Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Walimu na udhibiti wa nidhamu shuleni

Katika muktadha wa shule, neno nidhamu linamaanisha hatua mwafaka anazochukua mwalimu dhidi ya mwanafunzi au kikundi cha wanafunzi pale anapobaini kuwa tabia za wanafunzi zinavuruga au kwenda kinyume na taratibu na sheria za shule au jamii kwa jumla.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Umuhimu wa walimu wazoefu kuwasimamia walimu wapya shuleni

Mwalimu mahiri ni mwalimu mwenye uwezo wa kumudu kufundisha somo lake kikamilifu na kisha kutoa maarifa sahihi kwa mujibu wa maelekezo ya silabasi.

 

10 years ago

Mwananchi

Ujumbe mfupi wa simu kudhibiti nidhamu shuleni

Leo kila mtu analia na nidhamu ndogo ya wanafunzi. Wazazi nyumbani au waliopo kazini hawajui nini wanachofanya watoto wao shuleni.

 

11 years ago

Mwananchi

Tuwawezeshe walimu wapya wadumu shuleni

Hivi karibuni serikali ilitangaza ajira mpya kwa walimu. Katika taarifa hiyo walimu 36,021 waliohitimu mafunzo mwaka 2013 walihusishwa katika mchakato huo.

 

5 years ago

CCM Blog

KAMATI KUU YA CCM YAIPA SIKU SABA KAMATI NDOGO YA UDHIBITI NA NIDHAMU KUKAMILISHA NA KUWASILISHA KWENYE VIKAO HUSIKA TAARIFA ZA KINA KINANA, MAKAMBA NA MEMBE

Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Idara ya Itikadi na Uenezi  Humphrey Polepole,  akieleza yaliyojiri kwenye Kikao cha Kamati Kuu (CC) ya Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi, kilichofanyika leo katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, mtaa wa Lumumba jijini Dar es Salaam. Polepole alitoa maelezo hayo wakati wa Mkutano wa Katibu Mkuu wa CCM Dk. Bashiru Ally na Waandishi wa habari.







Na Bashir Nkoromo, Dar es Salaam
Chama Cha Mapinduzi (CCM)...

 

10 years ago

GPL

UKOSEFU WA VYOO SHULENI ILEMELA HATARI KWA AFYA ZA WANAFUNZI NA WALIMU

Mheshimiwa Highness Kiwia kupitia Chama cha Demokrasia na  Maendeleo. Ilemela ni moja kati ya majimbo saba yanayounda Mkoa wa Mwanza ambalo linaongozwa na Mheshimiwa Highness Kiwia kupitia Chama cha Demokrasia na  Maendeleo (CHADEMA). Wiki iliyopita, Uwazi lilitembelea Kata za Nyakato, Mecco, Buzuruga, Nyasaka, Ilemela, Kahama, Kiseke, Sangabuye, Kayenze, Bugongwa, Shibuda, Pasiansi, Kawekamo, Kitangiri, Kirumba,...

 

10 years ago

Mwananchi

Walimu Nachingwea wataka hisa Benki ya Walimu ziuzwe kwa simu

Walimu wilayani hapa wamekiomba Chama cha Walimu Tanzania (CWT), kuweka utaratibu utakaowawezesha walimu walioko pembezoni kununua hisa katika Benki ya Walimu ikiwamo ya kutumia kutumia mitandao ya simu za mkononi.

 

5 years ago

Michuzi

JAFO AITAKA TUME YA UTUMISHI WA WALIMU KUTATUA CHANGAMOTO ZA WALIMU NCHINI

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais- TAMISEMI, Selemani Jafo ameutaka uongozi mpya wa Tume ya Utumishi wa Walimu kutatua changamoto za walimu ili kuwatia moyo katika kutimiza majukumu yao.

Kauli hiyo ameitoa jijini Dodoma wakati wa kuapishwa wajumbe wa Tume ya Utumishi wa Walimu .

Jafo amesema kuwa Tume hiyo ndani ya wiki moja ikafanyie kazi mashauri ya rufaa 110 ili walimu waweze kutekeleza majukumu yao katika ubora unaohitajika.

Akizungumza amesema kuwa Tume inatakiwa kufanya kazi kwa weledi wa hali...

 

10 years ago

Raia Tanzania

RC ataka udhibiti wa mikopo

MKUU wa Mkoa wa Morogoro, Rajab Rutengwe, amewataka wakurugenzi wa halmashauri kuwadhibiti watumishi wa umma  wanaochukua mikopo pasipo kuifanyia kazi ya maendeleo kwa taifa.

Rutengwe alisema hayo mwanzoni mwa wiki alipofungua kikao cha udhibiti na ukaguzi wa hesabu za serikali mkoani hapa kwa Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro Vijijini.

Aliwataka watumishi kutochukua mikopo holela kwa kuwa baadhi yao hushindwa kuwa waadilifu hivyo kukwama kwa shughuli za maendeleo.

“Watumishi...

 

11 years ago

Habarileo

KIA kuongeza udhibiti wa ‘unga’

UONGOZI wa Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Kilimanjaro (KIA) umeahidi kuongeza jitihada za kudhibiti usafirishaji wa dawa za kulevya, kutokana maboresho yaliyofanyika katika kitengo chake cha usalama.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani