‘Dhahabu’ ya Samunge yatafitiwa
MKUU wa Wilaya ya Ngorongoro, Elias Wawa Lali, amesema kuwa wataalamu wa madini wanaendelea na utafiti kubaini endapo madini yanayoendelea kuchimbwa na wananchi kwenye maeneo ya milima na Mtoni kwenye...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima28 May
‘Dhahabu ya Samunge ni Alluvium’
KAMISHNA wa Madini Kanda ya Kaskazini, Alex Mayagane, amethibitisha kuwa madini yanayochimbwa kwenye Kijiji cha Mgongo, wilayani Ngorongoro ni dhahabu aina ya ‘alluvium’ . Alitoa kauli hiyo jana wakati akitoa taarifa...
11 years ago
Mwananchi04 Jun
Utafiti wabaini milima ya Samunge imejaa dhahabu
11 years ago
Mwananchi21 May
Baada ya Kikombe cha Babu, dhahabu yaibuka Samunge
11 years ago
Mwananchi22 May
Gharama za maisha zapaa Samunge
10 years ago
Mwananchi09 Oct
Samunge kufurahia umeme nafuu
11 years ago
TheCitizen20 May
Thousands rush to Samunge searching for gold
9 years ago
StarTV24 Oct
Wafanyabiashara Samunge Arusha wataka Rais mwajibikaji
Wafanyabiashara wa soko la Samunge jijini Arusha wameeleza shauku ya kutaka kuwa na Rais atakayewasaidia kutatua kero zinazoikabili sekta hiyo ikiwemo kusimamia sera na mazingira rafiki yatakayowawezesha wafanyabiashara wadogo wadogo kunufaika kiuchumi. Kero kubwa ya wafanyabiashara hao ni kutokuwa na maeneo ya uhakika yatakayoondoa mivutano kati yao na Serikali. Wakizungumza sokoni hapa wafanyabiashara hawa wameutaka uongozi wa serikali ijayo kuboresha sekta ya wafanyabiashara hususan kwa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ScUok3DXUT0/XoC46NsNApI/AAAAAAAAI6g/FGrVkfH6ZKIgmr5eG0tPPWpCs6QLfqdHgCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200329-WA0029.jpg)
MFANYABIASHA AFARIKI DUNIA KWA MSHTUKO WA KUUNGULIWA MADUKA SAMUNGE
![](https://1.bp.blogspot.com/-ScUok3DXUT0/XoC46NsNApI/AAAAAAAAI6g/FGrVkfH6ZKIgmr5eG0tPPWpCs6QLfqdHgCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200329-WA0029.jpg)
Soko la Samunge likiteketea kwa Moto kama lilivyokutwa na kamare ya matukio jijini Arusha usiku wa kuamkia leo picha zote na Ahmed Mahmoud Arusha.
![](https://1.bp.blogspot.com/-L43gB-bbyAs/XoC46pqok_I/AAAAAAAAI6k/C3vnPNhzfFo8nGtli0hvFdpaXjKkeU_jwCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200329-WA0030.jpg)
Hivi ndivyo ilivyokuwa wakati soko la Samunge lilipokuwa linaungua leo jijini Arusha
![](https://1.bp.blogspot.com/-4OlG1RFZkyI/XoC4603v9AI/AAAAAAAAI6o/pW7_Wina8_8iQcjpBmuuazwrKhWavQ45ACLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200329-WA0031.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-KTI0LRdAgnk/XoC47mksJgI/AAAAAAAAI6s/JJ9lxLDRYCs2ts6UO-XFcQNSkcI5lk1bwCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200329-WA0032.jpg)
Soko la Samunge likiteketea na Moto usiku wa kuamkia leo jijini Arusha ambapo imeelezwa kuwa thamani ya Mali iliyoteketea bado haijajulikana huku mfanyabiashara Mmoja akifariki kwa mshtuko Mara baada ya kukuta maduka yake matatu yameungua.
Na Ahmed Mahmoud...
9 years ago
Mwananchi18 Dec
Babu wa Samunge:JPM awahakikishie wananchi huduma bora za afya