Picha: Wasanii wa kike nchini waungana na kurekodi video ya wimbo ‘Simama Nami’ kupinga mauaji ya albino
Wasanii mbalimbali wa kike nchini wameungana na kurekodi video ya wimbo uitwao ‘Simama Nami’, maalum kwaajili ya kupinga vitendo vya ukatili dhidi ya walemavu wa ngozi vinavyoendelea nchini. Video imeongozwa na Hanscana. Wasanii walioshiriki ni pamoja na Keisha, Mwasiti, Linah, Khadija Nito, Grace Matata, Shilole, Kajala, Wolper,Shamsa Ford, Irene Uwoya na Zamaradi Mketema. Wimbo umeandikwa […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies28 Feb
PICHA: Wanawake Mastaa wa Bongo Waki-shoot Video ya “Simama Nami”
Hizi ni baadhi ya picha za baadhi ya wanawake mastaa wa hapa bongo wakiwa katika utengenezaji wa video ya wimbo wao unaokwenda kwa jina la Simama Nami ambao wameuimba maalumu kwa ajili ya kukemea mauaji ya walemavu wa ngozi ‘Albinos’. Baadhi ya mastaa hao, ni pamoja na Kajala, Shilole,Nisha, Madam Rita, Dida Shaibu, Sauda Mwilima, Anna Peter, shamsa Ford, Keisha na wengine wengi
“Simama nami piga vita wauwaji wa maalbino pamoja tunaweza”
10 years ago
CloudsFM01 Dec
DIAMOND AUNGANA NA WASANII BARANI AFRIKA KUREKODI WIMBO WA KUPINGA UGONJWA WA EBOLA
Diamond Platnumz ni miongoni mwa wasanii wa Afrika watakaosikika kwenye wimbo wa pamoja wa kampeni ya kupinga ugonjwa wa Ebola ‘Africa Against Ebola’ wasanii walioshiriki katika kampeni hiyo akiwemo, Iyanya, Donald,Banky W,Kcee,Mafikizolo,Sean Tizzle na wengineo.
10 years ago
CloudsFM20 Feb
Wasanii waungana kupiga vita mauaji ya Albino
Kupitia mitandao ya kijamii wamepost picha na kulaani mauaji hayo.
diamondplatnumz Ndugu zangu! nafkiri ni Muda wa kubadilika sasa...Tuacheni fikra potofu, za Kipuuzi na ukatili Usio na Maana.. Hivi inamaa unataka kuniambia na hao kina Bill gates Mzee wa kuku, Carlos Slim, Amancio Ortega , Bakhresa na Matajiri wakubwa Duniani pia Walitajirika kupitia...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/Sycf-NXWY2Q/default.jpg)
10 years ago
Vijimambo01 Mar
Wanawake Mastaa wa Bongo Waki-shoot Video ya “Simama Nami”
![](http://www.bongomovies.com/public/uploads/kajala7651.jpg)
“Simama nami piga vita wauwaji wa maalbino pamoja tunaweza”
![](http://www.bongomovies.com/public/uploads/thumbnails/shilole_na_dida12.jpg)
![](http://www.bongomovies.com/public/uploads/thumbnails/simamaa879.jpg)
![](http://www.bongomovies.com/public/uploads/thumbnails/simama09.jpg)
![](http://www.bongomovies.com/public/uploads/thumbnails/simama.jpg)
![](http://www.bongomovies.com/public/uploads/thumbnails/anna_peter.jpg)
![](http://www.bongomovies.com/public/uploads/thumbnails/qeen_dolene.jpg)
![](http://www.bongomovies.com/public/uploads/thumbnails/madam.jpg)
![](http://www.bongomovies.com/public/uploads/thumbnails/gracematata.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/FMMLdIHg7IE/default.jpg)
10 years ago
MichuziWaTanzania wa Houston Texas kurekodi kipindi kuhusu mauaji ya Albino Tanzania
Kipindi kitarekodiwa siku ya Jumampili saa 8 mchana (2pm) mahali ni Extended Stay America chumba namba 224 anuani ni 2424 West...
9 years ago
Bongo515 Sep
Alikiba aungana na wasanii wengine wa Afrika kurekodi wimbo maalum wa siku ya Amani Duniani —Sept. 21
10 years ago
Mtanzania03 Mar
Filamu kupinga mauaji ya albino kuandaliwa
NA JOHN MADUHU, MWANZA
WAIGIZAJI wa filamu nchini, wanatarajia kuungana katika filamu moja itakayokuwa ikipinga mauaji ya watu wenye ulemavu wa ngozi (albino).
Mwigizaji Jacob Steven ‘JB’, alizungumza na MTANZANIA hivi karibuni, wakati wa kongamano la amani lililoandaliwa na maaskofu na masheikh wa Mkoa wa Mwanza.
JB ambaye alikuwa ameongozana na wasanii wengine kama Mzee Majuto na Mrisho Mpoto, alisema mchakato wa kuandaa filamu hiyo umeanza.
“Tumeguswa na mauaji ya walemavu wa ngozi,...