Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DIAMOND PLATNUMZ ANAVYOLINGANISHWA NA WASANII WENGINE AFRIKA KATIKA MTANDAO WA YOUTUBE



Diamond Platnumz akishangazwa na wazalishaji wake wa muziki nyumbani kwake
CHANZO CHA PICHA,WCB_WASAFIDiamond Platinumz alishangazwa na wazalishaji wake wa muziki wiki iliopita walipoingia katika nyumba yake na keki iliokuwa na nembo ya kuadhimisha hatua muhimu ya nyota huyo wa Tanzania.Huku akipigwa picha akivalia nguo , mwanamuziki huyo mwenye umri wa miaka 30 aliambiwa na kundi lake kwamba ndiye msanii wa kwanza katika jangwa la sahara kupata views bilioni moja katika chaneli ya Youtube.Ruka Instagram ujumbe, 1
Mwisho wa Instagram ujumbe, 1
Presentational white spaceKatika kipindi cha...

CCM Blog

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Diamond Platnumz analinganishwaje na nyota wengine wa Afrika katika mtandao wa YouTube?

Msanii Diamond Platnumz kutoka Tanzania ndio msanii wa kwanza katika eneo la jangwa la sahara kupata views bilioni moja katika YouTube

 

5 years ago

BBC

Diamond Platnumz and Africa's most popular YouTube stars

The Tanzanian is the first sub-Saharan artist to reach a billion YouTube views - how do Africa's other stars compare?

 

10 years ago

GPL

DIAMOND PLATNUMZ KUFANYA MAKAMUZI KATIKA UTOAJI TUZO ZA MWANASOKA BORA WA AFRIKA NCHINI NIGERIA LEO

Diamond Platnumz akifurahia jambo na mmoja wa wasanii wa Kundi la P Square, Peter Okoye wakati akijiandaa kwa ajili ya shoo yake ya leo nchini Nigeria. Diamond akibadilishana mawazo na mwanamuziki Fally Ipupa jijini…

 

10 years ago

Bongo5

P-Square waweka rekodi ya kuwa wasanii wa kwanza wa Afrika kufikisha views milioni 30 Youtube kupitia video ya ‘Personally’

Video ya hit single ya ‘Personally’ imelifanya kundi la mapacha wa Nigeria, P-Square kuweka rekodi ya kuwa wasanii wa kwanza wa Afrika kufikisha views milioni 30 kwenye mtandao wa Youtube. Video hiyo ambayo iliongozwa na kaka yao Jude Engees Okoye na director mkubwa wa Nigeria, Clarence Peters ilipandishwa Youtube June, 2013. Mpaka sasa imefikisha views […]

 

10 years ago

Dewji Blog

Exclusive gossip:Diamond Platnumz aongoza kuwa na wafuasi wengi mtandao wa Instagram

DIAMOND789

 

Diamond Platinum mwenye Followers 571K ‘Kings of Instagram fans’ kwa mujibu wa Modewji blog, utafiti uliofanywa na timu nzima ya dewjiblog.com

… afuatiwa kwa karibu na Wema Sepetu ..wamo pia Kajala Masanja, MillardAyo, Veemoney, Zari 

Na Andrew Chale wa MOdewji blog

Huenda bado ujapata kutembelea mitandao ya kijamii ikiwemo Instagrma, Twitter na Facebook ambayo kwa sasa  ndio imekuwa kimbilio la mastaa wengi wa Bongo wakiwemo wa filamu, muziki na watu maalufu.

Uchunguzi wa kina uliofanywa...

 

10 years ago

Bongo5

Nikki Mbishi: Wananchi elekezeni nguvu zenu kwa wasanii wengine pia, si Diamond tu!

Rapper Nikki Mbishi ameibuka na kudai kuwataka mashabiki wa muziki wa Tanzania kuwaunga mkono wasanii wengine pia na sio Diamond au wasanii wengine wachache wanaopewa kipaumbele zaidi. Akizungumza kwenye kipindi cha Genge cha EFM leo, Nikki Mbishi alisema wasanii wote wanahitaji kusaidiwa ili wawepo wengi wakubwa. “Hadi leo hii unataka kuniambia kuna super star mmoja […]

 

9 years ago

Bongo5

Alikiba aungana na wasanii wengine wa Afrika kurekodi wimbo maalum wa siku ya Amani Duniani —Sept. 21

Tarehe 21 September kila mwaka huwa ni siku ya Amani Duniani, na mwaka huu baadhi ya wasanii wa Afrika akiwemo staa wa Tanzania wameandaa kitu maalum cha kuhamasisha Amani. Coke Studio Africa imewakutanisha baadhi ya wasanii wa Afrika akiwemo Alikiba wa Tanzania, Ice Prince (Nigeria), Maurice Kirya (Uganda), Wangechi (Kenya) na wengine, kurekodi wimbo wa […]

 

10 years ago

Bongo5

Picha: Zari The Bosslady na Diamond Platnumz ni Kimye wa Afrika!

Kabla ya kukutana na Diamond Platnumz, Zari the Bosslady alikuwa tayari ni mwanamke maarufu nchini Uganda. Utajiri na urembo wake ulimfanya aitwe Kim Kardashian wa Uganda. Zari anamiliki msululu wa magari ya kifahari yakiwemo Range Rovers, Bentley, Limousine, Mercedes Benz, Chrysler na mengine ambapo mengi kati yake yana plate number za jina lake. Anamiliki mijengo […]

 

10 years ago

Vijimambo

VIDEO: DIAMOND PLATNUMZ ATWAA TUZO NYINGINE YA AFRIKA

Wiki moja tu baada ya kushinda tuzo ya mtumbuizaji bora wa Afrika kwenye MTV MAMA, Diamond Platnumz ameshinda tuzo nyingine kubwa ya Afrika.Usiku wa jana, Diamond alishinda tuzo ya Msanii wa Afrika wa Mwaka kwenye hafla ya tuzo za African Achievers Awards 2015 zilizofanyika Afrika Kusini.10844180_822164274545595_1778078662_n“Thanks God for keep Blessing my Hustle….AFRICAN ARTISTE OF THE YEAR #AfricanAchieversAwards2015 (Shukran Nyingi ziwafikie Uongozi wangu kwa kuhakikisha unanisimamia ipaswavyo, Mama yangu kipenzi Sandrah, My...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani