VITA DHIDI YA MAUAJI YA ALIBINO, WAGANGA 32 WAKAMATWA
Mganga nchini Tanzania
Vifaa vya Mganga Tanzania
Polisi nchini Tanzania wamewakamata waganga 32 wa kienyeji kazkazini magharibi mwa jimbo la Geita katika juhudi za kukabiliana na mauaji ya Albino.
Siku ya Alhamisi ,watu wanne walihukumiwa kifo kwa mauaji ya mwanamke albino mwaka wa 2008 katika jimbo hilo.
Serikali iliwapiga marufuku waganga wa kienyeji mwezi Januari kama mojawapo ya kampeni ya kusitisha mauaji hayo.
Waganga wa kienyeji wanaamini viungo vya mwili wa Albino vina nguvu maalum za...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili11 Dec
Vita dhidi ya mauaji ya Albino TZ
10 years ago
BBCSwahili07 Mar
Albino:Waganga 32 wakamatwa Tanzania
10 years ago
BBCSwahili12 Mar
Albino:Zaidi ya waganga 200 wakamatwa TZ
10 years ago
Vijimambo13 Mar
10 years ago
GPLMSAKO: WAGANGA WA KIENYEJI 55 WAKAMATWA MKOANI MWANZA
10 years ago
Mwananchi08 Mar
Waganga walaani mauaji ya albino
10 years ago
Mwananchi08 Oct
Vita dhidi ya ebola ni mapambano dhidi ya adui asiyeonekana
11 years ago
CloudsFM12 Jun
WAGANGA WANAOWATIBU WATEJA WAO KWA KUFANYA NAO NGONO WAKAMATWA, WAKUTWA NA NGUO ZA NDANI 22 ZA WANAWAKE HAO
Polisi Mkoa wa Kinondoni, imewakamata vijana wawili wanaodaiwa kujifanya waganga wanaotoa tiba kwa wanawake, ambao masharti yake ni kushiriki nao ngono bila kinga na kuacha nguo za ndani, ili zifanyiwe dawa zaidi.
Akizungumza na waandishi wa habari jana jijini Dar es Salaam, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Temeke, Englibert Kiondo, alidai vijana hao Juma Hemedi (32) na Abrahman Mulsin, wote wakazi wa Tandika, baada ya kushiriki ngono na wagonjwa wao huwaambia waache nguo za ndani.
Kamanda Kiondo...
10 years ago
BBCSwahili12 Aug
Watuhumiwa mauaji ya mwandishi wakamatwa