Roma agwaya kutoa wimbo aliokuwa auachie siku ya uchaguzi
Unakumbuka siku kadhaa kabla ya uchaguzi Roma aliahidi kuwa angeachia wimbo mpya siku ya uchaguzi?
Hata hivyo wimbo huo haukutoka na alikaa kimya kwa wiki kibao kiasi ambacho mashabiki wake wakaanza kuwa na hofu.
Awali rapa huyo aliahidi kuukabidhi wimbo huo kwa BASATA kabla ya kuuachia. Amekiambia kipindi cha Planet Bongo cha East Africa Radio kuwa aliamua kuachana na kazi hiyo ili kulinda sanaa yake.
“Wimbo niliotoa na Baghdad sio ile kazi ambayo niliahidi kutoa siku ya uchaguzi, kuna...
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo508 Oct
Roma atangaza kuachia wimbo mpya October 25 siku ya uchaguzi
9 years ago
Bongo524 Oct
Roma ajisalimisha BASATA kuwasikilizisha wimbo mpya aliopanga kuachia kesho siku ya uchaguzi Oct.25
9 years ago
Bongo510 Dec
Young Killer agwaya kutoa albamu
![msodoki youngkiller](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/04/msodoki-youngkiller-300x194.jpg)
Rapper kutoka Mwanza, Young Killer amesema albamu yake ipo tayari lakini anashindwa kuitoa kutokana na kuhofia hasara.
Rapa huyo ambaye ameachia wimbo mpya, ‘Popote Kambi’ hivi karibuni, ameiambia Bongo5 kuwa kinachomkwamisha kuitoa albamu hiyo ni kukosa wasambazaji.
“Sasa hivi nina nyimbo nyingi ambazo nina uwezo wa kuzifanya albamu. Redioni nina ngoma zaidi ya saba na nyumbani binafsi na ngoma karibia nane, hiyo tayari ni albamu,” amesema.
“Nikipata mtu ambaye anaweza akaihitaji,...
11 years ago
Bongo523 Jul
Roma atimiza ahadi ya kufanya wimbo Sharobaro Rec, wimbo unaitwa ‘Maumivu’
9 years ago
Bongo510 Sep
Wanataka kuufungia wimbo wangu mpya ‘Viva Roma viva’ kisa tu nimeongea ukweli — Roma
9 years ago
Dewji Blog10 Sep
Wimbo wa ‘VIVA ROMA VIVA’ wa Roma Mkatoliki watishiwa kufungiwa nchini
Roma Mkatoli
Na Andrew Chale, modewjiblog
(Dar es Salaam)- Ndani ya masaa 24 baada ya kuachiwa kwa kibao kipya cha Msanii maarufu wa Bongo fleva nchini, Roma Mkatoliki ‘Roma Tongwe’ wimbo wa Viva Roma Viva’, tayari msanii huyo ametishiwa na kuonywa vikali na mamlaka husika kwa madai kuwa wataufungia.
Modewjiblog iliweza kushuhudia posti ya msanii huyo iliyonukuliwa kupitia mitandao ya kijamii ikiwemo ile ya twitter na Instagram, facebook na Whatsapp, kwa kile kilichoelezwa na msanii...
9 years ago
Bongo528 Sep
BASATA waufungia rasmi wimbo wa Roma — ‘Viva Roma Viva’
9 years ago
Bongo530 Sep
Roma asema hajapewa barua rasmi ya kufungiwa wimbo wake na BASATA
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/3F4dwUaVV28/default.jpg)