Fastjet yaongeza safari zake kwenda Johannesburg sasa ni kila siku
Mkuu wa Biashara wa Fastjet Lan Petrie (kulia), akizungumza katika semina hiyo.
Meneja Mkuu wa Fastjet Afrika Mashariki, Jimmy Kibati (kulia), akizungumza katika semina ya siku moja ya waandishi wa habari Dar es Salaam leo asubuhi, iliyohusu kuongezeka kwa safari za ndege za shirika hilo kila siku kwenda Johannesburg nchini Afrika Kusini.
Ofisa Mtendaji wa Masuala ya Biashara wa Fastjet, David Chacha, akijibu maswali mbalimbali ya waandishi wa habari katika semina hiyo.
Ofisa...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog11 Dec
Fastjet yatangaza safari za kila siku kwenda Zanzibar kutoka Dar
Kampuni ya ndege ya gharama nafuu barani Afrika, fastjet imetangaza safari zake za kila siku kwenda Zanzibar kutoka Dar es Salaam zitakazoanza tarehe 16, Januari 2016.
Huduma hii ambayo itaanza mara moja ni matokeo ya maombi ya abiria na makampuni yanayotoa huduma kwa watalii ambao kwa muda mrefu wamekuwa wakidai huduma hiyo ili kuimarisha soko la ndani.
Huduma za usafiri kutoka uwanja wa ndege wa kimataifa wa Mwalimu Nyerere wa Dar es Salaam na ule wa Abeid Amani Karume wa Zanzibar...
10 years ago
Dewji Blog24 Sep
Shirika la ndege la Etihad Airways litaongeza safari zake barani Afrika kwa kuzindua safari mpya ya kila siku ya mji wa Dar es Salaam
Shirika la ndege la Etihad Airways (http://www.etihad.com) ni shirika la ndege la kitaifa la Umoja wa Falme za Kiarabu, ambalo linatarajia kuongeza safari zake barani Afrika kwa kuzindua safari mpya ya kila siku Mjini Dar es Salaam, mji mkubwa zaidi Tanzania.
Safari hizi za ndege kati ya Abu Dhabi na Dar es Salaam, zitaanza tarehe 1 mwezi Desemba 2015, zikiendeshwa kwa kutumia ndege ya Airbus A320 yenye viti 16 vya kitengo cha Biashara na 120 vya kitengo cha Uchumi.
Dar es Salaam itakuwa...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-S0UD0HwRYR8/VWftbLm0TmI/AAAAAAAHahg/hMwqGHBaT7Y/s72-c/unnamed.jpg)
ATCL yaongeza safari zake visiwa vya Comoro.
![](http://1.bp.blogspot.com/-S0UD0HwRYR8/VWftbLm0TmI/AAAAAAAHahg/hMwqGHBaT7Y/s640/unnamed.jpg)
SHIRIKA la ndege la taifa (ATCL) limetangaza uamuzi wake wa kuongeza idadi ya safari zake kuelekea visiwa vya Comoro hatua inayolenga kuendana na ongezeko la mahitaji ya huduma za shirika hilo hususani katika kuelekea kipindi cha mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Kwa sasa shirika hilo linatoa huduma zake kwenye mikoa ya Dar es Salaam, Kigoma na Mtwara kila siku. Sambamba na kutoa huduma...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-rPYlJPuBRAE/VRWaSpx1mwI/AAAAAAABpvU/YS9SYgVkprE/s72-c/a1.jpg)
FASTJET YAZINDUA SAFARI MPYA KUTOKA KILIMANJARO KWENDA MWANZA
![](http://4.bp.blogspot.com/-rPYlJPuBRAE/VRWaSpx1mwI/AAAAAAABpvU/YS9SYgVkprE/s640/a1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-cmZSxa5d9Fk/VRWaZKqLn8I/AAAAAAABpvc/FwNL8fwRLC0/s640/2.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-SPGCZr2DBbY/VQxpHa7gh3I/AAAAAAAHLus/PdaCDPSakj0/s72-c/PHO-10Sep21-253577.jpg)
TRENI YA ABIRIA KWENDA BARA KUANZA TENA SAFARI ZAKE MACHI 24, 2015
![](http://4.bp.blogspot.com/-SPGCZr2DBbY/VQxpHa7gh3I/AAAAAAAHLus/PdaCDPSakj0/s1600/PHO-10Sep21-253577.jpg)
Wananchi wanaotaka kusafiri wafike stesheni zilizo karibu yao kwa ajili ya kukata tiketi ya safari hiyo.
Huduma ya usafiri wa reli ilisitishwa wiki mbili zilizopita Machi 6, 2015 baada ya eneo la tuta la reli kati ya Stesheni za Kilosa na Kidete kukuharibiwa vibaya...
9 years ago
Dewji Blog10 Sep
Fastjet yaongeza ajira kwa vijana Tanzania
Meneja Mkuu wa shirika la ndege la fastjet Afrika Mashariki, Jimmy Kibati (katikati) katika picha ya pamoja na wahudumu 12 (wenye sare) wa ndege hiyo waliohitimu mafunzo yao na tayari kwa kuanza kazi. Wengine katika picha ni Meneja wa wahudumu wa ndege ya Fastjet Eugene Dadet (mwenye vazi jeupe) na mwasibu mkuu wa fastjet, Evelyn Mtenga (Kushoto).
Meneja mkuu wa shirika la ndege la Fastjet Afrika Mashariki, Jimmy Kibati (katikati), Meneja wa wahudumu wa ndege ya Fastjet Eugene Dadet...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-c7qW4p7Dr_c/UzAMJArTRFI/AAAAAAACeJE/upicg1yk9sA/s72-c/AfricanNight+(1).png)
KARIBU SAFARI CLUB THE NUMBER ONE EAST AFRICAN CLUB INDMV AREA KILA SIKU YA IJUMAA NA JUMAMOSI
![](http://3.bp.blogspot.com/-c7qW4p7Dr_c/UzAMJArTRFI/AAAAAAACeJE/upicg1yk9sA/s1600/AfricanNight+(1).png)
NO COVER CHARGE
11 years ago
Tanzania Daima08 Mar
Precision Air yaongeza safari
SHIRIKA la Ndege la Precision Air limeendelea kuimarisha na kuboresha huduma zake za usafiri wa anga kwa kuongeza safari katika mikoa ya Kilimanjaro, Mtwara na visiwa vya Zanzibar. Lengo la ...
11 years ago
Tanzania Daima04 Feb
Zambia yafurahia safari za Fastjet
UHUSIANO wa kibiashara na kiuchumi baina ya Tanzania na Zambia umetajwa kuwa moja ya maeneo muhimu yanayoweza kunufaika kutokana na safari za moja kwa moja za ndege baina ya miji...