubwa hapa nchini na hata nje ya nchi juu ya tiba ya kimaajabu maarufu kama ‘kikombe cha babu.’

 

11 years ago

Habarileo

‘Chakula cha GMO hakina madhara kwa binadamu’

MTAFITI Mkuu wa Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (Costech), Dk Nicholas Nyange amehakikishia Watanzania kuwa chakula kinachotokana na mazao ya uhandisi tete (GMO), hakina madhara kwa binadamu, kwa sababu Watanzania wengi wameshatumia chakula hicho.

 

11 years ago

Michuzi

kikombe cha chai

Hiki ni kikombe cha chai ambacho kwa Tanzania bara kilichomo hutwa chai ya rangi ama chai ya mkandaa. Kwa Zanzibar ni Chai kavu... Yaani ukiagiza chai ya rangi uwapo visiwani unaletewa ya maziwa. Upo hapo?

 

10 years ago

Dewji Blog

Kituo cha Afya Ndago hakina huduma za upasuaji kwa miaka mitano

SAM_2087Jengo la kituo cha afya cha tarafa ya Ndago, wilayani Iramba, Mkoani Singida ambacho licha ya kutokuwa na huduma za upasuaji, lakini vile vile kituo hicho hakina usafiri wa gari la wagonjwa kwa miaka mine sasa huku gari lililokuwa limepangiwa katika kituo hicho kutumiwa na watendaji wa wilaya hiyo.(Picha zote na Jumbe Ismailly).

Na Jumbe Ismailly, Iramba

KITUO cha afya cha tarafa ya Ndago,wilayani Iramba,Mkoani Singida hakina huduma za upasuaji kwa miaka mitano sasa licha ya jengo la kutolea...

 

10 years ago

GPL

LULU NA KISA CHA MAISHA YA MVUNJA KIKOMBE!

Oscal Ndauka SIKU za hivi karibuni imekuwa ikiripotiwa mtafaruku uliopo kati ya staa wa Bongo Movies, Elizabeth Michael ‘Lulu’ na mama wa aliyekuwa nyota wa tasnia hiyo, marehemu Steven Kanumba, Flora Mtegoa.Miongoni mwa mambo yanayozua hali hiyo, kwa mujibu wa mama Kanumba, ni kitendo cha Lulu kumsahau kama ‘mama’ yake na hivyo kukiuka ‘kiapo’ cha awali cha Lulu kumchukulia mama Kanumba...

 

10 years ago

Bongo Movies

Lulu na Kisa cha Maisha ya Mvunja Kikombe!

SIKU za hivi karibuni imekuwa ikiripotiwa mtafaruku uliopo kati ya staa wa Bongo Movies, Elizabeth Michael ‘Lulu’ na mama wa aliyekuwa nyota wa tasnia hiyo, marehemu Steven Kanumba, Flora Mtegoa.Miongoni mwa mambo yanayozua hali hiyo, kwa mujibu wa mama Kanumba, ni kitendo cha Lulu kumsahau kama ‘mama’ yake na hivyo kukiuka ‘kiapo’ cha awali cha Lulu kumchukulia mama Kanumba katika udugu wa umama.

Kiapo hiki kiliwekwa siku chache baada ya Lulu kuachiwa kwa dhamana akitoka kwenye Gereza la...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Waimbaji Injili wakipitie mbali kikombe cha utapeli

NIMEKUWA nikiandika uchambuzi wa maoni juu ya waimbaji wa muziki wa Injili, ambapo pamoja na kazi nzuri wanayoifanya ya kufikisha ujumbe wa Neno la Mungu kwa njia ya kuburudisha, baadhi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani