Baada ya Kikombe cha Babu, dhahabu yaibuka Samunge
>Maelfu ya watu wamemiminika tena katika eneo la Samunge, Wilaya ya Ngorongoro Mkoa wa Arusha, safari hii siyo kunywa Kikombe cha Babu Mchungaji Ambilikile Mwasapile, bali kupata dhahabu inayodaiwa kugundulika katika eneo hilo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima25 Jun
Kikombe cha babu hakina athari
SERIKALI imesema dawa ya asili ya Mchungaji Ambilikile Mwasapila wa Loliondo, mkoani Arusha ‘kikombe cha babu’ haikuwa na madhara kwa watumiaji. Dawa hiyo haikuthibitishwa kama kweli ilikuwa na uwezo wa...
10 years ago
Mwananchi12 Jun
Mayai ya kwale kama kikombe cha Babu, Serikali iko kimya
11 years ago
Michuzi24 Feb
11 years ago
Tanzania Daima28 May
‘Dhahabu ya Samunge ni Alluvium’
KAMISHNA wa Madini Kanda ya Kaskazini, Alex Mayagane, amethibitisha kuwa madini yanayochimbwa kwenye Kijiji cha Mgongo, wilayani Ngorongoro ni dhahabu aina ya ‘alluvium’ . Alitoa kauli hiyo jana wakati akitoa taarifa...
11 years ago
Tanzania Daima24 May
‘Dhahabu’ ya Samunge yatafitiwa
MKUU wa Wilaya ya Ngorongoro, Elias Wawa Lali, amesema kuwa wataalamu wa madini wanaendelea na utafiti kubaini endapo madini yanayoendelea kuchimbwa na wananchi kwenye maeneo ya milima na Mtoni kwenye...
10 years ago
Vijimambo02 Mar
BAADA YA CHELSEA KUTWAA KIKOMBE CHA CAPITAL ONE WATOTO WA TERRY WALIFANYA KOMBE SANDWICH.
![](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2015/03/02/263D7DA500000578-2975528-John_Terry_s_children_lay_asleep_with_the_Capital_One_Cup_sandwi-a-50_1425295835619.jpg)
![](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2015/03/02/26373FE900000578-2975427-image-a-22_1425290886502.jpg)
![](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2015/03/02/26388DD900000578-2975427-image-a-25_1425290957649.jpg)
11 years ago
Mwananchi04 Jun
Utafiti wabaini milima ya Samunge imejaa dhahabu
9 years ago
Mwananchi18 Dec
Babu wa Samunge:JPM awahakikishie wananchi huduma bora za afya
11 years ago
Habarileo24 May
DC azungumzia ‘dhahabu’ ya Kwa Babu Loliondo
MKUU wa Wilaya ya Ngorongoro, Elias Lali amesema haijathibitishwa kama madini, yanayodaiwa kugundulika Kijiji cha Mgongo huko Samunge kuwa ni dhahabu au la. Amesisitiza kuwa idadi ya watu wanaofika wilayani hapo kusaka dhahabu ni ndogo, ikilinganishwa na iliyojitokeza enzi za `Kikombe cha Babu wa Loliondo’, Mchungaji Ambilikile Mwaisapile.