Mwalimu na Wenzake Watano Wakamatwa na Mifupa ya Albino Walikuwa Wakiiuza Milioni Mia Sita
![](http://4.bp.blogspot.com/-TNHEkCclS3o/VWCfLHlDxKI/AAAAAAAAuR0/kJEthWiyqEo/s72-c/BahatiKilunguMaziku.jpg)
WATU sita, akiwemo Mwalimu wa Shule ya Msingi Katunguru iliyoko Kata ya Wendele, Tarafa ya Msalala wilayani Kahama, wamekamatwa mjini hapa wakiwa na vipande sita vya mifupa inayodhaniwa kuwa ya albino.
Taarifa zilizopatikana mjini hapa zimeeleza kwamba, mwalimu huyo Bahati Kilungu Maziku (56), Msukuma na mkazi wa Mtaa wa Mbulu katika Halmashauri ya Mji wa Kahama, amekamatwa akiwa na watu watano, wakiwemo waganga wa jadi watatu, katika harakati za kuuziana mifupa hiyo.
Wengine waliokamatwa ni...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/eoZ5qo4qa6o3jYpKLAQPSJMgfddrWBAtvwAwC5t-XUneOSAjor-erNCmnVDGpmFfTc6YpodrkTXxbj-rHbzfyejMm-V5Ia5U/BiliaMasanjaMhalala.jpg?width=640)
MWALIMU NA WENZAKE WATANO WALIOKAMATWA NA MIFUPA YA ALBINO
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-6Kh8_qYKoDU/VWA1ST_CCwI/AAAAAAAAH3Y/O8_9eRtkA1Q/s72-c/Elizabeth%2Bau%2BShija%2BMakandi%2BSweya%2Bna%2BRegina%2Bau%2BTatu%2BKashinje%2BNhende.jpg)
WATU SITA AKIWEMO NA MWALIMU WAKAMATWA NA MIFUPA INAYOSEMEKANA NI YA ALBINO WILAYANI KAHAMA
![](http://4.bp.blogspot.com/-6Kh8_qYKoDU/VWA1ST_CCwI/AAAAAAAAH3Y/O8_9eRtkA1Q/s640/Elizabeth%2Bau%2BShija%2BMakandi%2BSweya%2Bna%2BRegina%2Bau%2BTatu%2BKashinje%2BNhende.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-pzREZlICwZM/VWA1Hr9blmI/AAAAAAAAH24/Lsr4Eq3u-z8/s640/Bahati%2BKilungu%2BMaziku.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-qwbrG0anDug/VWA1HwdgVhI/AAAAAAAAH28/c3-bqmeV0JQ/s640/Bilia%2BMasanja%2BMhalala.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Pxc_Y03bsWc/VWA1H5XKdbI/AAAAAAAAH3E/ZPkwmTnZPB4/s640/Abubakar%2BAlly%2BMagazi.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-nI7xdnq9crE/VWA1JiwAZuI/AAAAAAAAH3M/_dz_PgaL5NQ/s640/Muhoja%2BJohn%2BShija.jpg)
Muhoja John Shija
Na Daniel Mbega, KahamaWATU sita, akiwemo Mwalimu wa Shule ya Msingi Katunguru iliyoko Kata ya Wendele, Tarafa ya Msalala wilayani Kahama, wamekamatwa mjini hapa wakiwa na vipande sita vya mifupa inayodhaniwa kuwa ya albino.
Taarifa zilizopatikana mjini hapa zimeeleza kwamba, mwalimu huyo Bahati...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-hKS7Kybrzwc/VWCQnOJ29GI/AAAAAAAAdnY/2sDsAUEqNyA/s72-c/1.jpg)
News alert: Watu sita akiwemo mwalimu wa shule ya msingi wakamatwa na mifupa ya albino Kahama
Taarifa zilizopatikana mjini Kahama zimeeleza kwamba, mwalimu huyo Bahati Kilungu Maziku (56), Msukuma na mkazi wa Mtaa wa Mbulu katika Halmashauri ya Mji wa Kahama, amekamatwa akiwa na watu watano, wakiwemo waganga wa jadi watatu, katika harakati za kuuziana mifupa hiyo.Wengine waliokamatwa...
10 years ago
Habarileo25 May
Mwalimu, wenzake wakutwa na mifupa ya albino
WATU sita, akiwemo Mwalimu wa Shule ya Msingi Katunguru iliyoko Kata ya Wendele, Tarafa ya Msalala wilayani Kahama, wamekamatwa mjini hapa wakiwa na vipande sita vya mifupa inayodhaniwa kuwa ya albino.
10 years ago
Vijimambo07 Apr
Radi yapiga kanisa, yaua watu watano walikuwa katika ibada ya Pasaka.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Joseph%20konyo-7April2015.jpg)
Watu watano wamefariki dunia papo hapo katika kijiji cha Shilabela, kata ya Bwanga, wilayani Chato, mkoa wa Geita, baada ya kupigwa na radi wakati wakiendelea na ibada ya Sikukuu ya Pasaka.
Tukio hilo lilitokea juzi jioni kwenye Kanisa la Assemblies of God Tanzania (AGT) na kujeruhi watu wengine 18 wakati wakiwa kwenye maadhimisho ya sikukuu ya kufufuka kwa Yesu Kristo, Pasaka. Kati ya majeruhi hao, wanne wamelazwa katika Zahanati ya Bwanga,...
10 years ago
Habarileo25 Mar
Mbaroni kwa viungo, mifupa ya albino
WATU wawili wanashikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani Kagera kwa kosa la kukutwa na viungo mbalimbali vya mwili ikiwemo mifupa mitatu ya mtu mwenye ulemavu wa ngozi (albino).
10 years ago
Mwananchi25 Mar
Mbaroni kwa kukutwa na mifupa ya albino
10 years ago
Mwananchi17 May
Majenerali watano wakamatwa Burundi
5 years ago
BBCSwahili23 Jun
Zitto, viongozi wenzake wakamatwa Kusini mwa Tanzania