MISA-TAN yaadhimisha siku ya kimataifa ya haki ya kupata taarifa na kutoa matokeo ya utafiti wa upatikanaji wa taarifa kwenye ofisi za umma nchini Tanzaniaâ€â€Ž
Mkurugenzi wa Misa-Tanzania-Media Institute of Southern Africa (Taasisi ya vyombo vya habari Kusini mwa Afrika) Bwana Simon Berege (kushoto) akiwakaribisha wageni waalikwa na waandishi wa habari waliofika kwenye mkutano wao uliofanyika jana kwenye ofisi za MISA Tanzania zilizopo jijini Dar es Salaam. Kulia ni Mkurugenzi msaidi wa Misa-Tanzania-Media Institute of Southern Africa (Taasisi ya vyombo vya habari Kusini mwa Afrika) Bwana Andrew Marawiti. Misa-Tanzania-Media Institute of...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziMISA TANZANIA YASHEREKEA SIKU YA KIMATAIFA YA HAKI YA KUPATA TAARIFA NA KUZINDUA UTAFITI WA UPATIKANAJI WA TAARIFA KWENYE OFISI ZA UMMA NCHINI TANZANIA
9 years ago
Dewji Blog29 Sep
MISA-TAN:Yasherekea Siku ya Kimataifa ya Haki ya kupata taarifa na kuzindua utafiti wa kupata taarifa Ofisi za Umma
Afisa Utafiti na Maelezo wa Misa-Tanzania-Media Institute of Southern Africa (Taasisi ya vyombo vya habari Kusini mwa Afrika) Bwana Sengiyumva Gasirigwa (wa kwanza kushoto) akitoa ufafanuzi alipokuwa anafungua mkutano huo kwa waandishi wa habari na wageni waalikwa kutoka kwenye taasisi mbalimbali za Serikali kwenye siku ya kimataifa ya haki ya kupata taarifa ambayo uadhimishwa Septemba 28 kwa kila mwaka.
Mwenyekiti msaidi wa Taasisi ya vyombo vya habari Kusini mwa Afrika (MISA-TAN), Bwana...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-nNiAqxznwzs/XsbQ6ncj3UI/AAAAAAALrNg/GuOYPqoB4_ASK6mok5f7PT8R1HQ7FsSggCLcBGAsYHQ/s72-c/PIX-4-4.jpg)
Waziri Mwakyembe azitaka ofisi za Umma kutoa taarifa kwa wanahabari
![](https://1.bp.blogspot.com/-nNiAqxznwzs/XsbQ6ncj3UI/AAAAAAALrNg/GuOYPqoB4_ASK6mok5f7PT8R1HQ7FsSggCLcBGAsYHQ/s640/PIX-4-4.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/7d2a838f-f434-4b7e-9fca-f0e477b444ee.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/PIX-1-B.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/PIX-2-A.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/PIX-2-B.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-F1x18cQ3VVw/VjEbdOA5FBI/AAAAAAAIDSA/Tskcoaa6-OU/s72-c/g4.jpg)
CCM inapenda kutoa taarifa ifuatayo kwa wana-CCM na kwa umma: MALALAMIKO YA CCM KUHUSU MATOKEO KWENYE BAADHI YA MAJIMBO
![](http://2.bp.blogspot.com/-F1x18cQ3VVw/VjEbdOA5FBI/AAAAAAAIDSA/Tskcoaa6-OU/s640/g4.jpg)
Wasimamizi wa uchaguzi katika majimbo haya wamevuruga uchaguzi. Kutokana na utata uliokuwa umejitokeza wakati wa zoezi la kujumlisha kura, CCM iliomba kura zihesabiwe upya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-w-embukG5vc/XunNJGWh0eI/AAAAAAALuLs/0v5DLOdZhwI1X9YWuj5LycRsDxl3JXmQwCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-17%2Bat%2B10.17.36%2BAM.jpeg)
11 years ago
Habarileo05 May
Maandalizi Muswada wa Sheria ya Haki ya Kupata Taarifa
SERIKALI imeshaanza maandalizi ya Muswada wa Sheria ya Haki ya Kupata Taarifa kutoka kwa taasisi za umma, ili kuongeza uwazi katika uendeshaji wa shughuli za Serikali. Waziri wa Katiba na Sheria, Dk Asha-Rose Migiro, alisema hayo mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam, wakati akiwasilisha taarifa ya makadirio ya Bajeti ya Wizara hiyo kwa mwaka ujao wa fedha, katika Kamati ya Bunge ya Katiba, Sheria na Utawala jijini Dar es Salaam.
9 years ago
MichuziTAARIFA KWA UMMA KUHUSU MATOKEO YA OPERESHENI GIBOIA II
11 years ago
Michuzi30 Apr
TAARIFA YA MABADILIKO YA ANUANI YA OFISI YA RAIS, MENEJIMENTI YA UTUMISHI WA UMMA
OFISI YA RAIS, MENEJIMENTI YA UTUMISHI WA UMMA UTUMISHI HOUSE 8 BARABARA YA KIVUKONI 11404 DAR ES SALAAM au PRESIDENT’S OFFICE, PUBLIC SERVICE MANAGEMENT UTUMISHI HOUSE 8 KIVUKONI ROAD 11404 DAR ES SALAAM
Anuani hii inachukua nafasi ya Sanduku la Posta 2483, Dar es salaam. Hivyo, mawasiliano yote yazingatie...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-NHL8vluFPVU/VcxfAvGPOcI/AAAAAAAHwWQ/4MX-nxIrKmA/s72-c/Pix%2Bb.jpg)
Vijana nchini watakiwa kuzingatia upatikanaji wa taarifa sahihi kuelekea uchaguzi mkuu
![](http://3.bp.blogspot.com/-NHL8vluFPVU/VcxfAvGPOcI/AAAAAAAHwWQ/4MX-nxIrKmA/s640/Pix%2Bb.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-uwUbPayAoR0/VcxfBAQ6B5I/AAAAAAAHwWc/2ATtTwvjiB8/s640/Pix%2Bc.jpg)