kikombe cha chai
![](http://3.bp.blogspot.com/--mMv7GI_-wk/Uwpz_HfRxuI/AAAAAAAFPK4/nuWXfvFSMLs/s72-c/IMG_1598.jpg)
Hiki ni kikombe cha chai ambacho kwa Tanzania bara kilichomo hutwa chai ya rangi ama chai ya mkandaa. Kwa Zanzibar ni Chai kavu... Yaani ukiagiza chai ya rangi uwapo visiwani unaletewa ya maziwa. Upo hapo?
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-rGp9IhbhxsU/VBTZPw1Yl3I/AAAAAAAGjeA/UMcrG5vMDUw/s72-c/unnamed%2B(41).jpg)
PINDA AONGOZA KIKAO CHA KUTATUA MGOGORO WA KIWANDA CHA CHAI CHA LUPONDE
![](http://3.bp.blogspot.com/-rGp9IhbhxsU/VBTZPw1Yl3I/AAAAAAAGjeA/UMcrG5vMDUw/s1600/unnamed%2B(41).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-IBnh3HMz2iQ/VBTZQPyOqFI/AAAAAAAGjeE/oSAa-EOK-_o/s1600/unnamed%2B(42).jpg)
11 years ago
Tanzania Daima25 Jun
Kikombe cha babu hakina athari
SERIKALI imesema dawa ya asili ya Mchungaji Ambilikile Mwasapila wa Loliondo, mkoani Arusha ‘kikombe cha babu’ haikuwa na madhara kwa watumiaji. Dawa hiyo haikuthibitishwa kama kweli ilikuwa na uwezo wa...
10 years ago
Bongo Movies30 Apr
Lulu na Kisa cha Maisha ya Mvunja Kikombe!
SIKU za hivi karibuni imekuwa ikiripotiwa mtafaruku uliopo kati ya staa wa Bongo Movies, Elizabeth Michael ‘Lulu’ na mama wa aliyekuwa nyota wa tasnia hiyo, marehemu Steven Kanumba, Flora Mtegoa.Miongoni mwa mambo yanayozua hali hiyo, kwa mujibu wa mama Kanumba, ni kitendo cha Lulu kumsahau kama ‘mama’ yake na hivyo kukiuka ‘kiapo’ cha awali cha Lulu kumchukulia mama Kanumba katika udugu wa umama.
Kiapo hiki kiliwekwa siku chache baada ya Lulu kuachiwa kwa dhamana akitoka kwenye Gereza la...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/0atGmsdmURQHBOua3v8UPIFWzoELSSQHTIQeO*Vdlmsl*SFAL0l27INlowc03eKbtJWYEWI3PkIRnrY5gL-wLDHrHi75h2mq/wpidlulu.jpg)
LULU NA KISA CHA MAISHA YA MVUNJA KIKOMBE!
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-hTatP_zVjoM/VKlz9IqR0NI/AAAAAAAG7PI/5K6AotcREyU/s72-c/IMG_3947.jpg)
JK AKIREJESHA KIWANDA CHA CHAI CHA MPONDE LUSHOTO KWA WANANCHI
![](http://1.bp.blogspot.com/-hTatP_zVjoM/VKlz9IqR0NI/AAAAAAAG7PI/5K6AotcREyU/s1600/IMG_3947.jpg)
Hayo ni Mafanikio ya...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-zZm5M3lMGy0/VKkz8Cf2z3I/AAAAAAAAVKQ/7M1-gFxUR4M/s72-c/2.jpg)
WANANCHI WA KIJIJI CHA MPONDE WARUDISHIWA UMILIKI WA KIWANDA CHA CHAI
![](http://3.bp.blogspot.com/-zZm5M3lMGy0/VKkz8Cf2z3I/AAAAAAAAVKQ/7M1-gFxUR4M/s1600/2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-oUWk_jN_sw4/VKkz-AXIfSI/AAAAAAAAVKc/KSsPgN5pcz8/s1600/3.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-t8EzhjnGIuc/VKk0IvM7tUI/AAAAAAAAVKk/-yUVueYsfyU/s1600/4.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-q_UGFAqiK0U/VKlyOBMUTzI/AAAAAAAAVK0/_ce_iuj8qGQ/s1600/1.jpg)
10 years ago
Michuzi05 Jan
SERIKALI YAREJESHA KIWANDA CHA CHAI CHA MPONDE MIKONONI MWA WANANCHI.
11 years ago
Tanzania Daima24 Jan
Waimbaji Injili wakipitie mbali kikombe cha utapeli
NIMEKUWA nikiandika uchambuzi wa maoni juu ya waimbaji wa muziki wa Injili, ambapo pamoja na kazi nzuri wanayoifanya ya kufikisha ujumbe wa Neno la Mungu kwa njia ya kuburudisha, baadhi...
11 years ago
Mwananchi21 May
Baada ya Kikombe cha Babu, dhahabu yaibuka Samunge