News alert: Watu sita akiwemo mwalimu wa shule ya msingi wakamatwa na mifupa ya albino Kahama
![](http://3.bp.blogspot.com/-hKS7Kybrzwc/VWCQnOJ29GI/AAAAAAAAdnY/2sDsAUEqNyA/s72-c/1.jpg)
WATU sita, akiwemo Mwalimu wa Shule ya Msingi Katunguru iliyoko Kata ya Wendele, Tarafa ya Msalala wilayani Kahama, wamekamatwa mjini hapa wakiwa na vipande sita vya mifupa inayodhaniwa kuwa ya albino.
Taarifa zilizopatikana mjini Kahama zimeeleza kwamba, mwalimu huyo Bahati Kilungu Maziku (56), Msukuma na mkazi wa Mtaa wa Mbulu katika Halmashauri ya Mji wa Kahama, amekamatwa akiwa na watu watano, wakiwemo waganga wa jadi watatu, katika harakati za kuuziana mifupa hiyo.Wengine waliokamatwa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-6Kh8_qYKoDU/VWA1ST_CCwI/AAAAAAAAH3Y/O8_9eRtkA1Q/s72-c/Elizabeth%2Bau%2BShija%2BMakandi%2BSweya%2Bna%2BRegina%2Bau%2BTatu%2BKashinje%2BNhende.jpg)
WATU SITA AKIWEMO NA MWALIMU WAKAMATWA NA MIFUPA INAYOSEMEKANA NI YA ALBINO WILAYANI KAHAMA
![](http://4.bp.blogspot.com/-6Kh8_qYKoDU/VWA1ST_CCwI/AAAAAAAAH3Y/O8_9eRtkA1Q/s640/Elizabeth%2Bau%2BShija%2BMakandi%2BSweya%2Bna%2BRegina%2Bau%2BTatu%2BKashinje%2BNhende.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-pzREZlICwZM/VWA1Hr9blmI/AAAAAAAAH24/Lsr4Eq3u-z8/s640/Bahati%2BKilungu%2BMaziku.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-qwbrG0anDug/VWA1HwdgVhI/AAAAAAAAH28/c3-bqmeV0JQ/s640/Bilia%2BMasanja%2BMhalala.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Pxc_Y03bsWc/VWA1H5XKdbI/AAAAAAAAH3E/ZPkwmTnZPB4/s640/Abubakar%2BAlly%2BMagazi.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-nI7xdnq9crE/VWA1JiwAZuI/AAAAAAAAH3M/_dz_PgaL5NQ/s640/Muhoja%2BJohn%2BShija.jpg)
Muhoja John Shija
Na Daniel Mbega, KahamaWATU sita, akiwemo Mwalimu wa Shule ya Msingi Katunguru iliyoko Kata ya Wendele, Tarafa ya Msalala wilayani Kahama, wamekamatwa mjini hapa wakiwa na vipande sita vya mifupa inayodhaniwa kuwa ya albino.
Taarifa zilizopatikana mjini hapa zimeeleza kwamba, mwalimu huyo Bahati...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-TNHEkCclS3o/VWCfLHlDxKI/AAAAAAAAuR0/kJEthWiyqEo/s72-c/BahatiKilunguMaziku.jpg)
Mwalimu na Wenzake Watano Wakamatwa na Mifupa ya Albino Walikuwa Wakiiuza Milioni Mia Sita
![](http://4.bp.blogspot.com/-TNHEkCclS3o/VWCfLHlDxKI/AAAAAAAAuR0/kJEthWiyqEo/s640/BahatiKilunguMaziku.jpg)
WATU sita, akiwemo Mwalimu wa Shule ya Msingi Katunguru iliyoko Kata ya Wendele, Tarafa ya Msalala wilayani Kahama, wamekamatwa mjini hapa wakiwa na vipande sita vya mifupa inayodhaniwa kuwa ya albino.
Taarifa zilizopatikana mjini hapa zimeeleza kwamba, mwalimu huyo Bahati Kilungu Maziku (56), Msukuma na mkazi wa Mtaa wa Mbulu katika Halmashauri ya Mji wa Kahama, amekamatwa akiwa na watu watano, wakiwemo waganga wa jadi watatu, katika harakati za kuuziana mifupa hiyo.
Wengine waliokamatwa ni...
10 years ago
Habarileo25 May
Mwalimu, wenzake wakutwa na mifupa ya albino
WATU sita, akiwemo Mwalimu wa Shule ya Msingi Katunguru iliyoko Kata ya Wendele, Tarafa ya Msalala wilayani Kahama, wamekamatwa mjini hapa wakiwa na vipande sita vya mifupa inayodhaniwa kuwa ya albino.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/eoZ5qo4qa6o3jYpKLAQPSJMgfddrWBAtvwAwC5t-XUneOSAjor-erNCmnVDGpmFfTc6YpodrkTXxbj-rHbzfyejMm-V5Ia5U/BiliaMasanjaMhalala.jpg?width=640)
MWALIMU NA WENZAKE WATANO WALIOKAMATWA NA MIFUPA YA ALBINO
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-iW2Ck2sFNtw/VTzEad2WYLI/AAAAAAAHTXg/gvSM_n7fGRA/s72-c/download%2B(2).jpg)
NEWS ALERT: WAWILI WAKAMATWA TUNDUMA KWA TUHUMA ZA UHALIFU
![](http://1.bp.blogspot.com/-iW2Ck2sFNtw/VTzEad2WYLI/AAAAAAAHTXg/gvSM_n7fGRA/s1600/download%2B(2).jpg)
MNAMO TAREHE 24.04.2015 MAJIRA YA SAA 09:30 ASUBUHI HUKO MAENEO YA MTAA WA SOGEA KATIKA MJI MDOGO WA TUNDUMA, WILAYA YA MOMBA, MKOA WA MBEYA, VIJANA WAWILI WALIOTAMBULIKA KWA MAJINA YA 1. MATHEW ANGANILE MWAFONGO @ RASI (27) MKAZI WA TUNDUMA NA MWENZAKE AITWAYE SALEHE TABULEI SICHALWE (22) MKAZI WA MAJENGO TUNDUMA WALIKAMATWA NA POLISI BAADA YA WANANCHI WA ENEO HILO KUWATILIA MASHAKA KUWA NI WAHALIFU, HII NI KUTOKANA NA MVAO WAO AMBAO ULIKUWA UMEFICHA SURA ZAO.
VIJANA HAO WALIKUWA WAKITUMIA...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/xMCtlOLhuRcycGhFQwAUH56oxMlO5ZV1ElK9eQKOMQqOvrcDg8phra8vAW*dtdGtQS4u*nrz2y2EYF2eWLfv6ty7di2U*0tX/OfisaElimuMsingiWilayayaNkasiBw.MisanaKwanguraakizungumzanaThehabari.com2.jpg)
MWALIMU SHULE YA MSINGI AMTIA MIMBA MWANAFUNZI WAKE
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-O_eTvRmNjUs/VHrFblqMVKI/AAAAAAAG0TU/mRUpEzTg6_w/s72-c/unnamed%2B(20).jpg)
NBC yazipiga jeki shule sita za msingi wilayani Kilombero
![](http://4.bp.blogspot.com/-O_eTvRmNjUs/VHrFblqMVKI/AAAAAAAG0TU/mRUpEzTg6_w/s1600/unnamed%2B(20).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-9w_VFdJUglQ/VHrFb2Kyb9I/AAAAAAAG0Tc/He2ThOly_Hw/s1600/unnamed%2B(21).jpg)
10 years ago
MichuziNEWS ALERT: WACHIMBAJI WA DHAHABU ZAIDI YA 20 WADAIWA KUFARIKI DUNIA KWA KUFUKIWA KIFUSI HUKO KAHAMA
Kwa mujibu wa kamanda wa polisi mkoa wa Shinyanga, Justus Kamugisha amesema kuwa usiku wa kuamkia leo kuna wachimbaji ambao walivamia machimbo hayo ambayo yaliachwa kuchimbwa muda mrefu na ndipo wakaanza shughuli ya...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-lTP417SjPDw/U85G9D6ritI/AAAAAAAF4rw/kpsWVlRalEI/s72-c/1.jpg)
NEWZ ALERT:WATU NANE WAKAMATWA KWA TUKIO LA VIUNGO VYA BINADAMU JIJINI DAR.
![](http://1.bp.blogspot.com/-lTP417SjPDw/U85G9D6ritI/AAAAAAAF4rw/kpsWVlRalEI/s1600/1.jpg)
Kamanda Kova amesema kuwa jopo la Wataalamu saba limeundwa kuchunguza tukio hilo na amethibitisha kuwa viungo vile vilikuwa ni vya maiti,ambavyo hutumika na...