Samunge kufurahia umeme nafuu
Neema ya huduma za umeme imewaangukia wakazi wa Kijiji cha Samunge, Wilaya ya Ngorongoro, Mkoa wa Arusha baada ya Kampuni L’s Solutions kushinda ufadhili wa Dola za Marekani 100,000 kusambaza nishati hiyo katika eneo hilo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi30 May
Tumieni umeme wa maji, gharama yake ni nafuu
10 years ago
Habarileo01 Oct
Mradi wa umeme nafuu Kenya, Tanzania na Zambia waanza
UJENZI wa miundombinu ya kusafirisha umeme kutoka nchini Kenya kupitia Tanzania mpaka Zambia unaotarajiwa kupunguza bei za umeme kwa nchi husika umeanza, huku mawaziri wa sekta ya nishati kwa nchi husika wakikubaliana kukamilisha mwishoni mwa mwaka 2016.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-jJrP9XILtDE/XvWlxJY9JVI/AAAAAAAAAH8/nrRU5ggDCloYApAZ9fDBcxd-vsRbmkELgCLcBGAsYHQ/s72-c/afisa2.jpg)
WANANCHI WA KIGOMA VIJIJINI WAISHUKURU SERIKALI KWA KUWAPELEKEA UMEME WA BEI NAFUU
Elimu hiyo iliyoanza kutolewa kwenye mkoa huo wili hii imewafikia wanakijiji wa vijiji vya Kigoma ambapo baadhi ya wananchi wameishukuru serikali kwa miradi hii ya kuunganishiwa umeme wa bei nafuu kwani inachangia maendeleo ya kiuchumi.
Vijiji...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-AWBPOY6dL_Y/XvXN14nyDYI/AAAAAAACOgo/_507zAYMBkMnZTVTMkrEkNKe-mHLPltbQCLcBGAsYHQ/s72-c/19bf56cd-e190-41ae-8957-d6ba7141fc63.jpg)
WANANCHI KIGOMA VIJIJINI WAISHUKURU SERIKALI KWA KUWAPELEKEA UMEME WA GHARAMA NAFUU
![](https://1.bp.blogspot.com/-AWBPOY6dL_Y/XvXN14nyDYI/AAAAAAACOgo/_507zAYMBkMnZTVTMkrEkNKe-mHLPltbQCLcBGAsYHQ/s400/19bf56cd-e190-41ae-8957-d6ba7141fc63.jpg)
CCM Blog, Kigoma
SHIRIKA la Umeme Tanesco kupitia idara yake ya masoko imeendesha kampeni ya kuhamasisha wananchi wa mkoa wa Kigoma kuchangamkia fursa ya kuwekewa umeme wa REA ambao mkandarasi bado anaendelea na kazi kwenye vijiji mbalimbali mkoani hapa.
Elimu hiyo iliyoanza kutolewa kwenye...
11 years ago
Tanzania Daima24 May
‘Dhahabu’ ya Samunge yatafitiwa
MKUU wa Wilaya ya Ngorongoro, Elias Wawa Lali, amesema kuwa wataalamu wa madini wanaendelea na utafiti kubaini endapo madini yanayoendelea kuchimbwa na wananchi kwenye maeneo ya milima na Mtoni kwenye...
11 years ago
Tanzania Daima28 May
‘Dhahabu ya Samunge ni Alluvium’
KAMISHNA wa Madini Kanda ya Kaskazini, Alex Mayagane, amethibitisha kuwa madini yanayochimbwa kwenye Kijiji cha Mgongo, wilayani Ngorongoro ni dhahabu aina ya ‘alluvium’ . Alitoa kauli hiyo jana wakati akitoa taarifa...
11 years ago
Mwananchi22 May
Gharama za maisha zapaa Samunge
11 years ago
TheCitizen20 May
Thousands rush to Samunge searching for gold
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-sAWZJ43mYVs/VT-IzZQrMCI/AAAAAAAC3vE/gDoPm330rFg/s72-c/1.jpg)
Wanafunzi 60,000 wa UDOM kufurahia Airtel WI-FI
![](http://1.bp.blogspot.com/-sAWZJ43mYVs/VT-IzZQrMCI/AAAAAAAC3vE/gDoPm330rFg/s1600/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-HrrR8gA1-Vg/VT-IzYdEf6I/AAAAAAAC3vA/UxJbMlApEsk/s1600/2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-M_fxxxOXrPw/VT-IybXW_XI/AAAAAAAC3u8/luvEotO-yT8/s1600/3.jpg)