Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Umuhimu wa walimu wazoefu kuwasimamia walimu wapya shuleni

Mwalimu mahiri ni mwalimu mwenye uwezo wa kumudu kufundisha somo lake kikamilifu na kisha kutoa maarifa sahihi kwa mujibu wa maelekezo ya silabasi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Tuwawezeshe walimu wapya wadumu shuleni

Hivi karibuni serikali ilitangaza ajira mpya kwa walimu. Katika taarifa hiyo walimu 36,021 waliohitimu mafunzo mwaka 2013 walihusishwa katika mchakato huo.

 

10 years ago

Mwananchi

Walimu na udhibiti wa nidhamu shuleni

Katika muktadha wa shule, neno nidhamu linamaanisha hatua mwafaka anazochukua mwalimu dhidi ya mwanafunzi au kikundi cha wanafunzi pale anapobaini kuwa tabia za wanafunzi zinavuruga au kwenda kinyume na taratibu na sheria za shule au jamii kwa jumla.

 

11 years ago

Habarileo

‘Wapokeeni vizuri walimu wapya’

WAKATI walimu wapya 18,093 wa shule za sekondari walitakiwa kuripoti katika vituo vyao vya kazi kuanzia juzi, Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi imetaka wakurugenzi, maofisa elimu na wakuu wa shule, kuwapokea vizuri wasikimbie maeneo yao ya kazi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Walimu wapya waandamana Mwanza

ZAIDI ya walimu 50 kutoka shule mbalimbali za msingi na sekondari katika Halmashauri ya Manispaa ya Nyamagana mkoani hapa, jana waliandamana hadi ofisi za mkurugenzi wa halmashauri kushinikiza kulipwa mshahara wa mwezi uliopita....

 

10 years ago

GPL

UKOSEFU WA VYOO SHULENI ILEMELA HATARI KWA AFYA ZA WANAFUNZI NA WALIMU

Mheshimiwa Highness Kiwia kupitia Chama cha Demokrasia na  Maendeleo. Ilemela ni moja kati ya majimbo saba yanayounda Mkoa wa Mwanza ambalo linaongozwa na Mheshimiwa Highness Kiwia kupitia Chama cha Demokrasia na  Maendeleo (CHADEMA). Wiki iliyopita, Uwazi lilitembelea Kata za Nyakato, Mecco, Buzuruga, Nyasaka, Ilemela, Kahama, Kiseke, Sangabuye, Kayenze, Bugongwa, Shibuda, Pasiansi, Kawekamo, Kitangiri, Kirumba,...

 

5 years ago

Michuzi

WALIMU MKOANI TABORA WATAKIWA KUWAFUNDISHA WANAFUNZI UMUHIMU WA UZALENDO

Kaimu Mkuu wa Kanda ya Magharibi, Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma Gerald Mwaitebele akitoa ufafanuzi leo wakati mafunzo na maelekezo kuhusiana na uendeshaji wa klabu za maadili kwa walimu wa shule za msingi ,sekondari na vyuo
Katibu Tawala Mkoa wa Tabora Msalika Makungu akifungua leo mafunzo na maelekezo kuhusiana na uendeshaji wa klabu za maadili kwa walimu wa shule za msingi ,sekondari na vyuo
Baadhi ya walimu wa Shule za Msingi katika Manispaa ya Tabora...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Bunda yapata walimu wapya 223

SERIKALI kupitia Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, imeipatia Wilaya ya Bunda jumla ya walimu wapya 223, wakiwemo wa sekondari 137 na shule za msingi 86. Mkurugenzi Mtendaji wa...

 

10 years ago

Habarileo

Zatumwa bil 10/- kulipa walimu wapya

Naibu Waziri wa Fedha, Mwigulu NchembaSERIKALI imetuma Sh bilioni 10 katika mikoa mbalimbali nchini kwa ajili ya kuwalipa walimu wapya ambao wameripoti kazini mapema mwezi uliopita.

 

11 years ago

Mwananchi

Walimu wapya 32 waripoti, watano wajawazito

Walimu32 katiya 52 wa shule za msingi waliopangiwa wilayani Urambo, tayari wameripoti huku 20 wakipangiwa vituo vya kazi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani