Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Gharama za maisha zapaa Samunge

Gharama za maisha katika Kijiji cha Samunge wilayani Loliondo ambako maelfu ya watu wamekimbilia kuchimba dhahabu ambayo imegundulika, zimepanda kiwango cha kutisha hasa chakula na maji.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Kero la gharama ya Maisha Kenya

Utafiti mpya nchini Kenya umeonyesha kuwa idadi kubwa ya wakenya wanakerwa zaidi na gharama ya juu ya maisha kuliko kitu kingine chochote

 

11 years ago

Mwananchi

Gharama za maisha kijijini Qunu zapanda

Gharama za maisha zimepanda katika Kijiji cha Qunu atakakozikwa Rais wa kwanza mzalendo wa Afrika, Neslon Mandela na sasa chumba cha kulala kwa siku kinatozwa hadi Randi 8,000 kwa siku sawa na Sh1.4 milioni.

 

9 years ago

Mwananchi

Gesi, vyuo vikuu vyapandisha gharama za maisha Mtwara

Uchimbaji wa gesi na ongezeko la vyuo vikuu mkoani hapa, vinadaiwa kupandisha gharama za maisha katika Mji wa Mtwara na kusababisha baadhi ya wakazi wake kukimbilia vijijini kwenda kupanga nyumba za gharama nafuu ili kupata ahueni.

 

10 years ago

Mwananchi

Daladala wagoma Iringa,nauli zapaa

Madereva wa daladala zinazofanya safari zake katika maeneo ndani ya Manispaa ya Iringa wamegoma kutos huduma hiyo wakishinikiza Serikali kuzizuia pikipiki za miguu mitatu (Bajaji) kusafirisha abiria kama ilivyo kwa daladala.

 

10 years ago

Mwananchi

Hisa za Benki ya Mkombozi zapaa sokoni DSE

Benki ya Biashara ya Mkombozi imejiorodhesha kwa mara ya kwanza kwenye Soko la Hisa la Dar es Salaam (DSE) na kupokewa vizuri licha ya kuzungukwa na wingu zito la sakata la ufisadi wa Akaunti ya Tegeta Escrow.

 

9 years ago

BBCSwahili

Ndege za US zapaa karibu na visiwa vya Uchina

Ndege za kivita za Marekani za B-52 zimepaa na kupitia katika eneo linalozozaniwa huko kusini mwa visiwa vya Uchina.

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Dhahabu ya Samunge ni Alluvium’

KAMISHNA wa Madini Kanda ya Kaskazini, Alex Mayagane, amethibitisha kuwa madini yanayochimbwa kwenye Kijiji cha Mgongo, wilayani Ngorongoro ni dhahabu aina ya ‘alluvium’ . Alitoa kauli hiyo jana wakati akitoa taarifa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Dhahabu’ ya Samunge yatafitiwa

MKUU wa Wilaya ya Ngorongoro, Elias Wawa Lali, amesema kuwa wataalamu wa madini wanaendelea na utafiti kubaini endapo madini yanayoendelea kuchimbwa na wananchi kwenye maeneo ya milima na Mtoni kwenye...

 

10 years ago

Mwananchi

Samunge kufurahia umeme nafuu

Neema ya huduma za umeme imewaangukia wakazi wa Kijiji cha Samunge, Wilaya ya Ngorongoro, Mkoa wa Arusha baada ya Kampuni L’s Solutions kushinda ufadhili wa Dola za Marekani 100,000 kusambaza nishati hiyo katika eneo hilo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani