ZANZIBAR YAANZA KUTUMIA MFUMO WA ELEKRONIKI KUSAMBAZA NA KUPATA TAARIFA YA MADAWA VITUONI
Mfamasia Mkuu wa Zanzibar Habib Ali Shariff akitoa maelezo kuhusu Mfumo mpya wa Kielectroniki wa Ugavi wa madawa jinsi unavyofanyakazi zake kwa haraka, katika hafla ya uzinduzi wa mfumo huo. Uliofanyika Park Hyatt Hotel Shangani Mjini Zanzibar.
Mkurugenzi wa Shirika la John Snow Incorporated (JSI) nchini, Deo Kimera akitoa nasaha zake kwa Viongozi na Maafisa wa Afya waliopata elimu juu ya matumizi ya mfumo mpya wa Ugavi wa madawa wa kielektroniki walioshiriki katika hafla ya uzinduzi wa mfumo...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog29 Sep
MISA-TAN:Yasherekea Siku ya Kimataifa ya Haki ya kupata taarifa na kuzindua utafiti wa kupata taarifa Ofisi za Umma
Afisa Utafiti na Maelezo wa Misa-Tanzania-Media Institute of Southern Africa (Taasisi ya vyombo vya habari Kusini mwa Afrika) Bwana Sengiyumva Gasirigwa (wa kwanza kushoto) akitoa ufafanuzi alipokuwa anafungua mkutano huo kwa waandishi wa habari na wageni waalikwa kutoka kwenye taasisi mbalimbali za Serikali kwenye siku ya kimataifa ya haki ya kupata taarifa ambayo uadhimishwa Septemba 28 kwa kila mwaka.
Mwenyekiti msaidi wa Taasisi ya vyombo vya habari Kusini mwa Afrika (MISA-TAN), Bwana...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-69WSTnko-r0/VnFB0CxtBNI/AAAAAAAApO8/HPDS0ghFDi4/s72-c/NMB-1.jpg)
NMB YAZINDUA MFUMO WA KISASA WA UTUNZAJI WA TAARIFA ZA MIKOPO, WATEJA SASA KUPATA MIKOPO NDANI YA SIKU 4.
![](http://4.bp.blogspot.com/-69WSTnko-r0/VnFB0CxtBNI/AAAAAAAApO8/HPDS0ghFDi4/s640/NMB-1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/--9b5tR4SWeA/VnFCKG-pU9I/AAAAAAAApPQ/1hskTdNVBKs/s640/NMB%2B-2.jpg)
9 years ago
Dewji Blog16 Dec
Benki ya NMB yazindua mfumo wa kisasa wa utunzaji wa taarifa mikopo, wateja sasa kupata mikopo ndani ya siku 4
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NMB Plc Ineke Bussemaker akizungumza na waandishi wa Habari kuhusu mfumo wa kisasa wa utunzaji wa taarifa za mikopo uliozinduliwa na Benki hiyo. Mfumo huo utatutumika kwenye kanzi data ya Mikopo ya Benki hiyo ( CRB’s) kwa lengo la kuwawezesha wateja wakubwa na wadogo wa wanaoomba mikopo kuipata ndani ya siku 1 hadi 4 .
Afisa Mkuu Udhibiti wa Hasara wa Benki ya NMB Bw. Tom Borghols (wa pili kutoka kushoto) akitoa ufafanuzi kwa waandishi wa Habari (hawapo...
10 years ago
Mwananchi19 Nov
MSD yaanza kusambaza dawa
11 years ago
Habarileo06 Jun
Serikali yaanza kusambaza kompyuta vyuoni
WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amesema Serikali kwa sasa imeanza kusambaza kompyuta katika vyuo vikuu nchini kwa lengo la kuboresha elimu kwa wanafunzi. Pia, amesema baadaye Serikali itaanza kusambaza kompyuta ndogo zinazobeba vitabu kidijitali, maarufu kama tabuleti (tablets) kwa wanafunzi.
10 years ago
Dewji Blog11 Feb
Serikali yaanza kusambaza Katiba Inayopendekezwa
Waziri Migiro akiongea na baadhi ya waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo.
Na Mwandishi Wetu
Serikali imeanza kusambaza nakala milioni mbili za Katiba Inayopendekezwa nchini kote ili kuwawezesha wananchi kuisoma na kushiriki katika Kura ya Maoni iliyopangwa kufanyika tarehe 30 Aprili mwaka huu.
Waziri wa Katiba na Sheria Dkt. Asha-Rose Migiro amesema leo (Jumatano, Februari 11, 2015) jijini Dar es Salaam kuwa kati ya nakala hizo zilizochapwa jijini Dar es Salaam, nakala 1,800,000...
10 years ago
Habarileo11 Sep
Mfumo mpya wa kusambaza dawa Dodoma
MKOA wa Dodoma katika kuondoa tatizo la dawa katika zahanati na vituo vya afya vijijini, imeanzisha mfumo maalumu ujulikanao kama ‘Prime Vendor’ (PV) utakaowezesha zahati na vituo vya afya kusambaziwa dawa na msambazaji binafsi, chini ya mpango wa ubia kati serikali na sekta binafsi (PPP).
10 years ago
MichuziNAIBU WAZIRI WA AFYA ZANZIBAR MAHMOUD THABIT KOMBO AFUNGA MAFUNZO YA SIKU 10 YA MFUMO WA UKUSANYAJI TAARIFA ZA AFYA
10 years ago
MichuziSerikali yajipanga kutumia nguzo za zege kusambaza umeme