Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


VITA DHIDI YA MAUAJI YA ALIBINO, WAGANGA 32 WAKAMATWA

Mganga nchini TanzaniaVifaa vya Mganga Tanzania
Polisi nchini Tanzania wamewakamata waganga 32 wa kienyeji kazkazini magharibi mwa jimbo la Geita katika juhudi za kukabiliana na mauaji ya Albino.

Siku ya Alhamisi ,watu wanne walihukumiwa kifo kwa mauaji ya mwanamke albino mwaka wa 2008 katika jimbo hilo.

Serikali iliwapiga marufuku waganga wa kienyeji mwezi Januari kama mojawapo ya kampeni ya kusitisha mauaji hayo.

Waganga wa kienyeji wanaamini viungo vya mwili wa Albino vina nguvu maalum za...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Vita dhidi ya mauaji ya Albino TZ

Kampeni kubwa imezinduliwa Tanzania, iliyoongozwa na rais wa nchi hiyo Jakaya Kikwete, kuchangisha pesa kuwalinda albino.

 

10 years ago

BBCSwahili

Albino:Waganga 32 wakamatwa Tanzania

Polisi nchini Tanzania wamewakamata waganga 32 wa kienyeji kazkazini magharibi mwa jimbo la Geita

 

10 years ago

BBCSwahili

Albino:Zaidi ya waganga 200 wakamatwa TZ

Zaidi ya waganga 200 wa kienyeji wamekamatwa nchini Tanzania katika juhudi za kusitisha mauaji ya Albino.

 

10 years ago

GPL

MSAKO: WAGANGA WA KIENYEJI 55 WAKAMATWA MKOANI MWANZA

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Valentino Mlowola (kushoto) akionyesha baadhi ya nyara walizokutwa nazo waganga hao.…

 

10 years ago

Mwananchi

Waganga walaani mauaji ya albino

Siku chache baada ya Mkuu wa Mkoa wa Geita, Fatma Mwassa kutamka kuwafutia vibali waganga wa kienyeji huku wenzao 32 wakishikiliwa na polisi kutokana na kuibuka kwa mauaji ya watu wenye ulemavu wa ngozi (albino), Chama cha Waganga wa Tiba Asilia Tanzania (Chawatiata) tawi la mji wa Katoro wilayani Geita, kimeomba Serikali kuwachukulia hatua kali wanaobainika kuhusika na vitendo hivyo badala ya kuwafutia vibali waganga wote.

 

10 years ago

Mwananchi

Vita dhidi ya ebola ni mapambano dhidi ya adui asiyeonekana

Tangu kuzuka kwa ugonjwa wa ebola nchini Guinea mwezi Machi mwaka huu, watu 2,500 wamefariki dunia kutokana na virusi vyake, zaidi ya nusu ni raia wa Liberia.

 

11 years ago

CloudsFM

WAGANGA WANAOWATIBU WATEJA WAO KWA KUFANYA NAO NGONO WAKAMATWA, WAKUTWA NA NGUO ZA NDANI 22 ZA WANAWAKE HAO

Polisi Mkoa wa Kinondoni, imewakamata vijana wawili wanaodaiwa kujifanya waganga wanaotoa tiba kwa wanawake, ambao masharti yake ni kushiriki nao ngono bila kinga na kuacha nguo za ndani, ili zifanyiwe dawa zaidi.
Akizungumza na waandishi wa habari jana jijini Dar es Salaam, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Temeke, Englibert Kiondo, alidai vijana hao Juma Hemedi (32) na Abrahman Mulsin, wote wakazi wa Tandika, baada ya kushiriki ngono na wagonjwa wao huwaambia waache nguo za ndani.

Kamanda Kiondo...

 

10 years ago

BBCSwahili

Watuhumiwa mauaji ya mwandishi wakamatwa

Polisi nchini Azerbaijan imemtia mbaroni mwanamichezo na watu wengine watano kwa tuhuma za kuhusika katika tukio la mauaji.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani