Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Picha: Wasanii wa kike nchini waungana na kurekodi video ya wimbo ‘Simama Nami’ kupinga mauaji ya albino

Wasanii mbalimbali wa kike nchini wameungana na kurekodi video ya wimbo uitwao ‘Simama Nami’, maalum kwaajili ya kupinga vitendo vya ukatili dhidi ya walemavu wa ngozi vinavyoendelea nchini. Video imeongozwa na Hanscana. Wasanii walioshiriki ni pamoja na Keisha, Mwasiti, Linah, Khadija Nito, Grace Matata, Shilole, Kajala, Wolper,Shamsa Ford, Irene Uwoya na Zamaradi Mketema. Wimbo umeandikwa […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

PICHA: Wanawake Mastaa wa Bongo Waki-shoot Video ya “Simama Nami”

Hizi ni baadhi ya picha za baadhi ya wanawake mastaa wa hapa bongo wakiwa katika utengenezaji wa video ya wimbo wao unaokwenda kwa jina la Simama Nami ambao wameuimba maalumu kwa ajili ya kukemea mauaji ya walemavu wa ngozi ‘Albinos’. Baadhi ya mastaa hao, ni pamoja na Kajala, Shilole,Nisha, Madam Rita, Dida Shaibu, Sauda Mwilima, Anna Peter, shamsa Ford, Keisha na wengine wengi

“Simama nami piga vita wauwaji wa maalbino pamoja tunaweza”

 

10 years ago

CloudsFM

DIAMOND AUNGANA NA WASANII BARANI AFRIKA KUREKODI WIMBO WA KUPINGA UGONJWA WA EBOLA

Diamond Platnumz ni miongoni mwa wasanii wa Afrika watakaosikika kwenye wimbo wa pamoja wa kampeni ya kupinga ugonjwa wa Ebola ‘Africa Against Ebola’ wasanii walioshiriki katika kampeni hiyo akiwemo, Iyanya, Donald,Banky W,Kcee,Mafikizolo,Sean Tizzle na wengineo.

 

10 years ago

CloudsFM

Wasanii waungana kupiga vita mauaji ya Albino

Wasanii wa Bongo Fleva wameungana na wadau mbalimbali kupiga vita mauaji ya albino yanayoendelea katika mikoa ya Kanda ya Ziwa hapa nchini.
Kupitia mitandao ya kijamii wamepost picha na kulaani mauaji hayo.

diamondplatnumz Ndugu zangu! nafkiri ni Muda wa kubadilika sasa...Tuacheni fikra potofu, za Kipuuzi na ukatili Usio na Maana.. Hivi inamaa unataka kuniambia na hao kina Bill gates Mzee wa kuku, Carlos Slim, Amancio Ortega , Bakhresa na Matajiri wakubwa Duniani pia Walitajirika kupitia...

 

10 years ago

Vijimambo

Wanawake Mastaa wa Bongo Waki-shoot Video ya “Simama Nami”

Hizi ni baadhi ya picha za baadhi ya wanawake mastaa wa hapa bongo wakiwa katika utengenezaji wa video ya wimbo wao unaokwenda kwa jina la Simama Nami ambao wameuimba maalumu kwa ajili ya kukemea mauaji ya walemavu wa ngozi ‘Albinos’. Baadhi ya mastaa hao, ni pamoja na Kajala, Shilole,Nisha, Madam Rita, Dida Shaibu, Sauda Mwilima, Anna Peter, shamsa Ford, Keisha na wengine wengi
“Simama nami piga vita wauwaji wa maalbino pamoja tunaweza”

 

10 years ago

Michuzi

WaTanzania wa Houston Texas kurekodi kipindi kuhusu mauaji ya Albino Tanzania

Timu ya Vijimambo ikishiriana na Kwanza Production inapenda kwanza kutoa pongezi kwa Watanzania Houston kwa jitihada zao za kupambana na mauaji ya ndugu zetu wenye ulemavu wa ngozi Pia inaandaa kipindi cha video kuongelea hili swala kwa mapana zaidi na kuangalia jinsi gani ya kukomesha mauaji haya ambayo yanaleta fedheha na aibu  ikiwemo ukiukaji wa haki za binadamu.
Kipindi kitarekodiwa siku ya Jumampili saa 8 mchana (2pm) mahali ni Extended Stay America chumba namba 224 anuani ni 2424 West...

 

9 years ago

Bongo5

Alikiba aungana na wasanii wengine wa Afrika kurekodi wimbo maalum wa siku ya Amani Duniani —Sept. 21

Tarehe 21 September kila mwaka huwa ni siku ya Amani Duniani, na mwaka huu baadhi ya wasanii wa Afrika akiwemo staa wa Tanzania wameandaa kitu maalum cha kuhamasisha Amani. Coke Studio Africa imewakutanisha baadhi ya wasanii wa Afrika akiwemo Alikiba wa Tanzania, Ice Prince (Nigeria), Maurice Kirya (Uganda), Wangechi (Kenya) na wengine, kurekodi wimbo wa […]

 

10 years ago

Mtanzania

Filamu kupinga mauaji ya albino kuandaliwa

albinoNA JOHN MADUHU, MWANZA
WAIGIZAJI wa filamu nchini, wanatarajia kuungana katika filamu moja itakayokuwa ikipinga mauaji ya watu wenye ulemavu wa ngozi (albino).
Mwigizaji Jacob Steven ‘JB’, alizungumza na MTANZANIA hivi karibuni, wakati wa kongamano la amani lililoandaliwa na maaskofu na masheikh wa Mkoa wa Mwanza.
JB ambaye alikuwa ameongozana na wasanii wengine kama Mzee Majuto na Mrisho Mpoto, alisema mchakato wa kuandaa filamu hiyo umeanza.
“Tumeguswa na mauaji ya walemavu wa ngozi,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani