Kweli Serikali itadhibiti ada kubwa vyuoni?
Kwa muda mrefu wananchi wa kada mbalimbali wamekuwa wakilalamika kuhusu karo kubwa zinatozwa shuleni na katika vyuo vya elimu ya juu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Uhuru NewspaperAda elekezi sasa kupangwa vyuoni
SERIKALI imeanza kufanya utafiti wa kina kwa kushirikisha wadau mbalimbali ili kuweza kupanga ada elekezi kwa programu zote zinazofundishwa katika vyuo vikuu nchini.
Kauli hiyo ilitolewa bungeni jana na Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Jenister Mhagama, alipokuwa...
10 years ago
Habarileo09 Feb
Jaji Mahakama Kuu alia na ada kubwa za mawakili
JAJI Mfawidhi wa Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Iringa, Mary Shangali amesema serikali ina wajibu wa kuhakikisha wananchi wanapata huduma za kimahakama bila vikwazo vya kiufundi wala gharama kubwa za ada au malipo ya mawakili.
11 years ago
Habarileo06 Jun
Serikali yaanza kusambaza kompyuta vyuoni
WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amesema Serikali kwa sasa imeanza kusambaza kompyuta katika vyuo vikuu nchini kwa lengo la kuboresha elimu kwa wanafunzi. Pia, amesema baadaye Serikali itaanza kusambaza kompyuta ndogo zinazobeba vitabu kidijitali, maarufu kama tabuleti (tablets) kwa wanafunzi.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/UQSvRDwuxJKW4B*dqo00Kia0ZyDDtxLbi1A2oI2aRSQ07iElhrv3ycKkjQdYqqIXSEqAyNSW7XohW6SzCSyCUEETp46tukOZ/1.jpg?width=650)
NI VYA KIPUUZI KWELI LAKINI VINA MAANA KUBWA KWENYE MAPENZI-2
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/KhhA6XZToLo4*hRp0bi-s-bYdVOB8OaZbiv714gEXMP1*PLTiyJLfETSwh9KON93ZTlQOtZm8IOy3lRDuZ4rNTJIFR1dbHkr/Untitled1.jpg?width=650)
NI VYA KIPUUZI KWELI LAKINI VINA MAANA KUBWA KWENYE MAPENZI
10 years ago
Uhuru Newspaper![](http://4.bp.blogspot.com/-tknbYmhIceA/U_2j-pSBZJI/AAAAAAAABkE/LxTfuzPX150/s72-c/kikwete-new-748393.jpg)
Serikali kufuta ada sekondari
Lengo kuwa na elimu bure hadi kidato cha nne JK asema ni mkakati wa kuboresha elimu nchini
NA MWANDISHI WETU
RAIS Jakaya Kikwete ametangaza rasmi kuwa serikali inaangalia uwezekano wa kufuta ada katika shule zake za sekondari.
Hatua hiyo inalenga kuboresha Sera ya Elimu na kuhakikisha kila mwanafunzi anayeanza darasa kwanza anamaliza kidato cha nne.
Rais Kikwete alikuwa akizungumza jana na wanajumuia ya Chuo Kikuu Mzumbe, Morogoro na wakazi wa vijiji vya jirani na chuo hicho ikiwa sehemu ya...
10 years ago
Mwananchi23 Aug
Dk Kilahama ashauri Serikali itoze ada
10 years ago
Tanzania Daima02 Oct
Serikali yashauriwa kufuta ada shule za kata
KAIMU Ofisa wa Ustawi wa Jamii Mkoa wa Pwani, Dismas Chuwalo, ameishauri serikali kufuta ada ya shule za sekondari za Kata ili wahitimu wote wanaochaguliwa waweze kujiunga na shule hizo....
11 years ago
Mwananchi14 Mar
Serikali yaingilia kati ada vyuo vikuu