Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nikki Mbishi: Wananchi elekezeni nguvu zenu kwa wasanii wengine pia, si Diamond tu!

Rapper Nikki Mbishi ameibuka na kudai kuwataka mashabiki wa muziki wa Tanzania kuwaunga mkono wasanii wengine pia na sio Diamond au wasanii wengine wachache wanaopewa kipaumbele zaidi. Akizungumza kwenye kipindi cha Genge cha EFM leo, Nikki Mbishi alisema wasanii wote wanahitaji kusaidiwa ili wawepo wengi wakubwa. “Hadi leo hii unataka kuniambia kuna super star mmoja […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Dewji Blog

Elekezeni nguvu zenu kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa- Tindu Lissu

Lissu pics

Mbunge Tundu Lissu, Singida Mashariki

Na Nathaniel Limu, Ikungi

MBUNGE wa Jimbo la Singida mashariki kupitia tiketi ya CHADEMA, Tundu Lissu amewataka wananchama wa chama hicho kata ya Iseke tarafa ya Ihanja wasibweteke na ushindi wa udiwani walioupata katikati ya mwaka jana, na badala yake waelekeze nguvu zao zote kwenye uchanguzi wa serikali za mitaa unaotarajiwa kufanyika oktoba mwaka huu.

Amesema ushindi huo utakuwa na maana zaidi endapo CHADEMA itazoa nafasi zote za uenyeviti wa...

 

11 years ago

Bongo5

Picha: Si Baba Malcom tu, Nikki Mbishi sasa ni Baba Nathan pia!!

Hivi karibuni rapper Nikki Mbishi aliongeza member mwingine kwenye familia yake. Nikki akiwa na mwanae, Nathan Rapper huyo ana amepata mtoto mwingine wa kiume aitwaye Nathan. Tayari rapper huyo ana mtoto mwingine wa kiume aitwaye Malcom. Mama Nathan ameandika: Together God gave us Nathan!! yes he is his father no more questions!! Have a good […]

 

10 years ago

CloudsFM

Nikki Mbishi amjibu Nikki wa Pili

Jana kwenye ukurasa wa Instagrama wa @Cloudsfmtz waliposti mambo ambayo Nikki wa Pili aliyaandika ili kuwapa husia wasanii wanao kuja kuwa na style yao tofauti katika muziki huu wa Hip Hop pia alielezea ni kwa jinsi gani wasanii wa HipHop wa zamani ambavyo wamekuwa hawafanyi vizuri na mambo mengi alizungumzia kuhusiana na muziki wa Hip Hop Sasa baada ya Cloudsfm kupost Nikki Mbishi akaona na akibidi amjibu Nikki Wa Pili kwa kumwambia Kama wewe unafanya na uko happy nacho then fanya ila...

 

10 years ago

Bongo5

Nay Wa Mitego: Hawa wanaosanda gemu, watuachie muziki wetu, dongo kwa Nikki Mbishi?

Nay Wa Mitego a.k.a The True Boy ametoa kauli nyingine ambayo inaonekana wazi kuwa inamlenga rapper Nikki Mbishi. Baada ya hivi karibuni ‘kumpongeza’ rapper huyo kwa uamuzi wake wa kuacha muziki na kudai kuwa alichelewa sana kuchukua uamuzi huo, ameandika ujumbe mwingine unaoashiria kuwa ni dongo lingine kwa Nikki Mbishi. Kupitia Facebook Nay ameandika: “Hawa […]

 

9 years ago

Bongo5

Mona G adai nguvu inayotumika kuwaadhibu wasanii wanapokosea, itumike pia kulinda kazi zao

Mtayarishaji wa muziki kutoka wa Classic Sound, Mona Gangster amelitaka Baraza la Sanaa la Taifa , ‘Basata’, kuongeza nguvu ya kupambana na wezi wa kazi za wasanii na sio kuishia kuwaadhibu tu wanapokesea.. Mona amekiambia kipindi cha Planet Bongo cha EA Radio kuwa nguvu inayotumika kuwaadhibu wasanii wanaokwenda kinyume na maadili iende sambamba na ulinzi […]

 

10 years ago

Bongo5

New Music: Nikki Mbishi — Tembo

Nikki Mbishi ameachia single mpya ‘Tembo’ aliyolenga kukemea mauaji haramu ya wanyama hao nchini. Isikilize.

 

10 years ago

Bongo5

Nikki Mbishi f/ Walter Chilambo — Sihusiki Nao

Ngoma mpya ya Nikki Mbishi aliyomshirikisha Walter Chilambo ‘Sihusiki Nao’. Imetayarishwa na J-Ryder wa Tongwe Records.

 

10 years ago

Bongo5

Audio: Nikki Mbishi alegeza kwenye ngoma mpya ‘Tulia’

Umezoea kumsikia Nikki Mbishi kwenye ngoma ngumu zenye beat za sampling, lakini sasa ameswitch na kulegeza kidogo kwenye ngoma ya mapenzi ‘Tulia’ aliyomshirikisha Lydia. Isikilize hapa.

 

10 years ago

Bongo5

Nikki Mbishi awashirikisha Jaydee, Songa na One kwenye ‘Kupanda na Kushuka’

Rapper wa Tamaduni Muzik, Nikki Mbishi anatarajia kuachia wimbo mpya ‘Kupanda na Kushuka’ aliowashirikisha Lady Jaydee, Songa na One the Incredible. Nikki amesema ameamua kuwashirikisha wasanii hao ili kupata kitu tofauti kama muziki unavyohitaji. “Unajua muziki sometimes unahitaji vitu fulani fulani ili uwe mzuri zaidi na hii ni kawaida ya muziki ulivyo. Kwahiyo tukaona tukifanya […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani