Mbaroni kwa viungo, mifupa ya albino
WATU wawili wanashikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani Kagera kwa kosa la kukutwa na viungo mbalimbali vya mwili ikiwemo mifupa mitatu ya mtu mwenye ulemavu wa ngozi (albino).
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi25 Mar
Mbaroni kwa kukutwa na mifupa ya albino
10 years ago
Habarileo11 Jun
6 mbaroni kwa kukutwa na mifupa 6 ya binadamu
JESHI la Polisi mkoani Tabora, limewakamata na kuwafikisha mahakamani watu sita, kwa tuhuma za kukutwa na mifupa sita ya binadamu, inayodhaniwa kuwa ni ya watu wenye ulemavu wa ngozi (albino).
11 years ago
GPLWATU 8 MBARONI KWA KUTUPA VIUNGO VYA BINADAMU DAR
10 years ago
Mtanzania02 Mar
Kigogo mbaroni kwa mauaji ya albino
NA PETER FABIAN, MWANZA
KIONGOZI wa chama kimoja cha siasa mkoani Mwanza (jina tunalo) anashikiliwa na Jeshi la Polisi akihusishwa na uhalifu wa utengenezaji wa noti bandia, utekaji na mauaji ya albino katika maeneo mbalimbali ya Kanda ya Ziwa.
Habari za uhakika zilizolifikia MTANZANIA kutoka vyanzo vyetu vya habari zimesema kuwa kigogo huyo alikamatwa wilayani Magu Februari 26, mwaka huu saa 7:00 usiku.
Kigogo huyo ambaye anadaiwa kuhusishwa na utekaji wa mauaji ya albino alikamatwa baada...
10 years ago
Habarileo25 May
Mwalimu, wenzake wakutwa na mifupa ya albino
WATU sita, akiwemo Mwalimu wa Shule ya Msingi Katunguru iliyoko Kata ya Wendele, Tarafa ya Msalala wilayani Kahama, wamekamatwa mjini hapa wakiwa na vipande sita vya mifupa inayodhaniwa kuwa ya albino.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/eoZ5qo4qa6o3jYpKLAQPSJMgfddrWBAtvwAwC5t-XUneOSAjor-erNCmnVDGpmFfTc6YpodrkTXxbj-rHbzfyejMm-V5Ia5U/BiliaMasanjaMhalala.jpg?width=640)
MWALIMU NA WENZAKE WATANO WALIOKAMATWA NA MIFUPA YA ALBINO
10 years ago
Mwananchi15 May
Albino wazidi kukatwa viungo
9 years ago
BBCSwahili19 Aug
Albino 5 Tz warejeshewa viungo Marekani
9 years ago
BBCSwahili20 Aug
Watoto Albino wapatiwa viungo marekani