MISA-TAN:Yasherekea Siku ya Kimataifa ya Haki ya kupata taarifa na kuzindua utafiti wa kupata taarifa Ofisi za Umma
Afisa Utafiti na Maelezo wa Misa-Tanzania-Media Institute of Southern Africa (Taasisi ya vyombo vya habari Kusini mwa Afrika) Bwana Sengiyumva Gasirigwa (wa kwanza kushoto) akitoa ufafanuzi alipokuwa anafungua mkutano huo kwa waandishi wa habari na wageni waalikwa kutoka kwenye taasisi mbalimbali za Serikali kwenye siku ya kimataifa ya haki ya kupata taarifa ambayo uadhimishwa Septemba 28 kwa kila mwaka.
Mwenyekiti msaidi wa Taasisi ya vyombo vya habari Kusini mwa Afrika (MISA-TAN), Bwana...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziMISA TANZANIA YASHEREKEA SIKU YA KIMATAIFA YA HAKI YA KUPATA TAARIFA NA KUZINDUA UTAFITI WA UPATIKANAJI WA TAARIFA KWENYE OFISI ZA UMMA NCHINI TANZANIA
10 years ago
Dewji Blog29 Sep
MISA-TAN yaadhimisha siku ya kimataifa ya haki ya kupata taarifa na kutoa matokeo ya utafiti wa upatikanaji wa taarifa kwenye ofisi za umma nchini Tanzaniaâ€â€Ž
11 years ago
Habarileo05 May
Maandalizi Muswada wa Sheria ya Haki ya Kupata Taarifa
SERIKALI imeshaanza maandalizi ya Muswada wa Sheria ya Haki ya Kupata Taarifa kutoka kwa taasisi za umma, ili kuongeza uwazi katika uendeshaji wa shughuli za Serikali. Waziri wa Katiba na Sheria, Dk Asha-Rose Migiro, alisema hayo mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam, wakati akiwasilisha taarifa ya makadirio ya Bajeti ya Wizara hiyo kwa mwaka ujao wa fedha, katika Kamati ya Bunge ya Katiba, Sheria na Utawala jijini Dar es Salaam.
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-69WSTnko-r0/VnFB0CxtBNI/AAAAAAAApO8/HPDS0ghFDi4/s72-c/NMB-1.jpg)
NMB YAZINDUA MFUMO WA KISASA WA UTUNZAJI WA TAARIFA ZA MIKOPO, WATEJA SASA KUPATA MIKOPO NDANI YA SIKU 4.
![](http://4.bp.blogspot.com/-69WSTnko-r0/VnFB0CxtBNI/AAAAAAAApO8/HPDS0ghFDi4/s640/NMB-1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/--9b5tR4SWeA/VnFCKG-pU9I/AAAAAAAApPQ/1hskTdNVBKs/s640/NMB%2B-2.jpg)
9 years ago
Dewji Blog16 Dec
Benki ya NMB yazindua mfumo wa kisasa wa utunzaji wa taarifa mikopo, wateja sasa kupata mikopo ndani ya siku 4
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NMB Plc Ineke Bussemaker akizungumza na waandishi wa Habari kuhusu mfumo wa kisasa wa utunzaji wa taarifa za mikopo uliozinduliwa na Benki hiyo. Mfumo huo utatutumika kwenye kanzi data ya Mikopo ya Benki hiyo ( CRB’s) kwa lengo la kuwawezesha wateja wakubwa na wadogo wa wanaoomba mikopo kuipata ndani ya siku 1 hadi 4 .
Afisa Mkuu Udhibiti wa Hasara wa Benki ya NMB Bw. Tom Borghols (wa pili kutoka kushoto) akitoa ufafanuzi kwa waandishi wa Habari (hawapo...
11 years ago
Tanzania Daima16 Feb
Pugu waanza kupata taarifa za maendeleo
WAKAZI wa Kata ya Pugu, Wilaya ya Ilala, Dar es Salaam, hivi sasa wanapata taarifa za mapato na matumizi ya fedha za maendeleo kupitia mbao za matangazo kwenye ofisi za...
11 years ago
Michuzi30 Apr
TAARIFA YA MABADILIKO YA ANUANI YA OFISI YA RAIS, MENEJIMENTI YA UTUMISHI WA UMMA
OFISI YA RAIS, MENEJIMENTI YA UTUMISHI WA UMMA UTUMISHI HOUSE 8 BARABARA YA KIVUKONI 11404 DAR ES SALAAM au PRESIDENT’S OFFICE, PUBLIC SERVICE MANAGEMENT UTUMISHI HOUSE 8 KIVUKONI ROAD 11404 DAR ES SALAAM
Anuani hii inachukua nafasi ya Sanduku la Posta 2483, Dar es salaam. Hivyo, mawasiliano yote yazingatie...
10 years ago
VijimamboZANZIBAR YAANZA KUTUMIA MFUMO WA ELEKRONIKI KUSAMBAZA NA KUPATA TAARIFA YA MADAWA VITUONI
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-nNiAqxznwzs/XsbQ6ncj3UI/AAAAAAALrNg/GuOYPqoB4_ASK6mok5f7PT8R1HQ7FsSggCLcBGAsYHQ/s72-c/PIX-4-4.jpg)
Waziri Mwakyembe azitaka ofisi za Umma kutoa taarifa kwa wanahabari
![](https://1.bp.blogspot.com/-nNiAqxznwzs/XsbQ6ncj3UI/AAAAAAALrNg/GuOYPqoB4_ASK6mok5f7PT8R1HQ7FsSggCLcBGAsYHQ/s640/PIX-4-4.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/7d2a838f-f434-4b7e-9fca-f0e477b444ee.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/PIX-1-B.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/PIX-2-A.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/PIX-2-B.jpg)