RC aomba vituo vya utafiti na taarifa za milima
Serikali ya Tanzania imeomba mashirika ya uhifadhi wa milima ya kimataifa kusaidia kuanzisha vituo vya utafiti na taarifa katika Mlima Kilimanjaro na Meru, ili kubaini mapema athari za volcano na uharibifu wa mazingira kabla ya kuleta maafa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi07 May
Utafiti Twaweza waanika uozo katika vituo vya afya nchini
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/8YffHj8eU_Y/default.jpg)
11 years ago
Mwananchi04 Jun
Utafiti wabaini milima ya Samunge imejaa dhahabu
9 years ago
MichuziMFUMO WA UTUNZAJI WA TAARIFA ZA VITUO VYA AFYA TANZANIA BARA WAZINDULIWA LEO JIJI DAR
10 years ago
StarTV15 Jan
Wananchi wavamia vyanzo vya maji vya Milima ya Amani Tanga.
Na Mbonea Herman,
Tanga.
Wakati Serikali ikiwa imepiga marufuku uvunaji wa misitu na uchimbaji wa madini kwenye vyanzo vya maji vya milima ya Amani, jitihada hizo zimeonekana kugonga mwamba baada ya shughuli hizo kuanza tena kwa kasi.
Shughuli za madini na uvunaji wa mbao katika milima ya Amani wilayani Muheza mkoani Tanga huenda zikasababisha ukosefu wa maji kuendelea katika maeneo mbalimbali ya wilaya hiyo na jiji la Tanga kwa ujumla.
Maji ni uhai na pia ni muhimu kwa maisha ya kila...
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/_hXJgsMGqiI/default.jpg)
taarifa mbali mbali kutoka vituo mbalimbali vya televisheni na simu tv
Kwa taarifa mbali mbali kutoka vituo mbalimbali vya televisheni BOFYA HAPA
9 years ago
VijimamboWIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII YAZINDUA MFUMO WA UTUNZAJI WA TAARIFA ZA VITUO VYA AFYA TANZANIA BARA
10 years ago
Dewji Blog29 Sep
MISA-TAN yaadhimisha siku ya kimataifa ya haki ya kupata taarifa na kutoa matokeo ya utafiti wa upatikanaji wa taarifa kwenye ofisi za umma nchini Tanzaniaâ€â€Ž
9 years ago
Dewji Blog29 Sep
MISA-TAN:Yasherekea Siku ya Kimataifa ya Haki ya kupata taarifa na kuzindua utafiti wa kupata taarifa Ofisi za Umma
Afisa Utafiti na Maelezo wa Misa-Tanzania-Media Institute of Southern Africa (Taasisi ya vyombo vya habari Kusini mwa Afrika) Bwana Sengiyumva Gasirigwa (wa kwanza kushoto) akitoa ufafanuzi alipokuwa anafungua mkutano huo kwa waandishi wa habari na wageni waalikwa kutoka kwenye taasisi mbalimbali za Serikali kwenye siku ya kimataifa ya haki ya kupata taarifa ambayo uadhimishwa Septemba 28 kwa kila mwaka.
Mwenyekiti msaidi wa Taasisi ya vyombo vya habari Kusini mwa Afrika (MISA-TAN), Bwana...