Sumaye- Walimu ni waelewa sana
ALIYEKUWA Waziri Mkuu wa Tanzania, Frederick Sumaye, ametaka uboreshaji wa elimu nchini, uendane na utoaji wa elimu unaozingatia kumlea kijana kuwa mzalendo na asiyeshiriki katika maovu. Sumaye alisema hayo jana mkoani hapa alipokuwa akizungumza katika katika ufunguzi wa sherehe ya Siku ya Mwalimu Duniani, ambako alialikwa kuwa mgeni rasmi na Chama Cha Walimu mkoani hapa.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi11 Oct
Sumaye ashauri Serikali kushirikisha walimu
10 years ago
Bongo Movies07 Apr
Lulu: Nilishalia Sana, Nishaumia Sana Lakini Kwasasa…….
Staa mrembo kutoka Bongo Movies Elizabeth Michael ‘Lulu’ ameamua kutoboa kile alichokiita kama faraja yake kwa hivi sasa.
“Faraja YANGU...Nishalia sana,nishaumia sana lakini kwa sasa nikiona mmoja kati ya hawa analia au kuumia ndo kitu kinachoweza kuniumiza zaidi...!MUNGU awatunzeeee”-Lulu aliandika hayo jana usiku kwenye ukursa wake mtandaoni mara baada ya kuweka picha ya mama yake na mdogo wake.
Kufuatia andiko hilo komenti za mashabiki wengi zilielekea zaidi kumzungumzia kifo cha Steven...
10 years ago
Mwananchi13 Apr
Walimu Nachingwea wataka hisa Benki ya Walimu ziuzwe kwa simu
5 years ago
Michuzi
JAFO AITAKA TUME YA UTUMISHI WA WALIMU KUTATUA CHANGAMOTO ZA WALIMU NCHINI
Kauli hiyo ameitoa jijini Dodoma wakati wa kuapishwa wajumbe wa Tume ya Utumishi wa Walimu .
Jafo amesema kuwa Tume hiyo ndani ya wiki moja ikafanyie kazi mashauri ya rufaa 110 ili walimu waweze kutekeleza majukumu yao katika ubora unaohitajika.
Akizungumza amesema kuwa Tume inatakiwa kufanya kazi kwa weledi wa hali...
11 years ago
Mwananchi10 Dec
Umuhimu wa walimu wazoefu kuwasimamia walimu wapya shuleni