Ujumbe mfupi wa simu kudhibiti nidhamu shuleni
Leo kila mtu analia na nidhamu ndogo ya wanafunzi. Wazazi nyumbani au waliopo kazini hawajui nini wanachofanya watoto wao shuleni.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi16 Sep
Walimu na udhibiti wa nidhamu shuleni
Katika muktadha wa shule, neno nidhamu linamaanisha hatua mwafaka anazochukua mwalimu dhidi ya mwanafunzi au kikundi cha wanafunzi pale anapobaini kuwa tabia za wanafunzi zinavuruga au kwenda kinyume na taratibu na sheria za shule au jamii kwa jumla.
11 years ago
BBCSwahili04 Jun
CAR yabana ujumbe mfupi (SMS)
Maafisa wa utawala Katika Jamhuri ya Afrika ya Kati wamebana matumizi ya ujumbe mfupi wa simu za mkononi baada ya kusema kuwa ni tisho kwa usalama wa nchi.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jk1qJfh5Fa62aWBAXKy1hH0R53yx3P6q9MIokSLPzPRwKcD5SbsQ0K57NE2DVYy1Kz-qaTbir-FStde1piPnHrT3AgKsDk9B/001.WAZIRI.jpg?width=650)
WATEJA 225,000 WA VODACOM WAJIUNGA NA HUDUMA YA UJUMBE MFUPI YA UZAZI SALAMA
Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii,Dk.Seif Rashid (kushoto) akimsikiliza Ofisa Mkuu wa taasisi ya Udhibiti na Kinga ya Magonjwa ya CDC, Angela Makota (kulia) kwenye makabidhiano ya hundi ya Sh. Milioni 149 iliyotolewa na Vodacom Foundation kwa ajili ya kuunga mkono kampeni ya kuboresha huduma ya afya na Uzazi na Mtoto inayojulikana kama Wazazi Nipendeni.Makabidhiano yalifanyika katika ofisi ya wizara hiyo jijini Dar es...
10 years ago
Mwananchi28 Apr
Njaa shuleni, tunapeleka ujumbe gani kwa watoto?
Hoja yangu wiki iliyopita ni Serikali kutelekeza shule zake hadi inafikia hatua ya kukosa chakula na shule kufungwa ili watoto warudi nyumbani kukaa bila cha kufanya.
10 years ago
Mwananchi21 Apr
Njaa shuleni, tunapeleka ujumbe gani kwa watoto wetu?
WIKI kadha zilizopita tulishuhudia watoto wetu wakikatishwa masomo na kurudishwa nyumbani kwa sababu ya kukosa chakula shuleni. Pia baadhi ya shule na vyuo mlo wao ulibadilishwa; wakalizimika kula chakula mara chache ya utaratibu uliozoeleka au kula chakula chenye viwango duni.
10 years ago
Vijimambo28 Mar
MISWAADA KUDHIBITI MATUMIZI YA SIMU YAJA
![](http://dunialeo.com/my/data/posts/1427354023-makambabunge_300_257.png)
Serikali ya Tanzania imesema mnamo mapema mwakani iyapeleka bungeni miswada mitatu ya sheria za usalama wa mtandao yenye lengo la kuongeza usalama wa matumizi ya huduma za kimtandao.Aidha, kumekuwa na jumla ya matukio ya makosa mbalimbali ya kimtandao yaliyoripotiwa Polisi kati ya 2012 hadi 2014, huku kesi 212 zenye watuhumiwa 132 zikifikishwa mahakamani.
Naibu Waziri wa Mawasilino,Sayansi na Teknolojia, January Makamba aliyasema hayo bungeni jana wakati akijibu swali la Mbunge...
10 years ago
Mwananchi07 Oct
Wachina wameweza kudhibiti simu, sisi je?
Serikali ya China katika Jimbo la Shangai imeamua kutumia simu maalumu ambazo zina nywila (password) na uwezo wa kufuta taarifa zote endapo zitapotea au kutokea kitu chochote ambacho si cha kawaida.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-QsY0O_NkYe4/VEdQC9OFClI/AAAAAAACtS4/YHS3V4fqheE/s72-c/unnamed.jpg)
Tumieni namba za simu kudhibiti uendeshaji holela - UDA
![](http://4.bp.blogspot.com/-QsY0O_NkYe4/VEdQC9OFClI/AAAAAAACtS4/YHS3V4fqheE/s1600/unnamed.jpg)
Miongoni mwa mabasi ya shirika la Usafiri Dar es Salaam (UDA) yanayofanyakazi katika maeneo mbali mbali jijini Dar es Salaam. Na kila basi lina namba za simu ili kurahisisha abiria na watumiaji wa mabasi hayo kutoa maoni juu huduma zitolewazo na mabasi ya shirika hilo.
Abiria na watumiaji wengine wa barabara Dar es Salaam wameombwa kusaidia katika kudhibiti uendeshaji holela na tabia zisizokubalika zinazofanywa na baadhi ya madereva wa mabasi ya abiria na makondakta wa Dar es Salaam...
11 years ago
Mwananchi07 Aug
Ujumbe katika simu na haki za wateja
Ni dhahiri wengi tumewahi kupokea ujumbe mfupi wa maneno (sms) bila wenyewe kutaka, halafu hapo hapo utaona kiasi fulani cha fedha kimeondoka kutokana na ujumbe huu.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania