Dk Kilahama ashauri Serikali itoze ada
Aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Misitu na Nyuki nchini, Dk Feliciana Kilahama ameishauri Serikali kuanza kutoza ada ya kuwaangalia wanyama kutokana thamani yao.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo24 Jan
CAG ashauri Serikali kukabili ukata
MDHIBITI na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Ludovick Utouh, ameishauri Serikali na Bunge kuangalia upya vyanzo vya mapato na matumizi ya fedha za Serikali, kwa kuwa ni dhahiri hali ya fedha si nzuri kabisa. Alisema hayo jana mjini hapa wakati wa kufungua mkutano wa pili wa Baraza la Wafanyakazi la Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi wa Hesabu za Serikali.
10 years ago
Mwananchi11 Oct
Sumaye ashauri Serikali kushirikisha walimu
11 years ago
Mwananchi14 Apr
Msomi ashauri muundo wa serikali mbili ulioboreshwa
11 years ago
Mwananchi28 Jan
Askofu Munga ashauri Serikali kupitisha Katiba wanayotaka wananchi
10 years ago
Uhuru Newspaper![](http://4.bp.blogspot.com/-tknbYmhIceA/U_2j-pSBZJI/AAAAAAAABkE/LxTfuzPX150/s72-c/kikwete-new-748393.jpg)
Serikali kufuta ada sekondari
Lengo kuwa na elimu bure hadi kidato cha nne JK asema ni mkakati wa kuboresha elimu nchini
NA MWANDISHI WETU
RAIS Jakaya Kikwete ametangaza rasmi kuwa serikali inaangalia uwezekano wa kufuta ada katika shule zake za sekondari.
Hatua hiyo inalenga kuboresha Sera ya Elimu na kuhakikisha kila mwanafunzi anayeanza darasa kwanza anamaliza kidato cha nne.
Rais Kikwete alikuwa akizungumza jana na wanajumuia ya Chuo Kikuu Mzumbe, Morogoro na wakazi wa vijiji vya jirani na chuo hicho ikiwa sehemu ya...
11 years ago
Mwananchi01 Apr
Kweli Serikali itadhibiti ada kubwa vyuoni?
11 years ago
Mwananchi14 Mar
Serikali yaingilia kati ada vyuo vikuu
10 years ago
Habarileo03 Nov
Askofu aipa mbinu Serikali kushusha ada
SERIKALI imeombwa kurudisha mfumo wa zamani wa kuzipatia shule binafsi ruzuku, lengo ni kuzifanya shule hizo kupunguza ada na hivyo kusaidia kuondoa tabaka la kielimu miongoni mwa Watanzania.
10 years ago
Tanzania Daima02 Oct
Serikali yashauriwa kufuta ada shule za kata
KAIMU Ofisa wa Ustawi wa Jamii Mkoa wa Pwani, Dismas Chuwalo, ameishauri serikali kufuta ada ya shule za sekondari za Kata ili wahitimu wote wanaochaguliwa waweze kujiunga na shule hizo....