FASTJET YAZINDUA SAFARI MPYA KUTOKA KILIMANJARO KWENDA MWANZA
![](http://4.bp.blogspot.com/-rPYlJPuBRAE/VRWaSpx1mwI/AAAAAAABpvU/YS9SYgVkprE/s72-c/a1.jpg)
MenejaMkuuwaShirika la Ndege la Fastjet Tanzania Jimmy Kibati akiongea na wandishi wa habari Mkoani Arusha leo wakati wa uzinduzi wa safari mpya ya ndege ya Fastjet kutoka Kilimanjaro kwenda Mwanza na Kilimanjaro kwenda Entebe Uganda, pembeni yake kuliani Lucy Mbogoro Afisa Mahusianona Masoko na kushoto ni Neema David Afisa Biashara.
MenejaMkuuwaShirika la Ndege la Fastjet Tanzania Jimmy Kibati akimkabidhitiketi mwandishi wa habari toka Tbc Sechelela Kongola aliyeshinda zawadi ya tiketi ya...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog01 Apr
Shirika la Ndege la FASTJET lazindua safari mpya kutoka Kilimanjaro — Mwanza na Kilimanjaro — Entebe Uganda
Meneja Mkuu wa Shirika la Ndege la Fastjet Tanzania Jimmy Kibati akiongea na wandishi wa habari Mkoani Arusha leo wakati wa uzinduzi wa safari mpya ya ndege ya Fastjet kutoka Kilimanjaro kwenda Mwanza na Kilimanjaro kwenda Entebe Uganda, pembeni yake kulia ni Lucy Mbogoro Afisa Mahusiano na Masoko na kushoto ni Neema David Afisa Biashara wote toka shirika hilo.
Meneja Mkuu wa Shirika la Ndege la Fastjet Tanzania Jimmy Kibati akimkabidhi tiketi mwandishi wa habari toka Tbc Sechelela...
10 years ago
Dewji Blog20 Apr
Fastjet yazindua safari mpya kati ya Kilimanjaro na Entebbe
Meneja Mkuu wa Shirika la Ndege Fastjet Afrika Mashariki, Jimmy Kibati (Kulia) akizungumza na waandishi wa habari katika uzinduzi wa safari mpya kati ya Kilimanjaro, Tanzania na Entebbe, Uganda. Uzinduzi huo ulifanyika katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Entebbe wiki iliyopita. Kushoto ni Mkurugenzi asiye mtendaji wa Fastjet Lawrence Masha.
Mkurugenzi asiye mtendaji wa Fastjet Lawrence Masha (Kushoto) akizungumza na waandishi wa habari katika uzinduzi wa safari mpya kati ya Kilimanjaro,...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-XZPrXuW9WoU/VTOcafOpCyI/AAAAAAAHR-Y/_6go0kvWQNk/s72-c/Picture%2B1.jpg)
Fastjet yazindua safari mpya kati ya Kilimanjaro na Entebbe, Uganda
![](http://2.bp.blogspot.com/-XZPrXuW9WoU/VTOcafOpCyI/AAAAAAAHR-Y/_6go0kvWQNk/s1600/Picture%2B1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-bShOdSmtZqc/VTOccJhNNiI/AAAAAAAHR-k/z_BEqYLxg1o/s1600/Picture%2B3.jpg)
9 years ago
Dewji Blog11 Dec
Fastjet yatangaza safari za kila siku kwenda Zanzibar kutoka Dar
Kampuni ya ndege ya gharama nafuu barani Afrika, fastjet imetangaza safari zake za kila siku kwenda Zanzibar kutoka Dar es Salaam zitakazoanza tarehe 16, Januari 2016.
Huduma hii ambayo itaanza mara moja ni matokeo ya maombi ya abiria na makampuni yanayotoa huduma kwa watalii ambao kwa muda mrefu wamekuwa wakidai huduma hiyo ili kuimarisha soko la ndani.
Huduma za usafiri kutoka uwanja wa ndege wa kimataifa wa Mwalimu Nyerere wa Dar es Salaam na ule wa Abeid Amani Karume wa Zanzibar...
9 years ago
Dewji Blog29 Sep
Fastjet yaongeza safari zake kwenda Johannesburg sasa ni kila siku
Mkuu wa Biashara wa Fastjet Lan Petrie (kulia), akizungumza katika semina hiyo.
Meneja Mkuu wa Fastjet Afrika Mashariki, Jimmy Kibati (kulia), akizungumza katika semina ya siku moja ya waandishi wa habari Dar es Salaam leo asubuhi, iliyohusu kuongezeka kwa safari za ndege za shirika hilo kila siku kwenda Johannesburg nchini Afrika Kusini.
