Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CAR yabana ujumbe mfupi (SMS)

Maafisa wa utawala Katika Jamhuri ya Afrika ya Kati wamebana matumizi ya ujumbe mfupi wa simu za mkononi baada ya kusema kuwa ni tisho kwa usalama wa nchi.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Ujumbe mfupi wa simu kudhibiti nidhamu shuleni

Leo kila mtu analia na nidhamu ndogo ya wanafunzi. Wazazi nyumbani au waliopo kazini hawajui nini wanachofanya watoto wao shuleni.

 

10 years ago

GPL

WATEJA 225,000 WA VODACOM WAJIUNGA NA HUDUMA YA UJUMBE MFUPI YA UZAZI SALAMA

Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii,Dk.Seif Rashid (kushoto) akimsikiliza Ofisa Mkuu wa taasisi ya Udhibiti na Kinga ya Magonjwa ya CDC, Angela Makota (kulia) kwenye makabidhiano ya hundi ya Sh. Milioni  149 iliyotolewa na Vodacom Foundation kwa ajili ya kuunga mkono kampeni ya  kuboresha huduma ya afya na Uzazi na Mtoto inayojulikana kama Wazazi Nipendeni.Makabidhiano yalifanyika katika ofisi ya wizara hiyo jijini Dar es...

 

11 years ago

Habarileo

Serikali ‘yabana’ usajili sekondari

Kamishna wa Elimu Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Profesa Eustella BharalusesaKUANZIA sasa, shule yoyote mpya isiyokuwa na maabara ya sayansi na maktaba haitasajiliwa na wala kuruhusiwa kutoa huduma; Serikali imeagiza.

 

11 years ago

BBCSwahili

Uturuki yabana mtandao wa YouTube

Serikali ya Uturuki imebana matumizi ya mtandao wa kijamii wa YouTube, siku moja baada ya mahakama kuamuru kusitishwa kwa muda marufuku ya Twitter

 

10 years ago

Habarileo

CCM yabana mawaziri Bunge Maalum

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimewabana mawaziri na wabunge wake wasiohudhuria shughuli za Bunge Maalumu la Katiba.

 

9 years ago

Habarileo

'Tatizo la umeme ni la muda mfupi'

SERIKALI imesema tatizo la kukatika kwa umeme ni la muda mfupi na kwamba linafanyiwa kazi kupata ufumbuzi wa kudumu.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mapigano yasita muda mfupi tu Gaza

Shambulio la Israil Gaza lauwa wengi na makubaliano ya kusitisha mapigano ili kuopoa maiti, hayadumu hata saa mbili zilizopangwa

 

10 years ago

Habarileo

DC: Muda wa kujenga maabara ulikuwa mfupi

MKUU wa Wilaya ya Morogoro, Saidi Amanzi amesema muda waliokuwa wamepewa awali na Rais Jakaya Kikwete wa kuhakikisha wanajenga maabara katika shule zote za sekondari ulikuwa hautoshi.

 

11 years ago

GPL

BENKI YA DUNIA 'YABANA' MSAADA KWA UG

Benki ya dunia. Benki ya dunia imebana msaada wa dola milioni 90 kwa Uganda , siku chache tu baada ya Rais Yoweri Museveni kuishinisha sheria mpya dhidi ya mapenzi ya jinsia moja. Sheria iliyoidhinishwa na Rais Yoweri Museveni, ilitiwa saini Jumatatu na inatoa adhabu kali kwa watu wanaoshiriki mapenzi ya jinsia moja. Wafadhili wengine tayari wameanza kusitisha misaada Uganda. Wahisani kama Denmark na Norway wamesema kuwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani