Vita dhidi ya mauaji ya Albino TZ
Kampeni kubwa imezinduliwa Tanzania, iliyoongozwa na rais wa nchi hiyo Jakaya Kikwete, kuchangisha pesa kuwalinda albino.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
CloudsFM20 Feb
Wasanii waungana kupiga vita mauaji ya Albino
Kupitia mitandao ya kijamii wamepost picha na kulaani mauaji hayo.
diamondplatnumz Ndugu zangu! nafkiri ni Muda wa kubadilika sasa...Tuacheni fikra potofu, za Kipuuzi na ukatili Usio na Maana.. Hivi inamaa unataka kuniambia na hao kina Bill gates Mzee wa kuku, Carlos Slim, Amancio Ortega , Bakhresa na Matajiri wakubwa Duniani pia Walitajirika kupitia...
10 years ago
Dewji Blog30 Mar
Matembezi ya hamasa kupiga vita mauaji ya Albino — Imetosha
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe na Mbunge wa Viti Maalum, Al Shaymar Kweigyr wakiongoza matembezi ya hamasa ya kupiga vita mauaji ya albino nchini yaliyofanyika leo jijini Dar es salaam kuanzia viwanja vya Biafra mpaka Leaders Club, Kinondoni jijini Dar es salaam.
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe, Mbunge wa Viti Maalum, Al Shaymar Kweigyr, Balozi wa Harakati ya Imetosha, Henry Mdimu, Mwakilishi wa Chama cha Albino Tanzania (TAS), Abdillah Omar sambamaba...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-PesNRHlp7BE/VRf4uWxbEuI/AAAAAAADd7U/_NQE5vDSLqs/s72-c/DSCF7142.jpg)
MATEMBEZI YA HAMASA KUPIGA VITA MAUAJI YA ALBINO - IMETOSHA
![](http://4.bp.blogspot.com/-PesNRHlp7BE/VRf4uWxbEuI/AAAAAAADd7U/_NQE5vDSLqs/s1600/DSCF7142.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-XuXgCpGtdJg/VRf4yhDDneI/AAAAAAADd8Q/SE-1qSmsfYw/s1600/MMGL2338.jpg)
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe akihutubia katika viwanja vya leaders club baada ya kuhitimisha matembezi ya hamasa ya kupiga vita mauaji ya albino nchini yaliyofanyika leo jijini Dar es salaam...
10 years ago
Vijimambo07 Mar
VITA DHIDI YA MAUAJI YA ALIBINO, WAGANGA 32 WAKAMATWA
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2013/06/26/130626095942_waganga_tz_640x360_bbc_nocredit.jpg)
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/625/amz/worldservice/live/assets/images/2015/01/14/150114084340_waganga_640x360_bbc_nocredit.jpg)
Polisi nchini Tanzania wamewakamata waganga 32 wa kienyeji kazkazini magharibi mwa jimbo la Geita katika juhudi za kukabiliana na mauaji ya Albino.
Siku ya Alhamisi ,watu wanne walihukumiwa kifo kwa mauaji ya mwanamke albino mwaka wa 2008 katika jimbo hilo.
Serikali iliwapiga marufuku waganga wa kienyeji mwezi Januari kama mojawapo ya kampeni ya kusitisha mauaji hayo.
Waganga wa kienyeji wanaamini viungo vya mwili wa Albino vina nguvu maalum za...
10 years ago
StarTV09 Jan
Mapambano dhidi ya mauaji ya Albino, UN yahimiza uwajibikaji.
Na Rogers Wilium na Maliganya Charahani,
Mwanza.
Shirika la Umoja wa Mataifa UN limesema mauaji ya Albino, vitendo vya ukatili wa kijinsia na tatizo la watoto wa mitaani nchini T anzania yanaweza kutatuliwa kwa uwajibikaji wa mamlaka na idara zote nchini.
Hoja hiyo inakuja katika ziara ya Mkurugenzi mkazi wa Shirika hilo Alvaro Rodriguez aliyoifanya kwenye mikoa ya Mwanza, Mara na Shinyanga na kujionea changamoto hizo kwa ujumla.
Mikoa ya kanda ya Ziwa bado inakumbana na tatizo la...
9 years ago
Vijimambo15 Oct
Tanzania na harakati dhidi ya mauaji ya Albino: Balozi Manongi
![](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/ny5jqDXwym4n0tpsKGrRaxkzq_npES4_mUSr02A6pnLPb3PgPrWjGj-aIJUnZuOW8bKovk-2jjyQEfvSSwpo0YWUaaPb4OwfaBpz_Ubhe5fx3HdCMsecgVWsSHeZkHqn5cz1Hrk1SLamdV3Bi2-WMtGG3Q=s0-d-e1-ft#http://www.unmultimedia.org/radio/kiswahili/wp-content/uploads/2015/10/Manongi-22-300x257.jpg)
Balozi Tuvako Manongi, mwakilishi wa kudumu wa Tanzania kwenye Umoja wa Mataifa. (Picha:UN/Idhaa ya Kiswahili/Joseph Msami)
Katika makao makuu ya Umoja wa Mataifa wakilishi wa kudumu wa Tanzania kwenye Umoja wa Mataifa Balozi Tuvako Manongi amezungumza na waandishi wa habari kuhusu hali ya mauaji ya albino nchini Tanzania na kile ambacho kinafanyika kuondokana na vitendo hivyo ambavyo ameviita ni janga. Assumpta Massoi wa Idhaa ya Kiswahili ya Radio ya Umoja wa Mataifa alizungumza na Balozi...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-f9MaqyVxTlQ/VRe2eCfq5nI/AAAAAAAHN_g/PE_yiUFTVWI/s72-c/DSCF7142.jpg)
WENGI WAHAMASIKA KATIKA MATEMBEZI YA KUPIGA VITA MAUAJI YA ALBINO - IMETOSHA, JIJINI DAR LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-f9MaqyVxTlQ/VRe2eCfq5nI/AAAAAAAHN_g/PE_yiUFTVWI/s1600/DSCF7142.jpg)
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe na Mbunge wa Viti Maalum, Al Shaymar Kweigyr wakiongoza matembezi ya hamasa ya kupiga vita mauaji ya albino nchini yaliyofanyika leo jijini Dar es salaam kuanzia viwanja vya Biafra mpaka Leaders Club, Kinondoni jijini Dar es salaam.
![](http://3.bp.blogspot.com/--OsGd_g5qVk/VRe2jDCf_pI/AAAAAAAHOAQ/IEgPocXwvYI/s1600/DSC_0730.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-HYeU589VgXg/VRe2eKUdUOI/AAAAAAAHN_U/bd9ZA-D4TPA/s1600/DSCF7149.jpg)
10 years ago
Dewji Blog21 Feb
Albino kuandamana kwenda Ikulu kupinga vitendo vya mauaji dhidi yao
Mjumbe wa Chama cha Maalbino Tanzania, Sophia Mhando (katikati), akizungumza kwa uchungu katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo, kuhusu vitendo vya kikatili wanavyofanyiwa pamoja na maandamano hayo ya amani ya kwenda Ikulu. Kushoto ni Mkurugenzi wa Action on Disability & Development (ADD), Mathew Kawongo na Ofisa Habari Mahusiano ya Umma wa Chama cha Albino Tanzania Josephat Torner.
Ofisa Habari Mahusiano ya Umma wa Chama cha Albino Tanzania Josephat Torner...
10 years ago
GPLALBINO KUANDAMANA KWENDA IKULU KUPINGA VITENDO VYA MAUAJI DHIDI YAO