Ofisa Mtendaji wa Masuala ya Biashara wa Fastjet, David Chacha, akijibu maswali mbalimbali ya waandishi wa habari katika semina hiyo.
Ofisa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-SLAmI4AbY1w/Xq_19CYzFfI/AAAAAAALpBA/Qkel64Ft8RMPEsoipqA2K_Zmpn1SPsp7wCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200504-WA0029%25281%2529.jpg)
PRECISION AIR YAZINDUA SAFARI ZA NDEGE YA MIZIGO KWENDA COMORO
Safari hizo zimeanza rasmi siku ya Jumamosi kutokana na mabadiliko katika soko na nchi nyingi kufunga mipaka yao.
Akitoa taarifa hiyo, Meneja Masoko na Mawasiliano amesema wamebadilisha moja ya ndege zao aina ya ATR72-500 kuwa ndege ya mizigo, na safari ya kwanza ilikuwa ni siku ya...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-unEgnAheS1I/VCMD8zf6oPI/AAAAAAAAYKM/Du1wyK_VQpI/s72-c/CAPTAIN-SAGAR-CHAVDA-AKIWA-TAYARI-KUIONGOZA-NDEGE-KWENDA-ENTEBBE.jpg)
SHIRIKA LA NDEGE LA FASTJET LAANZISHA SAFARI MPYA KATI YA DAR ES SALAAM TANZANIA NA ENTEBE , UGANDA
![](http://1.bp.blogspot.com/-unEgnAheS1I/VCMD8zf6oPI/AAAAAAAAYKM/Du1wyK_VQpI/s1600/CAPTAIN-SAGAR-CHAVDA-AKIWA-TAYARI-KUIONGOZA-NDEGE-KWENDA-ENTEBBE.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-ZdsgMWkHiyc/VCMD8RTO-NI/AAAAAAAAYKI/P0aWT6KdhJU/s1600/JEAN-UKU%2C-COMMERCIAL-MANAGER-AKIONGEA-NA-ABIRIA-WANAOSUBIRI-KUELEKEA-ENTEBBE.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-FiE0f8UZY8U/VCMD808rEiI/AAAAAAAAYKU/kNKrNwsTeTY/s1600/KUSHOTO-JEAN-UKU-COMMERCIAL-MANAGER-NA-KULIA-JIMMY-KIBATI-GENERAL-MANAGER-AKIZINDUA-SAFARI-YA-KWANZA-YA-ENTEBBE.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-o2tXAXz53io/VCMD9r0faJI/AAAAAAAAYKc/wnwQfTrovbA/s1600/MOREEN-AKIMKARIBISHA-SANJAVAN-SCHALLWILYE.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-qaEX0pWicro/VCMD9h7hNxI/AAAAAAAAYKg/vRFzPTw4n7Q/s1600/TEAM-NZIMA-YA-FASTJET-ILIYOFANIKISHA-SHEREHE-FUPI-YA-SAFARI-YA-KWANZA-KUELEKEA-ENTEBBE.jpg)
Ndege kati ya miji hii mikuu miwili zitaruka siku za...
10 years ago
Dewji Blog25 Sep
Shirika la ndege la Fastjet laanzisha safari mpya kati ya Dar es Salaam Tanzania na Entebbe, Uganda
Captain Sagar Chavda ambaye ndiye Muongozaji wa Ndege Kutoka Dar es salaam kuelekea Entebe.
Meneja wa biashara wa Shirika la Ndege la Fastjet, Jean Uku, akiongea na wateja wa Fastjet kabla ya kuzindua rasmi safari hiyo kwenye uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Mwl. Julius Kambarage Nyerere jijini Dar.
Meneja Mkuu wa Shirika la Ndege la Fastjet nchini, Jimy Kibati na Meneja wa biashara wa Fastjet, Jean Uku, wakizindua rasmi safari za kwenda Entebe kutokea Dar es salaam.
Mhudumu wa...
10 years ago
GPL![](http://1.bp.blogspot.com/-unEgnAheS1I/VCMD8zf6oPI/AAAAAAAAYKM/Du1wyK_VQpI/s1600/CAPTAIN-SAGAR-CHAVDA-AKIWA-TAYARI-KUIONGOZA-NDEGE-KWENDA-ENTEBBE.jpg?width=650)
SHIRIKA LA NDEGE LA FASTJET LAANZISHA SAFARI MPYA KATI YA DAR ES SALAAM TANZANIA NA ENTEBE, UGANDA