Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


FASTJET YAZINDUA SAFARI MPYA KUTOKA KILIMANJARO KWENDA MWANZA

MenejaMkuuwaShirika la Ndege la Fastjet Tanzania Jimmy Kibati akiongea na wandishi wa habari Mkoani Arusha leo wakati wa uzinduzi wa safari mpya ya ndege ya Fastjet kutoka Kilimanjaro kwenda Mwanza na Kilimanjaro kwenda Entebe Uganda, pembeni yake kuliani Lucy Mbogoro Afisa Mahusianona Masoko na kushoto ni Neema David Afisa Biashara.MenejaMkuuwaShirika la Ndege la Fastjet Tanzania Jimmy Kibati akimkabidhitiketi mwandishi wa habari toka Tbc Sechelela Kongola aliyeshinda zawadi ya tiketi ya...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Shirika la Ndege la FASTJET lazindua safari mpya kutoka Kilimanjaro — Mwanza na Kilimanjaro — Entebe Uganda

1

Meneja Mkuu wa Shirika la Ndege la Fastjet Tanzania Jimmy Kibati akiongea na wandishi wa habari Mkoani Arusha leo wakati wa uzinduzi wa safari mpya ya ndege ya Fastjet kutoka Kilimanjaro kwenda Mwanza na Kilimanjaro kwenda Entebe Uganda, pembeni  yake kulia ni Lucy Mbogoro Afisa Mahusiano na Masoko  na kushoto ni Neema David Afisa Biashara wote toka shirika hilo.

6

2

Meneja Mkuu wa Shirika la Ndege la Fastjet Tanzania Jimmy Kibati akimkabidhi tiketi mwandishi wa habari toka Tbc Sechelela...

 

10 years ago

Dewji Blog

Fastjet yazindua safari mpya kati ya Kilimanjaro na Entebbe

Picture 1

Meneja Mkuu wa Shirika la Ndege Fastjet Afrika Mashariki, Jimmy Kibati (Kulia) akizungumza na waandishi wa habari katika uzinduzi wa safari mpya kati ya Kilimanjaro, Tanzania na Entebbe, Uganda. Uzinduzi huo ulifanyika katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Entebbe wiki iliyopita. Kushoto ni Mkurugenzi asiye mtendaji wa Fastjet Lawrence Masha.

Picture 2

Mkurugenzi asiye mtendaji wa Fastjet Lawrence Masha (Kushoto) akizungumza na waandishi wa habari katika uzinduzi wa safari mpya kati ya Kilimanjaro,...

 

10 years ago

Michuzi

Fastjet yazindua safari mpya kati ya Kilimanjaro na Entebbe, Uganda

Meneja Mkuu wa Shirika la Ndege Fastjet Afrika Mashariki, Jimmy Kibati (Kulia) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) katika uzinduzi wa safari mpya kati ya Kilimanjaro, Tanzania na Entebbe, Uganda. Uzinduzi huo ulifanyika katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Entebbe wiki iliyopita. Kushoto ni Mkurugenzi asiye mtendaji wa Fastjet Tanzania, Lawrence Masha.Meneja Mkuu wa shirika la Ndege la Fastjet Afrika Mashariki, Jimmy Kibati (kushoto aliyeinama) na Mkurugenzi asiye mtendaji...

 

9 years ago

Dewji Blog

Fastjet yatangaza safari za kila siku kwenda Zanzibar kutoka Dar

fastjet_2409696b1

Kampuni ya ndege ya gharama nafuu barani Afrika, fastjet imetangaza safari zake za kila siku kwenda Zanzibar kutoka Dar es Salaam zitakazoanza  tarehe 16, Januari 2016.

Huduma hii ambayo itaanza mara moja ni matokeo ya maombi ya abiria na makampuni yanayotoa huduma kwa watalii ambao kwa muda mrefu wamekuwa wakidai huduma hiyo ili kuimarisha soko la ndani.

Huduma za usafiri kutoka uwanja wa ndege wa kimataifa wa Mwalimu Nyerere wa Dar es Salaam na ule wa Abeid Amani Karume wa Zanzibar...

 

9 years ago

Dewji Blog

Fastjet yaongeza safari zake kwenda Johannesburg sasa ni kila siku

Mkuu wa Biashara wa Fastjet Lan Petrie (kulia), akizungumza katika semina hiyo.

Meneja Mkuu wa Fastjet Afrika Mashariki, Jimmy Kibati (kulia), akizungumza katika semina ya siku moja ya waandishi wa habari Dar es Salaam leo asubuhi, iliyohusu kuongezeka kwa safari za ndege za shirika hilo kila siku kwenda Johannesburg nchini Afrika Kusini.

Ofisa Mtendaji wa Masuala ya Biashara wa Fastjet, David Chacha, akijibu maswali mbalimbali ya waandishi wa habari katika semina hiyo.

Ofisa...

 

5 years ago

Michuzi

PRECISION AIR YAZINDUA SAFARI ZA NDEGE YA MIZIGO KWENDA COMORO

Na Zainab Nyamka, Globu ya JamiiShirika la ndege la Precision Air wamezindua safari  za ndege ya mizigo kutokea Tanzania na kuelekea Hahaya katika Visiwa vya Comoros wakipeleka bidhaa mbalimbali.

Safari hizo zimeanza rasmi siku ya Jumamosi kutokana na mabadiliko katika soko na nchi nyingi kufunga mipaka yao.
Akitoa taarifa hiyo,  Meneja Masoko na Mawasiliano amesema wamebadilisha moja ya ndege zao aina ya ATR72-500 kuwa ndege ya mizigo, na safari ya kwanza ilikuwa ni siku ya...

 

10 years ago

Vijimambo

SHIRIKA LA NDEGE LA FASTJET LAANZISHA SAFARI MPYA KATI YA DAR ES SALAAM TANZANIA NA ENTEBE , UGANDA

 Captain Sagar Chavda ambaye ndiye Muongozaji wa Ndege  Kutoka Dar es salaam kuelekea Entebe Jean Uku Commercial Manager akiwa anaongea na wateja wa Fastjet Kushoto ni Jean Uku Commercial Manager wa Fastjet na Jimy Kibati General Manager wa Fastjet wakizindua Rasmi safari za Kwenda Entebe kutokea Dar es  salaam Wageni wakikaribishwa katika Ndege ya Fastjet kutokea Dar kwenda EntebeTimu nzima ya Fastjet Baada ya sherehe fupi za uzinduzi huo
Ndege kati ya miji hii mikuu miwili zitaruka siku za...

 

10 years ago

Dewji Blog

Shirika la ndege la Fastjet laanzisha safari mpya kati ya Dar es Salaam Tanzania na Entebbe, Uganda

CAPTAIN-SAGAR-CHAVDA-AKIWA-TAYARI-KUIONGOZA-NDEGE-KWENDA-ENTEBBE
Captain Sagar Chavda ambaye ndiye Muongozaji wa Ndege  Kutoka Dar es salaam kuelekea Entebe.

JEAN-UKU,-COMMERCIAL-MANAGER-AKIONGEA-NA-ABIRIA-WANAOSUBIRI-KUELEKEA-ENTEBBE

Meneja wa biashara wa Shirika la Ndege la Fastjet, Jean Uku, akiongea na wateja wa Fastjet kabla ya kuzindua rasmi safari hiyo kwenye uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Mwl. Julius Kambarage Nyerere jijini Dar.

KUSHOTO-JEAN-UKU-COMMERCIAL-MANAGER-NA-KULIA-JIMMY-KIBATI-GENERAL-MANAGER-AKIZINDUA-SAFARI-YA-KWANZA-YA-ENTEBBE

Meneja Mkuu wa Shirika la Ndege la Fastjet nchini, Jimy Kibati na  Meneja wa biashara wa Fastjet, Jean Uku, wakizindua rasmi safari za kwenda Entebe kutokea Dar es  salaam.

MOREEN-AKIMKARIBISHA-SANJAVAN-SCHALLWILYE

Mhudumu wa...

 

10 years ago

GPL

SHIRIKA LA NDEGE LA FASTJET LAANZISHA SAFARI MPYA KATI YA DAR ES SALAAM TANZANIA NA ENTEBE, UGANDA‏

Captain Sagar Chavda ambaye ndiye Muongozaji wa Ndege Kutoka Dar es salaam kuelekea Entebe…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani