ATCL yaongeza safari zake visiwa vya Comoro.
![](http://1.bp.blogspot.com/-S0UD0HwRYR8/VWftbLm0TmI/AAAAAAAHahg/hMwqGHBaT7Y/s72-c/unnamed.jpg)
Abiria wakishuka kwenye Ndege ya Shirika la Ndege la Air Tanzania (ATCL) aina ya CRJ 100. Picha ya Maktaba
SHIRIKA la ndege la taifa (ATCL) limetangaza uamuzi wake wa kuongeza idadi ya safari zake kuelekea visiwa vya Comoro hatua inayolenga kuendana na ongezeko la mahitaji ya huduma za shirika hilo hususani katika kuelekea kipindi cha mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Kwa sasa shirika hilo linatoa huduma zake kwenye mikoa ya Dar es Salaam, Kigoma na Mtwara kila siku. Sambamba na kutoa huduma...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziMshauri wa Masuala ya Ulinzi wa Ubalozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Comoro afanya ziara ya kikazi katika visiwa vya Comoro
10 years ago
BBCSwahili27 Jul
Urembo katika visiwa vya Comoro
9 years ago
BBCSwahili21 Oct
Je,wajua nini kuhusu visiwa vya Comoro?
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-OwPBlT_ORVM/VTigDEeUPqI/AAAAAAAHSuc/LSwc8iM07SI/s72-c/unnamed%2B(97).jpg)
Waziri Chiza kuhudhuria kongamano Kubwa la Biashara Visiwa vya Comoro
Lengo kuu la kongamano hilo ni “kuongeza kiwango cha biashara na uwekezaji kati ya Tanzania na Comoro kwa kutambua fursa zilizopo kati ya nchi hizi mbili na kurasimisha biashara ambayo kwa sasa hairatibiwi”.
Kongamano hilo ambalo litawakutanisha viongozi, maafisa...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-SMxCktd9lV8/VTpa8ewIU8I/AAAAAAAHS9Y/dX_YT_EvH14/s72-c/unnamed%2B(99).jpg)
Membe awahimiza Watanzania kuchangamkia fursa za kibiashara na kuwekeza katika Visiwa vya Comoro
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-UehTrhgxLSY/VdMHsg4vSVI/AAAAAAAC9tI/02B1CpI6YhE/s72-c/ATCL%2BPIC%2B1.jpg)
ATCL yarejesha safari zake kuelekea Mwanza.
![](http://3.bp.blogspot.com/-UehTrhgxLSY/VdMHsg4vSVI/AAAAAAAC9tI/02B1CpI6YhE/s640/ATCL%2BPIC%2B1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-A4rA8RC8Wo8/VdMHq1ltV0I/AAAAAAAC9tA/QEX1EPDtTes/s640/ATCL%2BPIC%2B2.jpg)
9 years ago
Dewji Blog29 Sep
Fastjet yaongeza safari zake kwenda Johannesburg sasa ni kila siku
Mkuu wa Biashara wa Fastjet Lan Petrie (kulia), akizungumza katika semina hiyo.
Meneja Mkuu wa Fastjet Afrika Mashariki, Jimmy Kibati (kulia), akizungumza katika semina ya siku moja ya waandishi wa habari Dar es Salaam leo asubuhi, iliyohusu kuongezeka kwa safari za ndege za shirika hilo kila siku kwenda Johannesburg nchini Afrika Kusini.
Ofisa Mtendaji wa Masuala ya Biashara wa Fastjet, David Chacha, akijibu maswali mbalimbali ya waandishi wa habari katika semina hiyo.
Ofisa...
10 years ago
VijimamboWAZIRI WA MAMBO YA NJE WA MUUNGANO WA VISIWA VYA COMORO ATEMBELEA WIZARA YA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA MATAIFA