Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Dhahabu ya Samunge ni Alluvium’

KAMISHNA wa Madini Kanda ya Kaskazini, Alex Mayagane, amethibitisha kuwa madini yanayochimbwa kwenye Kijiji cha Mgongo, wilayani Ngorongoro ni dhahabu aina ya ‘alluvium’ . Alitoa kauli hiyo jana wakati akitoa taarifa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

‘Dhahabu’ ya Samunge yatafitiwa

MKUU wa Wilaya ya Ngorongoro, Elias Wawa Lali, amesema kuwa wataalamu wa madini wanaendelea na utafiti kubaini endapo madini yanayoendelea kuchimbwa na wananchi kwenye maeneo ya milima na Mtoni kwenye...

 

11 years ago

Mwananchi

Utafiti wabaini milima ya Samunge imejaa dhahabu

Wataalamu wa Wizara ya Nishati na Madini, Kanda ya Kaskazini wamethibitisha uwepo wa hazina ya madini ya dhahabu katika Mlima Rankiroga na Mto Karabaline katika Kijiji cha Mgongo, Kata ya Samunge, Wilaya ya Ngorongoro Mkoa wa Arusha.

 

11 years ago

Mwananchi

Baada ya Kikombe cha Babu, dhahabu yaibuka Samunge

>Maelfu ya watu wamemiminika tena katika eneo la Samunge, Wilaya ya Ngorongoro Mkoa wa Arusha, safari hii siyo kunywa Kikombe cha Babu Mchungaji Ambilikile Mwasapile, bali kupata dhahabu inayodaiwa kugundulika  katika eneo hilo.

 

11 years ago

Mwananchi

Gharama za maisha zapaa Samunge

Gharama za maisha katika Kijiji cha Samunge wilayani Loliondo ambako maelfu ya watu wamekimbilia kuchimba dhahabu ambayo imegundulika, zimepanda kiwango cha kutisha hasa chakula na maji.

 

10 years ago

Mwananchi

Samunge kufurahia umeme nafuu

Neema ya huduma za umeme imewaangukia wakazi wa Kijiji cha Samunge, Wilaya ya Ngorongoro, Mkoa wa Arusha baada ya Kampuni L’s Solutions kushinda ufadhili wa Dola za Marekani 100,000 kusambaza nishati hiyo katika eneo hilo.

 

11 years ago

TheCitizen

Thousands rush to Samunge searching for gold

All roads are once again heading to Samunge Village in Ngorongoro District, Arusha Region; this time around to get “Babu’s miracle cup of herbal medicine”, but to dig up precious metal.

 

9 years ago

StarTV

Wafanyabiashara Samunge Arusha wataka Rais mwajibikaji

Wafanyabiashara wa soko la Samunge jijini Arusha wameeleza shauku ya kutaka kuwa na Rais atakayewasaidia kutatua kero zinazoikabili sekta hiyo ikiwemo kusimamia sera na mazingira rafiki yatakayowawezesha wafanyabiashara wadogo wadogo kunufaika kiuchumi. Kero kubwa ya wafanyabiashara hao ni kutokuwa na maeneo ya uhakika yatakayoondoa mivutano kati yao na Serikali. Wakizungumza sokoni hapa wafanyabiashara hawa wameutaka uongozi wa serikali ijayo kuboresha sekta ya wafanyabiashara hususan kwa...

 

5 years ago

Michuzi

MFANYABIASHA AFARIKI DUNIA KWA MSHTUKO WA KUUNGULIWA MADUKA SAMUNGE


Soko la Samunge likiteketea kwa Moto kama lilivyokutwa na kamare ya matukio jijini Arusha usiku wa kuamkia leo picha zote na Ahmed Mahmoud Arusha.

Hivi ndivyo ilivyokuwa wakati soko la Samunge lilipokuwa linaungua leo jijini Arusha


Soko la Samunge likiteketea na Moto usiku wa kuamkia leo jijini Arusha ambapo imeelezwa kuwa thamani ya Mali iliyoteketea bado haijajulikana huku mfanyabiashara Mmoja akifariki kwa mshtuko Mara baada ya kukuta maduka yake matatu yameungua.



Na Ahmed Mahmoud...

 

9 years ago

Mwananchi

Babu wa Samunge:JPM awahakikishie wananchi huduma bora za afya

Tangu aingie madarakani Novemba5, Rais John Magufuli ameonyesha dhamira ya kufanya mabadiliko katika mfumo wa uongozi na utoaji wa huduma za kijamii ikiwemo sekta ya afya inayokabiliwa na changamoto kadhaa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani