Albino:Waganga 32 wakamatwa Tanzania
Polisi nchini Tanzania wamewakamata waganga 32 wa kienyeji kazkazini magharibi mwa jimbo la Geita
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili12 Mar
Albino:Zaidi ya waganga 200 wakamatwa TZ
10 years ago
Vijimambo07 Mar
VITA DHIDI YA MAUAJI YA ALIBINO, WAGANGA 32 WAKAMATWA
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2013/06/26/130626095942_waganga_tz_640x360_bbc_nocredit.jpg)
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/625/amz/worldservice/live/assets/images/2015/01/14/150114084340_waganga_640x360_bbc_nocredit.jpg)
Polisi nchini Tanzania wamewakamata waganga 32 wa kienyeji kazkazini magharibi mwa jimbo la Geita katika juhudi za kukabiliana na mauaji ya Albino.
Siku ya Alhamisi ,watu wanne walihukumiwa kifo kwa mauaji ya mwanamke albino mwaka wa 2008 katika jimbo hilo.
Serikali iliwapiga marufuku waganga wa kienyeji mwezi Januari kama mojawapo ya kampeni ya kusitisha mauaji hayo.
Waganga wa kienyeji wanaamini viungo vya mwili wa Albino vina nguvu maalum za...
10 years ago
GPLMSAKO: WAGANGA WA KIENYEJI 55 WAKAMATWA MKOANI MWANZA
10 years ago
Mwananchi08 Mar
Waganga walaani mauaji ya albino
10 years ago
Mtanzania13 Mar
Waganga wanaswa na meno, nywele za albino
NA SHEILA KATIKULA, MWANZA
JESHI la Polisi mkoani Mwanza limewakamata waganga wa kienyeji 55 wakiwa na viungo vya binadamu vikiwamo meno na nywele vinavyodaiwa kuwa ni vya watu wenye albino.
Vitu vingine walivyokutwa navyo ni ngozi ya simba, nyumbu, mamba, vibuyu, njuga, vioo, shanga na debe tatu za bangi.
Akizungumza na waandishi wa habari jana, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Valentino Mlowola, alisema waganga hao walikamatwa katika wilaya za Mkoa wa Mwanza kwenye msako ulioanza...
11 years ago
CloudsFM12 Jun
WAGANGA WANAOWATIBU WATEJA WAO KWA KUFANYA NAO NGONO WAKAMATWA, WAKUTWA NA NGUO ZA NDANI 22 ZA WANAWAKE HAO
Polisi Mkoa wa Kinondoni, imewakamata vijana wawili wanaodaiwa kujifanya waganga wanaotoa tiba kwa wanawake, ambao masharti yake ni kushiriki nao ngono bila kinga na kuacha nguo za ndani, ili zifanyiwe dawa zaidi.
Akizungumza na waandishi wa habari jana jijini Dar es Salaam, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Temeke, Englibert Kiondo, alidai vijana hao Juma Hemedi (32) na Abrahman Mulsin, wote wakazi wa Tandika, baada ya kushiriki ngono na wagonjwa wao huwaambia waache nguo za ndani.
Kamanda Kiondo...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-6Kh8_qYKoDU/VWA1ST_CCwI/AAAAAAAAH3Y/O8_9eRtkA1Q/s72-c/Elizabeth%2Bau%2BShija%2BMakandi%2BSweya%2Bna%2BRegina%2Bau%2BTatu%2BKashinje%2BNhende.jpg)
WATU SITA AKIWEMO NA MWALIMU WAKAMATWA NA MIFUPA INAYOSEMEKANA NI YA ALBINO WILAYANI KAHAMA
![](http://4.bp.blogspot.com/-6Kh8_qYKoDU/VWA1ST_CCwI/AAAAAAAAH3Y/O8_9eRtkA1Q/s640/Elizabeth%2Bau%2BShija%2BMakandi%2BSweya%2Bna%2BRegina%2Bau%2BTatu%2BKashinje%2BNhende.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-pzREZlICwZM/VWA1Hr9blmI/AAAAAAAAH24/Lsr4Eq3u-z8/s640/Bahati%2BKilungu%2BMaziku.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-qwbrG0anDug/VWA1HwdgVhI/AAAAAAAAH28/c3-bqmeV0JQ/s640/Bilia%2BMasanja%2BMhalala.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Pxc_Y03bsWc/VWA1H5XKdbI/AAAAAAAAH3E/ZPkwmTnZPB4/s640/Abubakar%2BAlly%2BMagazi.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-nI7xdnq9crE/VWA1JiwAZuI/AAAAAAAAH3M/_dz_PgaL5NQ/s640/Muhoja%2BJohn%2BShija.jpg)
Muhoja John Shija
Na Daniel Mbega, KahamaWATU sita, akiwemo Mwalimu wa Shule ya Msingi Katunguru iliyoko Kata ya Wendele, Tarafa ya Msalala wilayani Kahama, wamekamatwa mjini hapa wakiwa na vipande sita vya mifupa inayodhaniwa kuwa ya albino.
Taarifa zilizopatikana mjini hapa zimeeleza kwamba, mwalimu huyo Bahati...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-TNHEkCclS3o/VWCfLHlDxKI/AAAAAAAAuR0/kJEthWiyqEo/s72-c/BahatiKilunguMaziku.jpg)
Mwalimu na Wenzake Watano Wakamatwa na Mifupa ya Albino Walikuwa Wakiiuza Milioni Mia Sita
![](http://4.bp.blogspot.com/-TNHEkCclS3o/VWCfLHlDxKI/AAAAAAAAuR0/kJEthWiyqEo/s640/BahatiKilunguMaziku.jpg)
WATU sita, akiwemo Mwalimu wa Shule ya Msingi Katunguru iliyoko Kata ya Wendele, Tarafa ya Msalala wilayani Kahama, wamekamatwa mjini hapa wakiwa na vipande sita vya mifupa inayodhaniwa kuwa ya albino.
Taarifa zilizopatikana mjini hapa zimeeleza kwamba, mwalimu huyo Bahati Kilungu Maziku (56), Msukuma na mkazi wa Mtaa wa Mbulu katika Halmashauri ya Mji wa Kahama, amekamatwa akiwa na watu watano, wakiwemo waganga wa jadi watatu, katika harakati za kuuziana mifupa hiyo.
Wengine waliokamatwa ni...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-hKS7Kybrzwc/VWCQnOJ29GI/AAAAAAAAdnY/2sDsAUEqNyA/s72-c/1.jpg)
News alert: Watu sita akiwemo mwalimu wa shule ya msingi wakamatwa na mifupa ya albino Kahama
Taarifa zilizopatikana mjini Kahama zimeeleza kwamba, mwalimu huyo Bahati Kilungu Maziku (56), Msukuma na mkazi wa Mtaa wa Mbulu katika Halmashauri ya Mji wa Kahama, amekamatwa akiwa na watu watano, wakiwemo waganga wa jadi watatu, katika harakati za kuuziana mifupa hiyo.Wengine waliokamatwa...