Alikiba aungana na wasanii wengine wa Afrika kurekodi wimbo maalum wa siku ya Amani Duniani —Sept. 21
Tarehe 21 September kila mwaka huwa ni siku ya Amani Duniani, na mwaka huu baadhi ya wasanii wa Afrika akiwemo staa wa Tanzania wameandaa kitu maalum cha kuhamasisha Amani. Coke Studio Africa imewakutanisha baadhi ya wasanii wa Afrika akiwemo Alikiba wa Tanzania, Ice Prince (Nigeria), Maurice Kirya (Uganda), Wangechi (Kenya) na wengine, kurekodi wimbo wa […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
CloudsFM01 Dec
DIAMOND AUNGANA NA WASANII BARANI AFRIKA KUREKODI WIMBO WA KUPINGA UGONJWA WA EBOLA
Diamond Platnumz ni miongoni mwa wasanii wa Afrika watakaosikika kwenye wimbo wa pamoja wa kampeni ya kupinga ugonjwa wa Ebola ‘Africa Against Ebola’ wasanii walioshiriki katika kampeni hiyo akiwemo, Iyanya, Donald,Banky W,Kcee,Mafikizolo,Sean Tizzle na wengineo.
10 years ago
Bongo528 Feb
Picha: Wasanii wa kike nchini waungana na kurekodi video ya wimbo ‘Simama Nami’ kupinga mauaji ya albino
11 years ago
Mwananchi09 Feb
Wasanii kutoa wimbo wa amani
9 years ago
Habarileo02 Sep
Wasanii Injili kutoa wimbo wa amani
WAIMBAJI mahiri wa muziki wa Injili wanatarajiwa kutoa wimbo maalumu wa kuhamasisha amani na upendo wakati wa Tamasha la Amani litakalofanyika Oktoba 4, mwaka huu.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Y4MVF3b94yKEq0zL6lrq-jWDR0vdZ5I-T-x*M4Wk38Qdab2YSwApzDcTCrRAOwj9a8FmNBfx0RLbqQ8P*5kPcrYrv2smfuwS/nesiiiii2.jpg?width=650)
JK AUNGANA NA WAUGUZI KUSHEREHEKEA SIKU YA WAUGUZI DUNIANI JIJINI ARUSHA JANA
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-6DT8yK5o81Y/VPoIkGy3EjI/AAAAAAAAIBg/rMgL9U4scpM/s72-c/Rose1.jpg)
Stara T aachia wimbo wa Siku ya Wanawake Duniani
![](http://3.bp.blogspot.com/-6DT8yK5o81Y/VPoIkGy3EjI/AAAAAAAAIBg/rMgL9U4scpM/s1600/Rose1.jpg)
Msanii Stara T, ametoa wimbo mpya UWEZESHWAJI WA MWANAMKE ambao ni maalum kwa ajili ya siku ya kinamama dunia inayoadhimishwa Machi 8 ya kila mwaka.
5 years ago
CCM Blog![](https://img.youtube.com/vi/wwf09xtoQHU/default.jpg)
DIAMOND PLATNUMZ ANAVYOLINGANISHWA NA WASANII WENGINE AFRIKA KATIKA MTANDAO WA YOUTUBE
![Diamond Platnumz akishangazwa na wazalishaji wake wa muziki nyumbani kwake](https://ichef.bbci.co.uk/news/640/cpsprodpb/1571F/production/_112893878_capture976.png)
CHANZO CHA PICHA,WCB_WASAFIDiamond Platinumz alishangazwa na wazalishaji wake wa muziki wiki iliopita walipoingia katika nyumba yake na keki iliokuwa na nembo ya kuadhimisha hatua muhimu ya nyota huyo wa Tanzania.Huku akipigwa picha akivalia nguo , mwanamuziki huyo mwenye umri wa miaka 30 aliambiwa na kundi lake kwamba ndiye msanii wa kwanza katika jangwa la sahara kupata views bilioni moja katika chaneli ya Youtube.Ruka Instagram ujumbe, 1
Mwisho wa Instagram ujumbe, 1
![Presentational white space](https://ichef.bbci.co.uk/news/640/cpsprodpb/94C2/production/_109028083_1px_white_line-nc.png)
10 years ago
GPL![](http://3.bp.blogspot.com/-6DT8yK5o81Y/VPoIkGy3EjI/AAAAAAAAIBg/rMgL9U4scpM/s1600/Rose1.jpg)
STARA THOMAS AACHIA WIMBO WA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI
9 years ago
Raia Mwema07 Oct
Tufanye yote, wimbo wetu uwe amani, amani, amani
Wiki hii Raia Mwema lilifanya mahojiano na mwanasheria mkuu wa serikali mstaafu, Jaji Mark Bomani
Mwandishi Wetu