Serikali yaanza kusambaza kompyuta vyuoni
WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amesema Serikali kwa sasa imeanza kusambaza kompyuta katika vyuo vikuu nchini kwa lengo la kuboresha elimu kwa wanafunzi. Pia, amesema baadaye Serikali itaanza kusambaza kompyuta ndogo zinazobeba vitabu kidijitali, maarufu kama tabuleti (tablets) kwa wanafunzi.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog11 Feb
Serikali yaanza kusambaza Katiba Inayopendekezwa
Waziri Migiro akiongea na baadhi ya waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo.
Na Mwandishi Wetu
Serikali imeanza kusambaza nakala milioni mbili za Katiba Inayopendekezwa nchini kote ili kuwawezesha wananchi kuisoma na kushiriki katika Kura ya Maoni iliyopangwa kufanyika tarehe 30 Aprili mwaka huu.
Waziri wa Katiba na Sheria Dkt. Asha-Rose Migiro amesema leo (Jumatano, Februari 11, 2015) jijini Dar es Salaam kuwa kati ya nakala hizo zilizochapwa jijini Dar es Salaam, nakala 1,800,000...
10 years ago
Mwananchi19 Nov
MSD yaanza kusambaza dawa
10 years ago
Dewji Blog16 Apr
NEC yaanza mafunzo ya uchambuzi wa mifumo ya Kompyuta
![](http://1.bp.blogspot.com/-XNP3MnAKydc/VS-rXQbkf8I/AAAAAAABeoQ/ZgHcO6P-Vd4/s1600/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-xH38_C9zWAk/VS-rXp_6FcI/AAAAAAABeoU/H5WjZvXabNY/s1600/2.jpg)
10 years ago
VijimamboZANZIBAR YAANZA KUTUMIA MFUMO WA ELEKRONIKI KUSAMBAZA NA KUPATA TAARIFA YA MADAWA VITUONI
11 years ago
Mwananchi01 Apr
Kweli Serikali itadhibiti ada kubwa vyuoni?
11 years ago
Mwananchi09 Aug
Serikali kusambaza vipimo vya ebola
10 years ago
MichuziSerikali yajipanga kutumia nguzo za zege kusambaza umeme
10 years ago
Habarileo29 Apr
Serikali yaanza kudhibiti Shilingi
SERIKALI imesema imeshaanza kuchukua hatua za kudhibiti kuporomoka kwa kasi kwa Shilingi. Akizungumza na gazeti hili kwa njia ya simu Dar es Salaam jana, Mkurugenzi wa Fedha Masoko wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Alexander Ng’winamila, alisema kamwe Serikali haiwezi kulikalia kimya suala hilo.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-peDc8IY8BuM/Xt3ahoq6MoI/AAAAAAALs-c/PLA8dpHodN85lCKGgnWb55BJFOlHxsYggCLcBGAsYHQ/s72-c/PICHA%2B2.jpg)
SERIKALI YAANZA RASMI BIASHARA YA MAFUTA
![](https://1.bp.blogspot.com/-peDc8IY8BuM/Xt3ahoq6MoI/AAAAAAALs-c/PLA8dpHodN85lCKGgnWb55BJFOlHxsYggCLcBGAsYHQ/s640/PICHA%2B2.jpg)