Wasanii waungana kupiga vita mauaji ya Albino
Kupitia mitandao ya kijamii wamepost picha na kulaani mauaji hayo.
diamondplatnumz Ndugu zangu! nafkiri ni Muda wa kubadilika sasa...Tuacheni fikra potofu, za Kipuuzi na ukatili Usio na Maana.. Hivi inamaa unataka kuniambia na hao kina Bill gates Mzee wa kuku, Carlos Slim, Amancio Ortega , Bakhresa na Matajiri wakubwa Duniani pia Walitajirika kupitia...
CloudsFM
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-PesNRHlp7BE/VRf4uWxbEuI/AAAAAAADd7U/_NQE5vDSLqs/s72-c/DSCF7142.jpg)
MATEMBEZI YA HAMASA KUPIGA VITA MAUAJI YA ALBINO - IMETOSHA
![](http://4.bp.blogspot.com/-PesNRHlp7BE/VRf4uWxbEuI/AAAAAAADd7U/_NQE5vDSLqs/s1600/DSCF7142.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-XuXgCpGtdJg/VRf4yhDDneI/AAAAAAADd8Q/SE-1qSmsfYw/s1600/MMGL2338.jpg)
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe akihutubia katika viwanja vya leaders club baada ya kuhitimisha matembezi ya hamasa ya kupiga vita mauaji ya albino nchini yaliyofanyika leo jijini Dar es salaam...
10 years ago
Dewji Blog30 Mar
Matembezi ya hamasa kupiga vita mauaji ya Albino — Imetosha
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe na Mbunge wa Viti Maalum, Al Shaymar Kweigyr wakiongoza matembezi ya hamasa ya kupiga vita mauaji ya albino nchini yaliyofanyika leo jijini Dar es salaam kuanzia viwanja vya Biafra mpaka Leaders Club, Kinondoni jijini Dar es salaam.
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe, Mbunge wa Viti Maalum, Al Shaymar Kweigyr, Balozi wa Harakati ya Imetosha, Henry Mdimu, Mwakilishi wa Chama cha Albino Tanzania (TAS), Abdillah Omar sambamaba...
10 years ago
Bongo528 Feb
Picha: Wasanii wa kike nchini waungana na kurekodi video ya wimbo ‘Simama Nami’ kupinga mauaji ya albino
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-f9MaqyVxTlQ/VRe2eCfq5nI/AAAAAAAHN_g/PE_yiUFTVWI/s72-c/DSCF7142.jpg)
WENGI WAHAMASIKA KATIKA MATEMBEZI YA KUPIGA VITA MAUAJI YA ALBINO - IMETOSHA, JIJINI DAR LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-f9MaqyVxTlQ/VRe2eCfq5nI/AAAAAAAHN_g/PE_yiUFTVWI/s1600/DSCF7142.jpg)
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe na Mbunge wa Viti Maalum, Al Shaymar Kweigyr wakiongoza matembezi ya hamasa ya kupiga vita mauaji ya albino nchini yaliyofanyika leo jijini Dar es salaam kuanzia viwanja vya Biafra mpaka Leaders Club, Kinondoni jijini Dar es salaam.
![](http://3.bp.blogspot.com/--OsGd_g5qVk/VRe2jDCf_pI/AAAAAAAHOAQ/IEgPocXwvYI/s1600/DSC_0730.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-HYeU589VgXg/VRe2eKUdUOI/AAAAAAAHN_U/bd9ZA-D4TPA/s1600/DSCF7149.jpg)
10 years ago
BBCSwahili11 Dec
Vita dhidi ya mauaji ya Albino TZ
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-JJZ0SaUgrdA/VTS3-msw1LI/AAAAAAAHSEk/kxE4Y3wRKz4/s72-c/unnamed%2B(57).jpg)
Mh. Lowassa ashiriki Matembezi ya kupiga vita mauaji ya watu wenye Ualbino
![](http://4.bp.blogspot.com/-JJZ0SaUgrdA/VTS3-msw1LI/AAAAAAAHSEk/kxE4Y3wRKz4/s1600/unnamed%2B(57).jpg)
11 years ago
Michuzi12 Feb
JK AZINDUA MABANGO YA KUHAMASISHA WANANCHI KUPIGA VITA MAUAJI YA TEMBO,FARU
11 years ago
GPLRAIS KIKWETE AZINDUA MABANGO YA KUHAMASISHA WANANCHI KUPIGA VITA MAUAJI YA TEMBO, FARU
10 years ago
Mwananchi07 Mar
MAUAJI ALBINO: Albino: Adhabu ya kifo sawa