Ndege za US zapaa karibu na visiwa vya Uchina
Ndege za kivita za Marekani za B-52 zimepaa na kupitia katika eneo linalozozaniwa huko kusini mwa visiwa vya Uchina.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili27 Jul
Urembo katika visiwa vya Comoro
10 years ago
Habarileo08 Sep
Shein arejea kutoka visiwa vya Samoa
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk Ali Mohamed Shein, amerejea nchini leo kutoka visiwa vya Samoa ambako alimwakilisha Rais Jakaya Kikwete, kwenye Mkutano wa Tatu wa Kimataifa kwa Nchi za Visiwa.
9 years ago
BBCSwahili21 Oct
Je,wajua nini kuhusu visiwa vya Comoro?
9 years ago
Mtanzania03 Sep
DStv yawakutanisha mastaa visiwa vya Mauritius
NA SELEMAN SHINENI, MAURITIUS
MASTAA mbalimbali wanaojishughulisha na masuala ya burudani kutoka barani Afrika, waandishi wa habari na watu mashuhuri wamekutanishwa katika visiwa vya Mauritius kwa ajili ya hafla ya uzinduzi wa Tamasha la 2015 Content Showcase Extravaganza.
Hafla hiyo ilifanyika juzi kwenye hoteli ya Outrigger Resort ikiwa ni mwanzo wa tamasha hilo la wiki moja lililoandaliwa na Kampuni ya MultiChoice Africa huku dhumuni lake kuu likiwa ni kuonyesha maudhui yaliyopo kwenye...
9 years ago
Mtanzania03 Sep
Msanii wa Kenya afariki visiwa vya Mbudya Dar
NAIROBI, Kenya
MSANII wa muziki wa genge nchini Kenya, Simon Njoroge ‘Shreekezy’, amepoteza maisha akiwa jijini Dar es Salaam katika visiwa vya Mbudya vilivyopo Bahari ya Hindi.
Msanii huyo anadaiwa kufariki Agosti 30 baada ya boti aliyokuwa akiiendesha baharini akitokea Hoteli ya Whitesands kuelekea visiwa hivyo kumtupa ambapo alifariki dunia na mwili wake ulipatikana baada ya siku tatu.
Msanii huyo alikuwa nchini Tanzania kwa siku nane kabla ya kifo chake kutokea. Hata hivyo, inadaiwa...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-S0UD0HwRYR8/VWftbLm0TmI/AAAAAAAHahg/hMwqGHBaT7Y/s72-c/unnamed.jpg)
ATCL yaongeza safari zake visiwa vya Comoro.
![](http://1.bp.blogspot.com/-S0UD0HwRYR8/VWftbLm0TmI/AAAAAAAHahg/hMwqGHBaT7Y/s640/unnamed.jpg)
SHIRIKA la ndege la taifa (ATCL) limetangaza uamuzi wake wa kuongeza idadi ya safari zake kuelekea visiwa vya Comoro hatua inayolenga kuendana na ongezeko la mahitaji ya huduma za shirika hilo hususani katika kuelekea kipindi cha mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Kwa sasa shirika hilo linatoa huduma zake kwenye mikoa ya Dar es Salaam, Kigoma na Mtwara kila siku. Sambamba na kutoa huduma...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-XiLPxiXWAlY/VZNlf36K5YI/AAAAAAAAgV0/DiDLjPpQEPM/s72-c/3.jpg)
ZIARA YA KATIBU MKUU WA CCM NDANI YA VISIWA VYA UKEREWE
![](http://1.bp.blogspot.com/-XiLPxiXWAlY/VZNlf36K5YI/AAAAAAAAgV0/DiDLjPpQEPM/s640/3.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-EreGHRFRKE0/VZNnRBQynrI/AAAAAAAAgWI/JBeBw1fqx0Y/s640/4.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-99M6Y2gLXts/VZNp53LW5ZI/AAAAAAAAgXA/e130VDKEJhU/s640/5.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-sdXGrNBUAHQ/VACOz-xfTEI/AAAAAAAGUGU/laTaZDiCWis/s72-c/unnamed%2B(80).jpg)
Dkt. Shein aelekea Visiwa vya Samoa kwa ziara ya kikazi
![](http://2.bp.blogspot.com/-sdXGrNBUAHQ/VACOz-xfTEI/AAAAAAAGUGU/laTaZDiCWis/s1600/unnamed%2B(80).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-jEGbVFV_1Yk/VACOzCXQGbI/AAAAAAAGUGQ/IiGafj8BzFw/s1600/unnamed%2B(81).jpg)