Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Albino wazidi kukatwa viungo

Katavi. Mwanamke mmoja mwenye ulemavu wa ngozi, Remi Luchoma (30), Mkazi Kijiji cha Mwamachoma, wilayani Mlele amekatwa kiganja cha mkono wa kulia na watu wasiojulikana na kutokomea nacho.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Maiti yafukuliwa, yabainika kukatwa baadhi ya viungo

Taharuki imetanda kwa wakazi wa Kijiji cha Parknyigoti, Kata ya Ikoma, Wilaya ya Serengeti mkoani baada ya kufukua kaburi la Selina Jumapili na kukutwa sehemu mbalimbali za viungo vikiwa vimekatwa.

 

11 years ago

Mwananchi

Jirani mbaroni kusaidia albino kukatwa mkono

>Mganga mmoja wa kienyeji na jirani wa binti, Pendo Sengerema (15), anashikiliwa na polisi kwa kuwaonyesha wahalifu anakoishi mtoto huyo mwenye ulemavu wa ngozi (albino), ambao walimkata mkono na kuondoka nao.

 

9 years ago

BBCSwahili

Albino 5 Tz warejeshewa viungo Marekani

Watoto 5 wa Tanzania wenye ulemavu wa ngozi waliokuwa wamekatwa viungo vya miili yao wamewekewa viungo bandia Marekani.

 

10 years ago

Mwananchi

Mwalimu akutwa na viungo vya albino

>Polisi wilayani Kahama mkoani Shinyanga inawashikilia watu watano, akiwamo mwalimu wa shule ya msingi na mwanamke mmoja, kwa tuhuma za kukutwa na viungo vya albino wakiwa katika harakati za kutaka kuviuza wilayani Nzega na Kahama.

 

10 years ago

Habarileo

Mbaroni kwa viungo, mifupa ya albino

Kamanda wa Polisi wa mkoa wa Kagera, Henry MwaibambeWATU wawili wanashikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani Kagera kwa kosa la kukutwa na viungo mbalimbali vya mwili ikiwemo mifupa mitatu ya mtu mwenye ulemavu wa ngozi (albino).

 

11 years ago

Mwananchi

Albino auawa, wauaji watoweka na viungo

Watu wasiojulikana mkoani Simiyu wamemuua kwa kumkatakata mapanga mlemavu wa ngozi (albino), Mughu Lugata (40) huku wakitoweka na baadhi ya viungo vyake.

 

10 years ago

Mwananchi

Siri yafichuka viungo vya albino

Kila kiungo kimoja cha ‘albino’, huuzwa kwa bei kubwa, hali inayotajwa kuwa kiini cha kukithiri kwa mauaji ya watu wenye ulemavu wa ngozi, mahakama mkoani Geita ilielezwa jana.

 

9 years ago

BBCSwahili

Watoto Albino wapatiwa viungo marekani

Watoto watano wa Tanzania wenye ulemavu wa Ngozi waliokuwa wamekatwa viungo vya miili yao wamewekewa mikono na miguu ya bandia

 

11 years ago

GPL

ALBINO AUAWA, ACHUKULIWA VIUNGO VYAKE HUKO SIMIYU

Mwili wa marehemu Nughu Lugata ulivyokutwa. Mguu wa marehemu Nughu Lugata ukiwa umekatwa. MAREHEMU Nughu Lugata ambaye ni albino ameuawa na viungo vyake kuchukuliwa na watu wasiojulikana jana majira ya saa moja jioni huko Bariadi mkoani Simiyu. Nughu ameuawa kwa kukatwa mapanga na baadhi ya viungo vyake kama mguu wa kushoto na vidole vitatu kuchukuliwa na watu wasiojulikana. Marehemu… ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani