Uturuki yabana mtandao wa YouTube
Serikali ya Uturuki imebana matumizi ya mtandao wa kijamii wa YouTube, siku moja baada ya mahakama kuamuru kusitishwa kwa muda marufuku ya Twitter
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili04 Jun
Marufuku ya Youtube yaondolewa Uturuki
Serikali ya Uturuki imeondoa marufuku ya miezi mwili iliyoweka dhidi ya mtandao wa kijamii wa YouTube .
5 years ago
BBCSwahili16 Jun
Diamond Platnumz analinganishwaje na nyota wengine wa Afrika katika mtandao wa YouTube?
Msanii Diamond Platnumz kutoka Tanzania ndio msanii wa kwanza katika eneo la jangwa la sahara kupata views bilioni moja katika YouTube
5 years ago
CCM Blog![](https://img.youtube.com/vi/wwf09xtoQHU/default.jpg)
DIAMOND PLATNUMZ ANAVYOLINGANISHWA NA WASANII WENGINE AFRIKA KATIKA MTANDAO WA YOUTUBE
![Diamond Platnumz akishangazwa na wazalishaji wake wa muziki nyumbani kwake](https://ichef.bbci.co.uk/news/640/cpsprodpb/1571F/production/_112893878_capture976.png)
CHANZO CHA PICHA,WCB_WASAFIDiamond Platinumz alishangazwa na wazalishaji wake wa muziki wiki iliopita walipoingia katika nyumba yake na keki iliokuwa na nembo ya kuadhimisha hatua muhimu ya nyota huyo wa Tanzania.Huku akipigwa picha akivalia nguo , mwanamuziki huyo mwenye umri wa miaka 30 aliambiwa na kundi lake kwamba ndiye msanii wa kwanza katika jangwa la sahara kupata views bilioni moja katika chaneli ya Youtube.Ruka Instagram ujumbe, 1
Mwisho wa Instagram ujumbe, 1
![Presentational white space](https://ichef.bbci.co.uk/news/640/cpsprodpb/94C2/production/_109028083_1px_white_line-nc.png)
11 years ago
BBCSwahili21 Mar
Mtandao wa twitter kufungwa Uturuki
Serikali ya Uturuki imeamua kusitisha shughuli za mtandao wa Twitter nchini humo ikidai ulikaidi amri ya mahakama
5 years ago
MichuziMwandishi wa habari ahukumiwa jela mwaka mmoja au faini ya shilingi milioni tano kwa kosa la kutoa maudhui kwenye mtandao wa youtube bila leseni
Mahakama ya Hakimu Mkazi Njombe imemtia hatiani na kumhukumu kulipa faini ya Shilingi Milioni 5 au kifungo Cha Mwaka mmoja jela Mwandishi wa habari Prosper Mfugale baada ya mwandishi huyo kukiri kutoa maudhui Katika Mtandao wa YouTube bila ya kuwa na leseni kutoka mamlaka ya mawasiliano Tanzania (TCRA), hata hivyo Mfugale amelipa faini hiyo na kuachiwa huru.
Mfugale alikamatwa mnamo Februari 29 Mwaka huu na kushikiliwa kwa siku nne kituo cha polisi Njombe na tarehe 4 Machi alifunguliwa...
11 years ago
Habarileo07 Apr
Serikali ‘yabana’ usajili sekondari
KUANZIA sasa, shule yoyote mpya isiyokuwa na maabara ya sayansi na maktaba haitasajiliwa na wala kuruhusiwa kutoa huduma; Serikali imeagiza.
10 years ago
Habarileo21 Aug
CCM yabana mawaziri Bunge Maalum
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimewabana mawaziri na wabunge wake wasiohudhuria shughuli za Bunge Maalumu la Katiba.
11 years ago
BBCSwahili04 Jun
CAR yabana ujumbe mfupi (SMS)
Maafisa wa utawala Katika Jamhuri ya Afrika ya Kati wamebana matumizi ya ujumbe mfupi wa simu za mkononi baada ya kusema kuwa ni tisho kwa usalama wa nchi.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-17_OkEbd7pg/Xk01mT_E9_I/AAAAAAALeUs/qUDz4OE0TCIf9qejZOB-PV3w63uri1DKQCLcBGAsYHQ/s72-c/index-3.jpg)
RC MAKONDA AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA UTURUKI PAMOJA NA JOPO LA WAWEKEZAJI KUTOKA NCHINI UTURUKI.
![](https://1.bp.blogspot.com/-17_OkEbd7pg/Xk01mT_E9_I/AAAAAAALeUs/qUDz4OE0TCIf9qejZOB-PV3w63uri1DKQCLcBGAsYHQ/s640/index-3.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/b-3.jpg)
************************************Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Paul Makonda leo February 18 amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Uturuki Nchini Tanzania Mhe. Ali Davulaglu, Balozi wa Tanzania Nchini Uturuki Prof.Elizabeth Kiondo, Mstahiki Meya kutoka Uturuki, Wawekezaji na Wafanyabiashara zaidi ya 40 kutoka Nchini Uturuki waliokuja Kutazama na kuchangamkia fursa za Uwekezaji wa Viwanda jijini Dar es salaam.Katika Mazungumzo hayo RC Makonda ...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania