Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Utafiti wabaini milima ya Samunge imejaa dhahabu

Wataalamu wa Wizara ya Nishati na Madini, Kanda ya Kaskazini wamethibitisha uwepo wa hazina ya madini ya dhahabu katika Mlima Rankiroga na Mto Karabaline katika Kijiji cha Mgongo, Kata ya Samunge, Wilaya ya Ngorongoro Mkoa wa Arusha.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

‘Dhahabu ya Samunge ni Alluvium’

KAMISHNA wa Madini Kanda ya Kaskazini, Alex Mayagane, amethibitisha kuwa madini yanayochimbwa kwenye Kijiji cha Mgongo, wilayani Ngorongoro ni dhahabu aina ya ‘alluvium’ . Alitoa kauli hiyo jana wakati akitoa taarifa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Dhahabu’ ya Samunge yatafitiwa

MKUU wa Wilaya ya Ngorongoro, Elias Wawa Lali, amesema kuwa wataalamu wa madini wanaendelea na utafiti kubaini endapo madini yanayoendelea kuchimbwa na wananchi kwenye maeneo ya milima na Mtoni kwenye...

 

11 years ago

Mwananchi

Baada ya Kikombe cha Babu, dhahabu yaibuka Samunge

>Maelfu ya watu wamemiminika tena katika eneo la Samunge, Wilaya ya Ngorongoro Mkoa wa Arusha, safari hii siyo kunywa Kikombe cha Babu Mchungaji Ambilikile Mwasapile, bali kupata dhahabu inayodaiwa kugundulika  katika eneo hilo.

 

10 years ago

Mwananchi

Utafiti mpya wabaini ‘Panya Road’ bado tishio

Dar es Salaam. Vikundi vya uhalifu nchini vyenye muundo ‘Panya Road’ vinazidi kuwapa hofu wananchi kutokana na vitendo vyao vya kutishia amani, utafiti wa Taasisi ya kiraia ya Twaweza umebainisha.

 

10 years ago

Mwananchi

RC aomba vituo vya utafiti na taarifa za milima

Serikali ya Tanzania imeomba mashirika ya uhifadhi wa milima ya kimataifa kusaidia kuanzisha vituo vya utafiti na taarifa katika Mlima Kilimanjaro na Meru, ili kubaini mapema athari za volcano na uharibifu wa mazingira kabla ya kuleta maafa.

 

10 years ago

Michuzi

WAKALA WA JIOLOJIA TANZANIA , YAFANIKIWA KUKAMILISHA UTAFITI WA KUTENGENEZA VIKOMBE VYA KUPIMIA DHAHABU(CRUSIBLE)

Na Samwel Mtuwa.
Wakala wa Jiolojia Tanzania , umefanikiwa kupunguza gharama za upimaji wa sampuli za dhahabu katika maabara yake kwa kufanikiwa kwa asilimia mia moja kuweza kutengeneza vikombe vya kupimia dhahabu (Crusible) ndani ya maabara yake ya Jiolojia mkoani Dodoma.
Kwa mujibu wa mtaalam wa Jioloji katika Maabara ya GST, Bw. Philipo Momburi alieleza kuwa hapo awali maabara ilikuwa inaagiza vikombe vya kupimia dhahabu maabara kutoka nje ya nchi , jambo ambalo lilikuwa likiingiza taasisi...

 

10 years ago

GPL

POLEPOLE: KATIBA MPYA IMEJAA UONGO-2

Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Tanzania Youth Coalition (TYC), Humphrey Polepole. Watu wengi wamekuwa wakiichambua Katiba Iliyopendekezwa  ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambayo inatarajiwa kupigiwa kura ya ndiyo au hapana na Watanzania Aprili 30, mwaka huu kama alivyotangaza Rais Jakaya Kikwete. Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Tanzania Youth Coalition (TYC), Humphrey Polepole anaendelea kuichambua katiba...

 

10 years ago

Tanzania Daima

‘Katiba ya Sitta imejaa ubabe, maswali mengi’

WANAHARAKATI nchini wamesema pamoja na Rais kupokea Katiba iliyopendekezwa, bado wanaona ni ya kibabe huku ikiacha maswali mengi kwa watanzania. Akizungumza na Tanzania Daima, Mkurugenzi wa Kituo cha Sheria na...

 

10 years ago

Mwananchi

Mbatia asema kauli ya Werema imejaa unafiki

Siku moja baada Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Frederick Werema kueleza kuwa hakuna mwenye mamlaka kisheria kuvunja au kusitiza Bunge la Katiba, mwenyekiti wa Chama cha NCCR-Mageuzi amesema kauli hiyo imejaa unafiki na kwamba upo uwezekano wa kuahirisha vikao kwa muda mpaka mwafaka wa kitaifa utakapopatikana.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani