Jirani mbaroni kusaidia albino kukatwa mkono
>Mganga mmoja wa kienyeji na jirani wa binti, Pendo Sengerema (15), anashikiliwa na polisi kwa kuwaonyesha wahalifu anakoishi mtoto huyo mwenye ulemavu wa ngozi (albino), ambao walimkata mkono na kuondoka nao.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi16 Nov
Mbaroni kwa kumbaka mtoto wa jirani yake
10 years ago
Mwananchi15 May
Albino wazidi kukatwa viungo
5 years ago
MichuziWAWILI MBARONI KWA KUJARIBU KUINGIA MBUGA ZA WANYAMA KWA UJANGILI HUKU WENGINE WAKIMBILIA NCHI JIRANI YA KENYA Inbox x
Bunduki ya kivita aina ya AK47 ambayo imekamatwa wilayani Ngorongoro na Jeshi la polisi wakishirikiana pamoja na kikosi cha ujangili kanda ya Ziwa huko Oloshoo Kata ya Enguserosambu picha Zote na Ahmed Mahmoud Arusha.
Sehemu ya risasi zilizokutwa kwenye magazine ya bunduki hiyo baada ya msako mkali wilayani Ngorongoro
Askari wa kikosi kazi cha Jeshi la Polisi akijaribu Silaha hiyo mbele ya waandishi wa habari kabla kamanda wa Jeshi hilo hajaongea nao leo jijini hapa
Kamanda Shana akiwa na...
10 years ago
Habarileo15 May
Albino mwingine akatwa mkono
MWANAMKE mwenye ulemavu wa ngozi (albino), Remi Luchoma (30), mkazi wa kijiji cha Mwamachoma kata ya Mamba wilaya ya Mlele mkoa wa Katavi, amekatwa mkono wake wa kulia na watu wasiojulikana, kisha wakatokomea na kiganja cha mkono huo kusikojulikana.
10 years ago
Mtanzania10 Mar
Tausi Likokola achangisha milioni 14 kusaidia albino
Na Mwandishi Wetu
BAADHI ya fedha zilizokusanywa usiku wa Tausi uliofanyika katika Hoteli ya Coral Beach Masaki jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki, zimeelekezwa kwa watu wenye ulemavu wa ngozi (albino), kikundi cha Wamata na Kiwawede cha Mburahati ambacho kinatunza watoto wanaoishi katika mazingira magumu.
Usiku huo ulihudhuriwa na watu mbalimbali akiwemo mwandishi mashuhuri, Jenerali Ulimwengu, mwanamitindo Mustafa Hasanali, aliyekuwa Miss Tanzania, Sitti Mtemvu na wengine...
10 years ago
Mtanzania04 Jun
Kizimbani kwa kumkata mkono albino
NA WALTER MGULUCHUMA, KATAVI
WATU wanane wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Wilaya ya Mpanda Mkoa wa Katavi kujibu shitaka la kumjeruhi kwa mapanga na kisha kumkata mkono Lemi Luchumi (30) ambaye ni mlemavu wa ngozi (albino), mkazi wa Mwamachoma, Tarafa ya Mamba, Wilaya ya Mlele na kisha kutokomea nao.
Watuhumiwa hao waliopandishwa kizimbani jana mbele ya Hakimu Mkazi wa Mahakama ya Wilaya ya Mpanda, Odira Amworo ni Alex Manyanza (24), Nogele Maliganya, Galula Nkuba (45), Shile...
10 years ago
Habarileo22 Aug
Adaiwa kukata mkono wa binti albino
MKAZI wa Kata ya Usinge, Wilaya ya Kaliua mkoani Tabora, John Fumbuka, amefikishwa mahakamani kwa mashitaka ya kujaribu kumuua binti wa miaka 15 ambaye ni albino.
10 years ago
BBCSwahili09 Mar
Mtoto mwingine Albino akatwa mkono
10 years ago
Mwananchi25 Mar
Mbaroni kwa kukutwa na mifupa ya albino