Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wasanii kutoa wimbo wa amani

Waimbaji mahiri wa muziki wa Injili watatunga wimbo maalumu wa kuhamasisha amani na upendo nchini.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Wasanii Injili kutoa wimbo wa amani

WAIMBAJI mahiri wa muziki wa Injili wanatarajiwa kutoa wimbo maalumu wa kuhamasisha amani na upendo wakati wa Tamasha la Amani litakalofanyika Oktoba 4, mwaka huu.

 

9 years ago

Bongo5

Alikiba aungana na wasanii wengine wa Afrika kurekodi wimbo maalum wa siku ya Amani Duniani —Sept. 21

Tarehe 21 September kila mwaka huwa ni siku ya Amani Duniani, na mwaka huu baadhi ya wasanii wa Afrika akiwemo staa wa Tanzania wameandaa kitu maalum cha kuhamasisha Amani. Coke Studio Africa imewakutanisha baadhi ya wasanii wa Afrika akiwemo Alikiba wa Tanzania, Ice Prince (Nigeria), Maurice Kirya (Uganda), Wangechi (Kenya) na wengine, kurekodi wimbo wa […]

 

9 years ago

Raia Mwema

Tufanye yote, wimbo wetu uwe amani, amani, amani

Wiki hii Raia Mwema lilifanya mahojiano na mwanasheria mkuu wa serikali mstaafu, Jaji Mark Bomani

Mwandishi Wetu

 

10 years ago

Bongo5

Basata walialika wasanii kuja kutoa maoni yao kuboresha tuzo za KTMA, ni wasanii wawili tu waliofika — Nikk Wa Pili

Wiki iliyopita ilifanyika tathmini ya tuzo za Kilimanjaro Tanzania Music Awards (KTMA) za mwaka jana, ikiwa ni maandalizi ya kuelekea kwenye msimu mpya wa tuzo hizo kwa mwaka huu 2015. Kwa kawaida Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) hualika wadau mbalimbali kuhudhuria tathmini ya tuzo za mwaka uliopita kwa lengo la kuwapa nafasi ya kutoa […]

 

9 years ago

Michuzi

11 years ago

GPL

CHAKU MASTER KUTOA VIDEO YA WIMBO WAKE

Msanii wa chipukizi wa Bongo Fleva aliyewahi kushiriki mashindano ya The Mic King. Msanii wa chipukizi wa Bongo Fleva aliyewahi kushiriki mashindano ya The Mic King yaliyodhaminiwa na kampuni ya Global Publishers, Athman Mohamed ‘Chaku Master,’ anatarajia kutoa video ya wimbo wake mpya alioshirikisha Mr.Blue. Akiongea na mwandishi wetu Chaku Master alisema kuwa video ya wimbo huo alioupa jina la ‘kanuni ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wasanii kuhimiza amani

WASANII wa Bongo Movie, muziki wa dansi, taarabu, maigizo na tamthilia, wametangaza kuzunguka nchi nzima wakiwa na Kamati ya Tanzania Kwanza Nje ya Bunge  Maalum la Katiba kwa lengo la...

 

9 years ago

Bongo5

Roma agwaya kutoa wimbo aliokuwa auachie siku ya uchaguzi

roma new pic

Unakumbuka siku kadhaa kabla ya uchaguzi Roma aliahidi kuwa angeachia wimbo mpya siku ya uchaguzi?

roma new pic

Hata hivyo wimbo huo haukutoka na alikaa kimya kwa wiki kibao kiasi ambacho mashabiki wake wakaanza kuwa na hofu.

Awali rapa huyo aliahidi kuukabidhi wimbo huo kwa BASATA kabla ya kuuachia. Amekiambia kipindi cha Planet Bongo cha East Africa Radio kuwa aliamua kuachana na kazi hiyo ili kulinda sanaa yake.

“Wimbo niliotoa na Baghdad sio ile kazi ambayo niliahidi kutoa siku ya uchaguzi, kuna...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani