Sumaye ashauri Serikali kushirikisha walimu
Waziri Mkuu mstaafu Frederick Sumaye ameishauri Serikali kuwashirikisha walimu kwa kujadiliana nao kuhusu matatizo yanayowakabili angalau kutafuta jinsi ya kupunguza makali yake.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili27 Jun
Iraq:Serikali mpya kushirikisha wasunni
10 years ago
Tanzania Daima15 Nov
Serikali yashauriwa kushirikisha vyombo vya habari
SERIKALI imeshauriwa kuvishirikisha vyombo vya habari katika mchakato mpya wa Malengo Endelevu ya Maendeleo (SDGs), ili viweze kuielimisha jamii kutokana na nafasi kubwa ilivyo navyo. Rai hiyo, ilitolewa jijini Dar...
10 years ago
Habarileo11 Oct
Sumaye- Walimu ni waelewa sana
ALIYEKUWA Waziri Mkuu wa Tanzania, Frederick Sumaye, ametaka uboreshaji wa elimu nchini, uendane na utoaji wa elimu unaozingatia kumlea kijana kuwa mzalendo na asiyeshiriki katika maovu. Sumaye alisema hayo jana mkoani hapa alipokuwa akizungumza katika katika ufunguzi wa sherehe ya Siku ya Mwalimu Duniani, ambako alialikwa kuwa mgeni rasmi na Chama Cha Walimu mkoani hapa.
10 years ago
Mwananchi23 Aug
Dk Kilahama ashauri Serikali itoze ada
11 years ago
Habarileo24 Jan
CAG ashauri Serikali kukabili ukata
MDHIBITI na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Ludovick Utouh, ameishauri Serikali na Bunge kuangalia upya vyanzo vya mapato na matumizi ya fedha za Serikali, kwa kuwa ni dhahiri hali ya fedha si nzuri kabisa. Alisema hayo jana mjini hapa wakati wa kufungua mkutano wa pili wa Baraza la Wafanyakazi la Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi wa Hesabu za Serikali.
11 years ago
Mwananchi14 Apr
Msomi ashauri muundo wa serikali mbili ulioboreshwa
11 years ago
Mwananchi28 Jan
Askofu Munga ashauri Serikali kupitisha Katiba wanayotaka wananchi
10 years ago
Tanzania Daima16 Oct
Sumaye: Serikali iwekeze kwenye kilimo
WAZIRI Mkuu mstaafu Frederick Sumaye, amesema ili Tanzania iimarike kiuchumi ni lazima serikali iwekeze kwenye kilimo, ufugaji na tafiti zake. Alisema uwekezaji katika maeneo hayo, utasaidia kuondoa umasikini unaowakabili Watanzania...
9 years ago
Mwananchi06 Jan
Serikali yaamuru waliovamia shamba la Sumaye waondoke